Kwanini dagaa wa kukaanga ni bora zaidi kibiashara ukilinganisha na dagaa wengine au Samaki.
Kwanza ni bei rahisi
Wanalika hata bila viungo vingine
Hawahitaji maandalizi ukitaka kuwaunga
Ni watamu sanaa (wenye chumvi)
Hawaaribiki kirahisi.
Ni kati ya bidhaa ngeni hasa maeneo yasiyo na ziwa. (wengi wanapenda vyakula vigeni)
Mfanyabiashara utaweza kuwapima katika vipimo tofauti kuendana na soko Lako.
Habari zenu wadau
Pata dagaa safi wakubwa waliokaangwa katika hali ya usafi kabisa.
Dagaa hawa wametiwa chumvi na tunaanza kupima kuanzia debe 5 na kuendelea.
Dagaa wanapatikana Mwanza na utatumiwa mahali popote Tanzania kwa usafiri wa uhakika.
Bei kwa wengi tunauza Tsh 35,000 kwa debe moja na kama utafunga kwenye small containers unaweza mpaka kujipatia 100,000 Tsh
Mawasiliano ni 0622193871 masaa 24/7 press order kubwa mapema ili kupata mzigo kwa wakati.
Nyote mnakaribishwa jumla na rejareja pesa nje-nje.