Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Naamini utapata mawazo/michango mizuri ya kukujenga.


Nakutakia kila la kheri mpambanaji mwenzangu.
 
Komaa dogo Mwenyezi Mungu ni mwaminifu utatoka kimaisha
Hata hivyo nakushauri tanua wigo wa biashara yako kwa wadau wengine mikoani ambako bidhaa hiyo ni adimu
Mfano unaweza kumpata mtu ambaye atakuwa anasambaza mzigo kwa Mama lishe walioko maeneo mbalimbali mikoani
Unatuma mzigo akausambazia kwa bei ambayo na yeye ataingiza kipato
Pia ili dagaa wako watoke haraka lazima uangalie ubora wa bidhaa yako
Dagaa wasafi wa kukausha na jua na dagaa wasafi wa kukaanga
Wote wanalipa
Kila la kheri kwenye biashara yako
 
Komaa dogo Mwenyezi Mungu ni mwaminifu utatoka kimaisha
Hata hivyo nakushauri tanua wigo wa biashara yako kwa wadau wengine mikoani ambako bidhaa hiyo ni adimu
Mfano unaweza kumpata mtu ambaye atakuwa anasambaza mzigo kwa Mama lishe walioko maeneo mbalimbali mikoani
Unatuma mzigo akausambazia kwa bei ambayo na yeye ataingiza kipato
Pia ili dagaa wako watoke haraka lazima uangalie ubora wa bidhaa yako
Dagaa wasafi wa kukausha na jua na dagaa wasafi wa kukaanga
Wote wanalipa
Kila la kheri kwenye biashara yako
Ahsante wapendwa kwa ushauri, naamini ushauri mzuri ni ngazi pia ya kuyaona mafanikio.
Barikiwa
 
Jaribu kwenda ziwani ukaonane na wafanyabiashara wakupe A B C za kuanza huku ukifanya utafiti kimyakimya..

Kila la heri
 
Natafuta mtu wa kufanya Nae biashara ya Dagaa wa kukaanga toka mwanza ...Mimi nawategeneza nawafunga kwenye pakti alafu nakutumia...ntakuuzia kwa shiling 700 kwa pakti bei ya jumla nawe utauza kwa 1000 rejareja...kama upo dar, Mbeya, iringa au arusha, manyara, moshi, simiyu nk ...tuwasiliane mzgo unafika mpaka stendi ya mkoa ulipo... kama upo interested ni pm namba yako...maoni pia yanakaribishwa ahsanteni
 
Habri zenu wakuu. Natamani Sana kufanya biashara ya dagaa mwanza lakin sijui wap pakuanzia kwakua sina mwenyeji katika biashara hii especially watu wa mwanza. Kama kuna Mtu anafanya hii biashara tafadhali tuwasiliane nahitaji nipate Mzigo nipeleke mikoa ya kusin ingawa mwenyew naishi Dsm....0768597186
 
Mimi nafanya bussiness hiyo kwa zaidi ya miaka minne sasa, offer nakusafirishia free mpaka ubungo.
Nauza kiasi chochote utakacho, na nina aina tano za dagaa zote kutoka mwanza, sample zipo ukitaka.
Karibu PM
 
Back
Top Bottom