Biashara ya choo baada ya kustaafu utumishi wa umma

Biashara ya choo baada ya kustaafu utumishi wa umma

Mbona coaster mnaisagia sana kunguni alafu hapa mjini zipo kama zote
Mtu unayejiingiza kwenye magari uwe bado na nguvu za kukimbizana na madereva na Mafundi, pia uwe na uwezo wa kuhimili Presha na mikikimikiki... Madereva hawachelewi kuuza Injini, ukawekewa Mbovu.. Au mkizinguana akalitupa Korongoni, ili tu akukomoe.. Gari iko Mbeya wewe uko Musoma unaambiwa amekamatwa na Latra, mara Uhamiaji, mara Trafiki, mara Gari haipigi Stata..

Sasa Mstaafu, pesa ya ngama na biashara hujawahi ifanya aisee utashangaa unakufa kabla ya Muda na Malaika Mtoa roho akukatae muda wako bado.. Mbinguni haupo, duniani haupo!!
 
Mtu unayejiingiza kwenye magari uwe bado na nguvu za kukimbizana na madereva na Mafundi, pia uwe na uwezo wa kuhimili Presha na mikikimikiki... Madereva hawachelewi kuuza Injini, ukawekewa Mbovu.. Au mkizinguana akalitupa Korongoni, ili tu akukomoe.. Gari iko Mbeya wewe uko Musoma unaambiwa amekamatwa na Latra, mara Uhamiaji, mara Trafiki, mara Gari haipigi Stata..

Sasa Mstaafu, pesa ya ngama na biashara hujawahi ifanya aisee utashangaa unakufa kabla ya Muda na Malaika Mtoa roho akukatae muda wako bado.. Mbinguni haupo, duniani haupo!!
kweli kabisa ,hizo hela aweke UTT awe anaingiza faida kidogo ,zingine ndio afanye biashara nyepesi nyepesi tu .

mfano km ni mil 100 . mil 70 aweke utt atapata angalau 700,000 kila mwezi ,hio mil 30 ndio afanye mengine .

biashara kama hajjawahi fanya atakufa mapema ,

achana na biashara za magari na hela za mafao
 
Hio Breakdown ya Choo ipo vipi ?
  • Kukodi eneo (sababu sidhani kama eneo ni bure na kama ni mali ya Halmashauri ni kwamba unakodisha kwao au kuingia nao mkataba wa kuwapa baadhi ya faida
  • Kila mtu akiingia ni bei gani
  • Gharama ya msimamizi
  • Usafi na uendeshaji
  • Na capacity ya kila choo yaani mfano una tundu moja linaweza likatumia watu wangapi kwa siku sababu sidhani kama ni saa moja hata kama una watu 60 (sidhani kama kila mmoja atachukua dakika moja moja)
That said hakuna biashara mbaya bali ni ufahamu wa siri za biashara husika
 
Wadau salama, CCM hoyee.

Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.

Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.

Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.

Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.

Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.

Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.

Nawasilisha.

.
Kwani kulikuwa na ulazima wa kumtaja jina na hayo maelezo yote ya kujiweka open, huoni kama anonymity yako inapotea. Au kwako hilo sio shida? It's just a thought though.
 
Mimi namshauri biashara ya choo.M
ara kadhaa vijana tunajadili na kuwaonea huruma wazee waliofikia kustaafu na kuona jinsi walivyo na wakati mgumu.
Jeee wewe unajiandaaaje kwa kustaafu kwako?
Miaka haigandi,ukishaitwa baba au mama soon unaitwa Bibi au Babu,
Wakati Ni Sasa.
Mimi nawaza pia,Mungu atujalie hekima na busara tufanye maamuzi sahihi.
 
Wadau salama, CCM hoyee.

Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.

Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.

Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.

Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.

Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.

Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.

Nawasilisha.

.
...Anfunga 50 Kwa Siku ? Vyema, baada ya Kufungua 50, gharama za Usaishaji Vyoo ? Gharama ya Maji ??...
 
Wadau salama, CCM hoyee.

Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.

Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.

Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.

Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.

Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.

Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.

Nawasilisha.

.
Ailete tu deposit Forex. Kwa mtaji wa $50,000 kupata 5% ya hela ni uhakika kila siku. Tuta deal na volatility indices ambazo haziathiriwi na News. Daily soko lipo.
 
Wadau salama, CCM hoyee.

Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.

Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.

Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.

Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.

Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.

Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.

Nawasilisha.

.

Coastal special Hire 2 ? Asithubutu ataingia kwenye shida kubwa sana!
 
Wadau salama, CCM hoyee.

Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.

Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.

Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.

Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.

Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.

Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.

Nawasilisha.

.
Aweke biashara ya choo, akiona anaibiwa abakuwa anashinda mwenyewe kukusanya mapato, vijana kazi hao kufanya usafi. Biashara ya coaster hao vijana wanataka wamuue mzee wao kwa presha mana watakuwa wanampelekea hesabu kidogo na visingizio kibao mara gari limeharibika hiki na kile, faini kukamatwa nk
 
Back
Top Bottom