Biashara United FC 'Akhsanteni' kwa kufanya 'Biashara' nzuri sana na Yanga Hersi GSM FC

Biashara United FC 'Akhsanteni' kwa kufanya 'Biashara' nzuri sana na Yanga Hersi GSM FC

Hii ni defensive mechanism hakuna cha maana ndugu yangu, ikitokea biashara kashinda mechi utakuja kutuambia nini...?

Yanga hatuna utaratibu wa kununua mechi, tutashinda kwa uwezo wetu na tutafungwa au kusare kwa ubora wa mpinzani

Ikitokea Biashara United FC ikashinda ndiyo itakuwa Furaha yangu Kubwa mno kwani Yanga SC siipendi kuliko hata Rais wa Mashetani Lucifa.
 
Ok, ngoja game iishe tuone, wakipigwa hizo nne uje kufunguka hapa kila kitu.
 
Ok, ngoja game iishe tuone, wakipigwa hizo nne uje kufunguka hapa kila kitu.

Eti nasikia baada ya Kuusoma huu Uzi Wahusika wameogopa hivyo Kukubaliana Yanga SC ashinde Goli 1-0 au 2-1 au 3-2 ila ikibidi hata watoke Sare ( Suluhu ) kabisa.
 
Yanga hatuna hela ya kununua game mbona unajawa na uoga hivo.kwani kushinda kwetu leo kuna kitu kinapungua kwako?

Umekomalia kichizi yani
 
Nipo katika Mpira wa 'Bongo' na bahati nzuri hata Michezo yote ya 'Kimjini Mjini' naijua na hata Kushiriki nimeshiriki pia hivyo nasubiri leo Biashara United FC afungwe Magoli 4 au 7 aliyofanya 'Biashara' ili nije 'nifunguke' kila Kitu hapa.

Na mtaniambia kwanini Viongozi wa Biashara United FC mlioambatana na Timu Jana Usiku hadi hii leo mmegombana na Kununiana pia hasa baada ya Mmoja wenu kwenda katika Ofisi Moja ya Magodoro yasiyouzika sana nchini.

Na Wewe Kocha mpya wa Biashara United FC ole wako leo uwapange Wachezaji ambao hata huwa huwapangi ndipo utanijua Mwanamichezo Mimi Generalist ambaye licha ya kuwa ni mwana Mara (Musoma) lakini pia ni Shabiki 'lia lia' na Mwanachama nisiye na Kadi wa Biashara United FC a.k.a 'Wagumu na Mafundi wa Mpira' nchini.

Na nyie Wachezaji 'Waandamizi' Wawili Mmoja Beki wa Kushoto na Wewe wa Kati (hadi Kikosi cha Taifa Stars upo na uliitwa na Kocha Paulsen) ole Wenu leo msababishe 'Faulo' za Kipumbavu jirani na Goli lenu au mzitafute Kadi za Njano na Nyekundu ili 'Kuidhoofisha' Timu yenu.

Na baada ya Mechi kama mkifungwa idadi hiyo ya Magoli kuanzia Manne hadi Saba Viongozi wa Biashara United FC mtaniambia ni kwanini Vyumba vyenu vya Kubadilishia Nguo (Dressing Room) mmekubali Vilindwe na 'Makomandoo Uchwara' wa Klabu Wapinzani wenu leo.

Ninachojua tu Generalist ni kwamba 'mtakaza' ili mtoe Sare (Draw) japo najua mtafungwa ila nataka mkifungwa mfungwe tu Goli 1-0 au 2-1 (japo najua mkabahatika) na Kushinda Mechi ya leo na hapo ndipo mtakuwa mmenifurahisha na 'sitowalipua' tena kwa 'Upuuzi' mlioufanya ambao 'nimeshapenyezewa' wote na Watu wenu hapo Kambini.
Timu yenye kitengo cha miamala kwa marefa na timu pinzani ipo moja tu. Timu yenye ushawishi wa kuwezesha positive Covid 19 test ipo moja tu. Timu yenye CEO anayeshinda CAF HQ kulainisha mambo ipo moja tu.

Lakini tunajua njia yao inaekekea ukingoni. Na hatubadili ID zetu kuyajua haya.
 
Nipo katika Mpira wa 'Bongo' na bahati nzuri hata Michezo yote ya 'Kimjini Mjini' naijua na hata Kushiriki nimeshiriki pia hivyo nasubiri leo Biashara United FC afungwe Magoli 4 au 7 aliyofanya 'Biashara' ili nije 'nifunguke' kila Kitu hapa.

Na mtaniambia kwanini Viongozi wa Biashara United FC mlioambatana na Timu Jana Usiku hadi hii leo mmegombana na Kununiana pia hasa baada ya Mmoja wenu kwenda katika Ofisi Moja ya Magodoro yasiyouzika sana nchini.

