Fanya hivi...
Tenga siku 2 ambazo utakua free, shinda kijiweni vijana wanapiga kazi we unakusanya pesa, then calculate the average earnings, kuanzia hapo utajua nini kinatakiwa kipatikane kwa siku, (jisemeshe kwa sauti kijana asikie- ah hii biashara nzuri sana, yani kila siku ntakua naingiza say 40'000)
Mwache kijana apige kazi, kamwe hawezi kukuibia..
Na kama.ni mfanyakazi achukue likizo hata ya wiki.
Asimamie mauzo na kusoma biashara. Inakwendahe. Nini kinatoka sana nini aboreshe nk
Then mpe anweza mpa limit au amweleze bila kiasi kadhaa hatomwelewa
Usiogope kuibiwa kikubwa angalia usipate hasara, kama anachapa kazi vizuri na faida inakutosha achanana fikra hizo watakukimbiwa sana
Sahani moja ya chipsi ni viazi viwili vya mbeyaKaka Chris, nifafanulie zaidi, kivipi? Mana yeye ndie anakata kata na kukaanga, embu nisaidie ndugu!
Kama kawaida ya jukwaa letu kushauriana na kuelimishana, hatimaye nimefanikiwa kuanzisha biashara ya chips ila tatizo nakuwa busy mpaka saa 12 jioni, je nifanyeje ili niweze kuweka strong internal control ili kuthibiti kuibiwa? Asanteni!
Nunua vifaa vyote viazi,tomato,kuku, mayai,mafuta, mkaa nk, halafu mpange kila siku awe anakupa sh ngapi inategemea na eneo alipo kama ni elfu 10/15/20 we utakuwa unapewa hela yako ,na vitu vikiwa vinaisha anatakiwa awe ananunua yeye wewe unalipa kodi ya pango tu. lakini ukisema umsimamie we haupo atakuwa ananunua viazi vyake anauza we ukija unakuta viazi vyako anakwambia biashara mbaya.
skia kilo moja ya viaz sawa na saa 4 za chips so km gunia kilo mia piga mahesabu mi nshauza ila sa hv nimeacha zina faida sanaKama kawaida ya jukwaa letu kushauriana na kuelimishana, hatimaye nimefanikiwa kuanzisha biashara ya chips ila tatizo nakuwa busy mpaka saa 12 jioni, je nifanyeje ili niweze kuweka strong internal control ili kuthibiti kuibiwa? Asanteni!
Sahani moja ya chipsi ni viazi viwili vya mbeya
Hivi wakuu kuna Ulazima gani wa kujibu ikiwa mwenzako anaomba ushauri wa Biashara yake? Majibu yenu yanaonyesha ni watu wa aina gani.
Saa nyingine hata mpumbav.u huonekana ana Akili pindi akinyamaza kimya!
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Mkuu hizo efd ni sawa na na hizi eftpos machine?View attachment 171658
Yes yaaani kulipa ni kwa hisa card..mpunga unajikusanya barclays