Nimewahi kuziona Baa kadhaa ambazo sikuwahi kudhania kabisa zitakuja kupoteza wateja, Wateja walihama kwa style za kimafia sana, yani vuuup!! ghafla bar inaanza kuwa tupu !! sio kwamba bar imefirisika, sio kwamba warembo wamepungua, sio kwamba hakuna service nzuri, n.k. yaani ndio hivyo, Vuup!
Ni kama vile wateja huwa wapo bluetooth connected, akili zao zimeunganika, wakiamua kuanza kuja utakusanya sana pesa zao, ila wakiamua kuhama ni kwa style hio hio kama walivyokuja.
Ni kama vile wateja huwa wapo bluetooth connected, akili zao zimeunganika, wakiamua kuanza kuja utakusanya sana pesa zao, ila wakiamua kuhama ni kwa style hio hio kama walivyokuja.