Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wenye viwanda mara nyingi hawaji ndiyo.Sijaona michango juu ya soko la biashara hii likoje. Je wenye viwanda wenyewe hawaji huko?
Mkubwa milioni kutoboa kwake kugumu sana kama unataka kupeleka mikoa ya mbali Kwani itanunua mzigo tu na kwenye suala la usafiri utakwama labda uwe unatoa porini kuleta mjini (sokoni). Itakulipa.makanya nina million moja niko kahama naomba unipe maelekezo jinsi ya kuigawanya kuchukua mzigo usafir na soko manake nmechoka kutumikia ofice za watu
pow pow nmechukua namb zako ntakuchek nkifika musoma uko polin ndio ntazama mpaka ukueMkubwa milioni kutoboa kwake kugumu sana kama unataka kupeleka mikoa ya mbali Kwani itanunua mzigo tu na kwenye suala la usafiri utakwama labda uwe unatoa porini kuleta mjini (sokoni). Itakulipa.
Okay, Ila kwa sasa hv mi niko Dar sipo Musoma Mkuu.po
pow pow nmechukua namb zako ntakuchek nkifika musoma uko polin ndio ntazama mpaka ukue
Makanya unaweza kunipa contact za viwanda vinavyonunua chakura cha kuku kwa hapa dar?Okay, Ila kwa sasa hv mi niko Dar sipo Musoma Mkuu.
NpmMakanya unaweza kunipa contact za viwanda vinavyonunua chakura cha kuku kwa hapa dar?
Piga namba zangu pale juu ntakupa Maelekezo.Mi Niko musoma nilikuwa nawaza sana biashara ya dagaa ila Hawa wa kukangwa VP soko lake likoje kwa kusafirsha mikoa mingine naomba unisaidie kwa maelezo bwana makanya
Wanaotaka dagaa Mwanza directly wanione PM.
Wanaotaka dagaa Mwanza directly wanione PM.