😀😀 Msalimie SirjefAilete tu deposit Forex. Kwa mtaji wa $50,000 kupata 5% ya hela ni uhakika kila siku. Tuta deal na volatility indices ambazo haziathiriwi na News. Daily soko lipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 Msalimie SirjefAilete tu deposit Forex. Kwa mtaji wa $50,000 kupata 5% ya hela ni uhakika kila siku. Tuta deal na volatility indices ambazo haziathiriwi na News. Daily soko lipo.
Nina mzee mmoja kafeli biashara baada ya kustaafu na kuwehuka kawehuka pale Vikunai. Kastaafu zake uanajeshi kafungua biashara msimamiz mkewe 😂Mtu hana experience ya biashara kasimuliwa huko biashara za makaratasi akaona aje afanyie experience kwwnye pesa ya pension ...watamuwahisha mzee wa watu akhera kwa pressure na mawazo .Biashara zinaupside down kibao na huwa hazisemwi na mchambuzi wa biashara yanaongelewaga mazuri tu ..kwa mtu ambae hakuwahi kufany biashara ujana wake wote aje ajaribie uzeeni anaweza akashindwa kuhimili japo wapo wanaotoboa
Amesema ataweka maeneo tofauti, sio eneo mojaHao watu wa kwenye madafutari sio rahisi, Kuna watu sokoni wanabanwa haja kubwa wanajamba tu na kuonana sembuse ndogo.
Hawatakagi kupewa ushauri wakizshika, utaonekna unatak kumuibiaNina mzee mmoja kafeli biashara baada ya kustaafu na kuwehuka kawehuka pale Vikunai. Kastaafu zake uanajeshi kafungua biashara msimamiz mkewe 😂
kifupi SPS😁Ntampa jina la biashara ya choo!
"SHAYO POOP STORE"
Tunaohanhaika mtaani tunaonekanaga kama tulikose maisha vile ila hizo heka heka ukishazoea hata ukifika 60 bado hutaona ajabu ukikutana na misukosuko maaana hakuna la kukustua ila wageni (waajiriwa )sasa wakifika field na kuona mambo vile yako lazima wahahe ukizingatia alizoea kila mwisho wa mwezi anaenda kutega ATM.Nina mzee mmoja kafeli biashara baada ya kustaafu na kuwehuka kawehuka pale Vikunai. Kastaafu zake uanajeshi kafungua biashara msimamiz mkewe 😂