Biashara ya Barbershop kwa mtaji wa milion 20 inalipa sana

Biashara ya Barbershop kwa mtaji wa milion 20 inalipa sana

Huu ndo mchanganuo kwa wanaotaka kufanya barbershop kwa mtaji wa miti 20(2M)

👉Utengenezaji wa frame ndani na nje
(unakuta labda furniture tu mule ndani kama miti 5 hivi (5M), tuseme labda (decoration ya jengo Mti NNE(4M) hujanunua madryer labda (2M na vifaa vingine Miti 2(2M),hujaweka bhango kubwa pale nje jiwe 5 (laki 5),

👉bando Air conditional na Feni(M2) quality
Total cost ya huu utengenezaji jumla miti 15 na jiwe 5(15.5M)

👉Location standard Haya tuseme frame kwa mwezi jiwe mbili na kokoto unusu(laki 250) total six month ni mti mmoja na jiwe nusu(1.5M)
15.5M+1.5M=17M

👉3M unabaki kwa ajili ya kodi za serikali na kutafuta wafanyakazi wakali plus promotion+

👉Mauzo vichwa kumi kwa siku tuseme Kila kichwa ni 10k kima cha chini unafunga kilo moja (laki moja)
Jiwe moja kwa mwezi ni (miti mitatu) 3M approximately kwa mwaka ni miti 36(36M)

Malipo kwa wafanyakazi hapa tumia kanuni ya pay them in relation to their production per month (kima cha chini ni miti 3(3M) kwa mwezi basi wewe wape 10% ya production ambayo ni jiwe tatu(laki 3 kwa mwezi vinyozi jiwe mbili(laki Mbili) wadada kwa mwezi jumla mi Mti mmoja kwa mwezi ambayo mshahara kwa mwaka ni miti 12(12M mshahara tu wa wafanyakazi)

Sasa chukua mapato 36M-12M=22M

Chukua hiyo 22M(sales)-7M(expenses+purchases+kodi za serikali +plus kodi ya miezi 6 inayobaki) =15M

Kwahiyo kwa barbershop kwa mwaka utaingiza faida M5 then M10 ndo inarudi miti kumi ya kwanza uliyowekeza then miti kumi nyingine utapata mwaka unaofuata kazi kwako uzuri ni sio biashara inayotembea ipo stationary

Bonus advice 🤣weka madada waliosimama wenye mvuto, shape kali, na wawe na good customer care

👉Usafi ni kipengele muhimu sana☑️

👉Usisahau Mwisho kufanya salary motivation kama business inaenda vizuri
Nimeona mahesabu makali nikajua unatupa mrejesho kumbe ni matarajio?
 
Wewe unaongelea kisaloon-hivi ebu fika pale kona ya barabara ya jengo la global tv sinza utaona mfano wa Barbershop inavokua
Hiyo biashara labda niwekeze 1.5 million haizidi hapo tena hapo ni kwa lengo la kumpa ulaji mshikaji wa kitaani tu awe anapata za kula, ila ni aina ya biashara ambazo siziamini kabisa
 
Mimi nadhani mkuu Ata iwe location ya mabibo kimsingi tu quality iwe imenyooka, 5k sio mbaya sana Ila Sasa mwenye saloon anapaswa awe mjanja sana aongee na wadada vZuri 😁customer magnetization
Kibongo Customer care ni mbovu sana kila sehemu.
People hazijali quality of services wao wanajali gharama ya services tu
 
Fukuza hao wafanyakazi Yan sometime wachina nawakubali kwenye hio miti kasi, au watu GGM Yan dereva akikwangua Ata taa ya gari anakula adhabu nidhamu inakuwepo
Kibongo Customer care ni mbovu sana kila sehemu.
People hazijali quality of services wao wanajali gharama ya services tu
 
Wewe huwezi kufanya biashara kama una hiyo mentality
Hakuna cha mentality wala nini.