Na Wewe Kocha mpya wa Biashara United FC ole wako leo uwapange Wachezaji ambao hata huwa huwapangi ndipo utanijua Mwanamichezo Mimi Generalist ambaye licha ya kuwa ni mwana Mara (Musoma) lakini pia ni Shabiki 'lia lia' na Mwanachama nisiye na Kadi wa Biashara United FC a.k.a 'Wagumu na Mafundi wa Mpira' nchini.

Na nyie Wachezaji 'Waandamizi' Wawili Mmoja Beki wa Kushoto na Wewe wa Kati (hadi Kikosi cha Taifa Stars upo na uliitwa na Kocha Paulsen) ole Wenu leo msababishe 'Faulo' za Kipumbavu jirani na Goli lenu au mzitafute Kadi za Njano na Nyekundu ili 'Kuidhoofisha' Timu yenu.

Na baada ya Mechi kama mkifungwa idadi hiyo ya Magoli kuanzia Manne hadi Saba Viongozi wa Biashara United FC mtaniambia ni kwanini Vyumba vyenu vya Kubadilishia Nguo (Dressing Room) mmekubali Vilindwe na 'Makomandoo Uchwara' wa Klabu Wapinzani wenu leo.

Ninachojua tu Generalist ni kwamba 'mtakaza' ili mtoe Sare (Draw) japo najua mtafungwa ila nataka mkifungwa mfungwe tu Goli 1-0 au 2-1 (japo najua mkabahatika) na Kushinda Mechi ya leo na hapo ndipo mtakuwa mmenifurahisha na 'sitowalipua' tena kwa 'Upuuzi' mlioufanya ambao 'nimeshapenyezewa' wote na Watu wenu hapo Kambini.
Wazamdiki wa kudemka hawaishi lione hili nalo
 
Timu yenye kitengo cha miamala kwa marefa na timu pinzani ipo moja tu. Timu yenye ushawishi wa kuwezesha positive Covid 19 test ipo moja tu. Timu yenye CEO anayeshinda CAF HQ kulainisha mambo ipo moja tu.

Lakini tunajua njia yao inaekekea ukingoni. Na hatubadili ID zetu kuyajua haya.
Analainisha lainisha yaani
 
Nipo katika Mpira wa 'Bongo' na bahati nzuri hata Michezo yote ya 'Kimjini Mjini' naijua na hata Kushiriki nimeshiriki pia hivyo nasubiri leo Biashara United FC afungwe Magoli 4 au 7 aliyofanya 'Biashara' ili nije 'nifunguke' kila Kitu hapa.

Na mtaniambia kwanini Viongozi wa Biashara United FC mlioambatana na Timu Jana Usiku hadi hii leo mmegombana na Kununiana pia hasa baada ya Mmoja wenu kwenda katika Ofisi Moja ya Magodoro yasiyouzika sana nchini.

Na Wewe Kocha mpya wa Biashara United FC ole wako leo uwapange Wachezaji ambao hata huwa huwapangi ndipo utanijua Mwanamichezo Mimi Generalist ambaye licha ya kuwa ni mwana Mara (Musoma) lakini pia ni Shabiki 'lia lia' na Mwanachama nisiye na Kadi wa Biashara United FC a.k.a 'Wagumu na Mafundi wa Mpira' nchini.

Na nyie Wachezaji 'Waandamizi' Wawili Mmoja Beki wa Kushoto na Wewe wa Kati (hadi Kikosi cha Taifa Stars upo na uliitwa na Kocha Paulsen) ole Wenu leo msababishe 'Faulo' za Kipumbavu jirani na Goli lenu au mzitafute Kadi za Njano na Nyekundu ili 'Kuidhoofisha' Timu yenu.

Na baada ya Mechi kama mkifungwa idadi hiyo ya Magoli kuanzia Manne hadi Saba Viongozi wa Biashara United FC mtaniambia ni kwanini Vyumba vyenu vya Kubadilishia Nguo (Dressing Room) mmekubali Vilindwe na 'Makomandoo Uchwara' wa Klabu Wapinzani wenu leo.

Ninachojua tu Generalist ni kwamba 'mtakaza' ili mtoe Sare (Draw) japo najua mtafungwa ila nataka mkifungwa mfungwe tu Goli 1-0 au 2-1 (japo najua mkabahatika) na Kushinda Mechi ya leo na hapo ndipo mtakuwa mmenifurahisha na 'sitowalipua' tena kwa 'Upuuzi' mlioufanya ambao 'nimeshapenyezewa' wote na Watu wenu hapo Kambini.
Wewe ni gentamicine hakika
 
Back
Top Bottom