masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #41
Ela inapatikana ila na wewe cha moto unakionaHilo life nishapitia miaka kadhaa nilikuwa natoka wilay moja kwenda nyingine namsaidia mzee kipind nimemaliza advance ,hela nilikuwa napata ila sina mda wa kulala wala kula Bata ,yaani kumi na moja niko kweny gari nilifika huko kama 12 tunachagua mzigo ila saa 5 niuleta town sema uzuri wake mzee alikuwa na wateja constant yaani akija nao town anauza unaishi wote ...sio kuanza kupanga Tena ila ule mzunguko ndo hatar wengi order wanakuja chukua usiku kama saa 4 nikirudi home mpaka saa 5 au sita nalala kesho 11 alfajiri natakiwa kwenda Tena ....dah yaani acha tu 😅😅😅😅
😅😅😅Ela inapatikana ila na wewe cha moto unakiona
Unalala kama mfu
Serikalini watu ni kama hawafanyi kazi. Kuna dada mmoja alitoka serikalini akahamia benki hizi za binafsi alikuwa analalamika kila siku kuwa kazi zinawaua wakati mimi nilikuwa naona ni kazi za kawaida sana.Sijawah ajiriwa serikalini...
sheria ya kwanza ya biashara" usiendekeze urafiki au udugu kwenye biashara ".Nimeamini ndo maana wafanya biashara ninawaonaga wachoyo hawatoi kumi yao
Biashara ina tuvimambo flani flani uwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee
Biashara si jambo jepesi
Yaani kujiajiri kwa kifupi
Inagne kuamka saa 9 usiku kufata samaki feri.
Alafu kupeleka uji usiku wa manane sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo
Mlioajiriwa heshimuni wafanya biashara aisee
Waliojijari muwaite tu wachawi
Maana wanayofanya ni miujiza kwenye ajira uwezi kuta
Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home.
Hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na
ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Weeeeee nimpeleke wapi??Mkuu masai dada wewe ndio ulisemaga unapenda mwanaume anayekutegemea kwa kila kitu au nimechanganya mafaili?
Kauzu. Mpaka wakuite mchawisheria ya kwanza ya biashara" usiendekeze urafiki au udugu kwenye biashara ".
ukiwa kauzu watakwmbia una roho mbayaKauzu. Mpaka wakuite mchawi
Hahaahaa
Hahaaha na akifa mtu kwenu wewe ndo umemuuaukiwa kauzu watakwmbia una roho mbaya
Hahaaaa ,na hapo hujapigwa kipapai bado , wazee WA Chuma ulete hawajakushughulikia bado .Nimeamini ndo maana wafanya biashara ninawaonaga wachoyo hawatoi kumi yao
Biashara ina tuvimambo flani flani uwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee
Biashara si jambo jepesi
Yaani kujiajiri kwa kifupi
Inagne kuamka saa 9 usiku kufata samaki feri.
Alafu kupeleka uji usiku wa manane sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo
Mlioajiriwa heshimuni wafanya biashara aisee
Waliojijari muwaite tu wachawi
Maana wanayofanya ni miujiza kwenye ajira uwezi kuta
Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home.
Hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na
ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
You are right bank tunafanya kazi mpaka basi only one hour for lunch and breakfast,esp teller inapelekea huwezi kukaa bila kazi hata kama ni likizo tumezoea kuwa busy simu pembeni kazi kazi!!Serikalini watu ni kama hawafanyi kazi. Kuna dada mmoja alitoka serikalini akahamia benki hizi za binafsi alikuwa analalamika kila siku kuwa kazi zinawaua wakati mimi nilikuwa naona ni kazi za kawaida sana.
Nani kakudanganya bidii Tu ndio zitakutoa kwenye biashara nchi hii ? , biashara bila mentality ya kimafia na ubabe either physical na spiritual hutoboi hasa Tanzania hii ninayoijua Mimi .Bidii
Hahaha dah! umeongea kwa hisia sana ila vibrator ni hatari utaishia kuona wanaume n takataka...Weeeeee nimpeleke wapi??
Mwanaume mwenye nguvu zake anitegemee kwa kila kitu??
Niache kumpa mama angu hizo ela kama ni genye nitanunua vibrator...
Doh ni miaka 26 iliyopita😊Uliiacha au unaendelea nayo
Nani kakudanganya bidii Tu ndio zitakutoa kwenye biashara nchi hii ? , biashara bila mentality ya kimafia na ubabe either physical na spiritual hutoboi hasa Tanzania hii ninayoijua Mimi .
Kama we ni mfanyabiashara utaelewa nililoandika , tena nchi kama Tz hii kama hutaki kuwehuka na biashara yako ukawa unatembea njiani unaongea peke yako ni lazima ufanye yafuatayo ,matajiri wote Tz walioyoboa hizi ndio Siri zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7] mfanyabiashara Tanzania kama hakwepi Kodi , anawaibia wateja Kwa kuwapunja bidhaa au huduma au kuwauzia bidhaa na huduma zenye ubora WA Chini au anatumia ndumba za kalimanzila kama hafanyi hayo basi anatumia umafia kumanipulate na kudominate soko kama hafanyi hayo basi ni mnyonyaji WA maslahi ya wafanyakazi wake kwenye hiyo biashara
Fuatilia utakuja kunishukuru
Nimeamini ndo maana wafanya biashara ninawaonaga wachoyo hawatoi kumi yao
Biashara ina tuvimambo flani flani uwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee
Biashara si jambo jepesi
Yaani kujiajiri kwa kifupi
Inagne kuamka saa 9 usiku kufata samaki feri.
Alafu kupeleka uji usiku wa manane sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo
Mlioajiriwa heshimuni wafanya biashara aisee
Waliojijari muwaite tu wachawi
Maana wanayofanya ni miujiza kwenye ajira uwezi kuta
Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home.
Hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na
ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.