Theory ni nyingi kuliko uhalisia.

Mtu huwezi kunyoa kila siku kwa siku 30 mfululizo kwa mwaka mzima.

Kuna siku kinyozi ataumwa kuna siku umeme utakatika hapo kuna pesa ushazikosa.

Sio kila siku utapata wateja ishirini kuna siku idadi itapungua.

Hapo pia kuna pesa ushaikosa.

We fanya tu hii biashara but usiiweke kinadharia kupita kiasi.
 
Hakuna cha mentality wala nini.

Theory ni nyingi kuliko uhalisia.

Mtu huwezi kunyoa kila siku kwa siku 30 mfululizo kwa mwaka mzima.

Kuna siku kinyozi ataumwa kuna siku umeme utakatika hapo kuna pesa ushazikosa.

Sio kila siku utapata wateja ishirini kuna siku idadi itapungua.

Hapo pia kuna pesa ushaikosa.

We fanya tu hii biashara but usiiweke kinadharia kupita kiasi.
Tena umenikumbusha hivi barbershop unakoswaje generator na nadhani Unazijua bei za stationary na za vinyoz wanapotumia generator

Kuhusu kinyozi kuumwa. Hawawezi umwa wote uzuri wao Vinyozi wanajuana kuna vijana wa deiwaka inapigwa

Watu wa procurement kuna kitu wanasemaga actual price(bei halisi Baada ya manunuzi) na standard price (bei ya makadirio kabla hujanunua)

Namimi hapa nimeweka standard sales

Sasa hiyo actual sales inaweza ikaanzia hapo kweny standard sales, ikashuka au ikapanda mkuu
 
Huu ndo mchanganuo kwa wanaotaka kufanya barbershop kwa mtaji wa miti 20(2M)

👉Utengenezaji wa frame ndani na nje
(unakuta labda furniture tu mule ndani kama miti 5 hivi (5M), tuseme labda (decoration ya jengo Mti NNE(4M) hujanunua madryer labda (2M na vifaa vingine Miti 2(2M),hujaweka bhango kubwa pale nje jiwe 5 (laki 5),

👉bando Air conditional na Feni(M2) quality
Total cost ya huu utengenezaji jumla miti 15 na jiwe 5(15.5M)

👉Location standard Haya tuseme frame kwa mwezi jiwe mbili na kokoto unusu(laki 250) total six month ni mti mmoja na jiwe nusu(1.5M)
15.5M+1.5M=17M

👉3M unabaki kwa ajili ya kodi za serikali na kutafuta wafanyakazi wakali plus promotion+

👉Mauzo vichwa kumi kwa siku tuseme Kila kichwa ni 10k kima cha chini unafunga kilo moja (laki moja)
Jiwe moja kwa mwezi ni (miti mitatu) 3M approximately kwa mwaka ni miti 36(36M)

Malipo kwa wafanyakazi hapa tumia kanuni ya pay them in relation to their production per month (kima cha chini ni miti 3(3M) kwa mwezi basi wewe wape 10% ya production ambayo ni jiwe tatu(laki 3 kwa mwezi vinyozi jiwe mbili(laki Mbili) wadada kwa mwezi jumla mi Mti mmoja kwa mwezi ambayo mshahara kwa mwaka ni miti 12(12M mshahara tu wa wafanyakazi)

Sasa chukua mapato 36M-12M=22M

Chukua hiyo 22M(sales)-7M(expenses+purchases+kodi za serikali +plus kodi ya miezi 6 inayobaki) =15M

Kwahiyo kwa barbershop kwa mwaka utaingiza faida M5 then M10 ndo inarudi miti kumi ya kwanza uliyowekeza then miti kumi nyingine utapata mwaka unaofuata kazi kwako uzuri ni sio biashara inayotembea ipo stationary

Bonus advice 🤣weka madada waliosimama wenye mvuto, shape kali, na wawe na good customer care

