Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Hufiki mbali, Tayari unadondokea pua.😂😂😂😂😂😂 Baiskeli ya barafu hio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hufiki mbali, Tayari unadondokea pua.😂😂😂😂😂😂 Baiskeli ya barafu hio.
Jiwe tahira, kiongozi tahiraHa
Hata Jiwe Alisema Kama Huna 500 Kaa Na Ma*v,* Yako
Huo mji watu wanakunya sana hata muda wa kufanya kazi hawanaHivi biashara ya Coaster Special hire inaweza ingiza 400k hadi 600k kwa uhakika kabisa..??
Tzs200x500 people = Tzs100000/day... Huduma ya choo
😅😅jf jamaniHa
Hata Jiwe Alisema Kama Huna 500 Kaa Na Ma*v,* Yako
Laki nne kwa siku ni zile stori za wanavyuo wanapokuwa wamemaliza UEBiashara ya choo itamlipa kwa sababu jiji lina uhaba mkubwa wa hiyo huduma. Ni biashara isiyohitaji presha. Hiyo special hire ya kupata laki 4 kwa siku ni uongo mtupu.
Rafiki Yako mwongo huwezi pata 50000 kwa siku otherwise huo mkoa una wagonjwa wa kipindu pindu.Wadau salama, CCM hoyee.
Huwa nina tabia ya kupiga story na wazee watu wazima kidogo.
Sasa kuna huyu amebakiza kama miezi sita ya kustaafu kazi ya utumishi wa umma.
Anaitwa mzee Shayo, anasema yeye anataka hela yake akishastaafu ajenge at least matundu 30 ya vyoo hapa mjini sehemu tofauti tofauti.
Ila watoto wake wakubwa tu wamemshauri anunue Costa mayai 2 azipige special Hire at least kwa siku awe ana uhakika wa laki 4 mpaka 6.
Je, wana uchumi mawazo yenu ni yapi ? Tujengane maana naamini kwamba hata hapa JF wapo pia wastaafu au wanaokaribia kustaafu. Watapata mawazo pia.
Kwangu mimi, Ningemshauri biashara ya choo, maana nina mshikaji wangu yuko buguruni yeye ana matundu manne, kwa macho yangu jamaa anafunga elfu 50+ kwa siku.
Nawasilisha.
.
Hivi biashara ya Coaster Special hire inaweza ingiza 400k hadi 600k kwa uhakika kabisa..??
Tzs200x500 people = Tzs100000/day... Huduma ya choo
itikia oyee kijana usilete ujuaji hawa ndio watawala wako"Ccm hoyee"🚮🚮🚮
Watawala wenu hao mimi sihusiki.itikia oyee kijana usilete ujuaji hawa ndio watawala wako
Dah safi sana jina simple na catchy 😆Ntampa jina la biashara ya choo!
"SHAYO POOP STORE"
Mtu hana experience ya biashara kasimuliwa huko biashara za makaratasi akaona aje afanyie experience kwwnye pesa ya pension ...watamuwahisha mzee wa watu akhera kwa pressure na mawazo .Biashara zinaupside down kibao na huwa hazisemwi na mchambuzi wa biashara yanaongelewaga mazuri tu ..kwa mtu ambae hakuwahi kufany biashara ujana wake wote aje ajaribie uzeeni anaweza akashindwa kuhimili japo wapo wanaotoboaNi kweli mkuu, biashara za kustaafia ni mtihani sana. Zinawaongezeaga depression wazee wa watu