ukitaka ikulipe endesha mwenyewe au uwenazo zaidi ya tatu[/QUOT
sasa3 nawezaje endesha mwenyew mkuu huoni tunarud palepale
upo vzur bro,lkn mm nilichogundua kwa wazaz wangu kwanini wanapenda kununua bodaboda za biashara ni kutokana na sababu zifuatazo...1
1) ni biashara ambayo inauhakika wa kuingiza pesa kwa kila siku kwa uhakika.
2) haina complication kama kuuza duka au genge
3)inaweza anzisha biashara nyingine,, pia sisi kule songea kwetu hakuna milima sana kwahyo bodaboda nyng pale home hua zmauzwa baada ya miaka 2.5,, kwa bei isiyopungua 1000000,,, Kwasababu hzii znaniaminisha hata mimi kuendelea kuwekeza kaboom kangu ili mwakan ndake sanlg
Hapana ,kuendesha mwenyewe siwezi kwasababu zilizonje ya uwezo wangu Mkuu.Labda uendeshe wewe mwenyewe, ukiwapa vijana umeliwa.
Wape lakini baada ya miezi 3 utatamani uiuze hata kwa laki 5, jaribu unaweza kubahatisha dereva mzuri.Hapana ,kuendesha mwenyewe siwezi kwasababu zilizonje ya uwezo wangu Mkuu.
Sasa embu mkuuu nishauri kuhusu hayo maelezo niloyasema juuu...nipikipiki gan inafaa japokua barabara zetu mbovu ,,ila angalau yenye kudumuWape lakini baada ya miezi 3 utatamani uiuze hata kwa laki 5, jaribu unaweza kubahatisha dereva mzuri.
Asante mkuu ktk hilo pia ...ndio maana naiamin JF.Ukipata dereva mbaya huwa ni pasua kichwa ile mbaya asee. Kila siku hamna hesabu.
Kabla ya yote hakikisha umepata dereva mzuri
Aina ya king starSasa embu mkuuu nishauri kuhusu hayo maelezo niloyasema juuu...nipikipiki gan inafaa japokua barabara zetu mbovu ,,ila angalau yenye kudumu
Asante sana.Aina ya king star
Asante sana mkuuu , ila nje nahapo siwezi , hesabu inakataa kabisaa.kwa hela yako unahitaji pikpiki iliyokwisha tukika la kama ni mpya basi ni FEKON ambayo inauzwa 1.7-8 m ila ungekuwa na hela ya kutosha TVS inafaa bei ni 2m
NotedAsante sana.
Hiyo biashara siku hiz imeharibikaWakuu, natumaini kila mmoja ni buheri wa afya !!!...
Kuna kaela nimekapiga fasta fasta nje ya mzunguko wangu sasa nataka nikaweke ktk mzunguko wakujitegemea.
Naomba kujuzwa ,,Ni pikipiki ya aina gani inafaa kwa Ujasiriamali wa bodaboda ??.
Naomben msaada ktk haya...
Ya aina gan ?
Utumiaji wa mafuta ?.
Ubora?
Na maisha yake ?
Pia garama yake ICHEZEE 1.2M-1.6M.
* no one wants to be treated like an option.*
Asante mkuuu...ndo uzuri wakuja hapa....nitaku PM ,,nipate ushauri wako.
hiyo 1.7 ndio being punguzo halafu hata mazingira ya biashara in rahisi kwa dereva kufanya kazi akiwa na TVs au boxer ndio maana nikakushauri kama unaweza chukua TVs ziko poa 2m full registration ukitoka hapo pikipki inaingia barabaraniAsante sana mkuuu , ila nje nahapo siwezi , hesabu inakataa kabisaa.
Iyo ya 1.7 yaaan bei huwa haipungui ??.