👉Usafi ni kipengele muhimu sana☑️

👉Usisahau Mwisho kufanya salary motivation kama business inaenda vizuri
Wazo zuri, ila biashara ni wateja. Embu tupe na strategy zakuwapata wateja ili hizo 20M baada yakipindi fulani ziwe zimerudi
 
Huu ndo mchanganuo kwa wanaotaka kufanya barbershop kwa mtaji wa miti 20(2M)

👉Utengenezaji wa frame ndani na nje
(unakuta labda furniture tu mule ndani kama miti 5 hivi (5M), tuseme labda (decoration ya jengo Mti NNE(4M) hujanunua madryer labda (2M na vifaa vingine Miti 2(2M),hujaweka bhango kubwa pale nje jiwe 5 (laki 5),

👉bando Air conditional na Feni(M2) quality
Total cost ya huu utengenezaji jumla miti 15 na jiwe 5(15.5M)

👉Location standard Haya tuseme frame kwa mwezi jiwe mbili na kokoto unusu(laki 250) total six month ni mti mmoja na jiwe nusu(1.5M)
15.5M+1.5M=17M

👉3M unabaki kwa ajili ya kodi za serikali na kutafuta wafanyakazi wakali plus promotion+

👉Mauzo vichwa kumi kwa siku tuseme Kila kichwa ni 10k kima cha chini unafunga kilo moja (laki moja)
Jiwe moja kwa mwezi ni (miti mitatu) 3M approximately kwa mwaka ni miti 36(36M)

Malipo kwa wafanyakazi hapa tumia kanuni ya pay them in relation to their production per month (kima cha chini ni miti 3(3M) kwa mwezi basi wewe wape 10% ya production ambayo ni jiwe tatu(laki 3 kwa mwezi vinyozi jiwe mbili(laki Mbili) wadada kwa mwezi jumla mi Mti mmoja kwa mwezi ambayo mshahara kwa mwaka ni miti 12(12M mshahara tu wa wafanyakazi)

Sasa chukua mapato 36M-12M=22M

Chukua hiyo 22M(sales)-7M(expenses+purchases+kodi za serikali +plus kodi ya miezi 6 inayobaki) =15M

Kwahiyo kwa barbershop kwa mwaka utaingiza faida M5 then M10 ndo inarudi miti kumi ya kwanza uliyowekeza then miti kumi nyingine utapata mwaka unaofuata kazi kwako uzuri ni sio biashara inayotembea ipo stationary

Bonus advice 🤣weka madada waliosimama wenye mvuto, shape kali, na wawe na good customer care

👉Usafi ni kipengele muhimu sana☑️

👉Usisahau Mwisho kufanya salary motivation kama business inaenda vizuri
IMG_0555.jpeg
 
min -me, makutupora, dosho12, Monetary doctor, njooni muone huu utumbo 🤣😂
Any way njoen niwauzie chakula Cha samaki vipo, nipo Kigamboni Machava.

Jamaa anaijua finance? Tunahitaji atupe financial analysis kwenye Payback period, Annual Rate Return, Net Profit Value sikumbuk Ila ni NPV,

Nahitaji unielkeze kuhusu cash flow ya hiyo barbershop vizuri!

Mwishoni naomba financial statements ambazo ni audited za Jose saloon ama cutting master barbershop tujidhihirishe Bolotoba
 
Any way njoen niwauzie chakula Cha samaki vipo, nipo Kigamboni Machava.

Jamaa anaijua finance? Tunahitaji atupe financial analysis kwenye Payback period, Annual Rate Return, Net Profit Value sikumbuk Ila ni NPV,

Nahitaji unielkeze kuhusu cash flow ya hiyo barbershop vizuri!

Mwishoni naomba financial statements ambazo ni audited za Jose saloon ama cutting master barbershop tujidhihirishe Bolotoba
😂Io-NPV=SUMMATION OF NPV
 
Back
Top Bottom