Biashara United (Mara) | Special Thread

Biashara United (Mara) | Special Thread

Pongezi biashara mmejitahidi timu ya nyumbani..
hawa Makwasukwasu Tpl hawatoki pale Musoma
 
Kocha wenu kichaa game umeidhibiti unaanza kutoa wachezaji wazuri,mfano waziri Jr,alipotolewa nikajua tutapata matokeo,japo pale majukwaani tuliteseka leo maana madogo wangeamua kujilipua mngetufunga
 
Hii thread imepoa, biashara inaweza shuka daraja.
 
Yanga ukiwa taifa unasumbuliwa itakuaje Leo umemfata getho kwake hahahaaa yangu macho
 
Back
Top Bottom