RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Kwa Sasa Nipo Mwanza.....Ndio Changamoto ni hiyo sana Sana ndo Naambiwa na Kukumbana NayoUko mkoa gani?
Kwa ujumla biashara hii ina changamoto sana hasa vijana ni pasua kichwa!!
Ingawa wengine wanasema Kuwa wakupigie Kazi Yako baada Ya mwaka Wakulipe Hela Yako then Uwaachie Pikipiki... Sasa Hii kwangu Changamoto aisee