Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Ni kweli mkuu Mimi nipo Mwanza ila nilifikiria kuwa kaanga na kuwapeleka mbeya. Ila sijajua bei yake ipoje sokoni hasa mbeya ninapo hitaji nipeleke
haaaa kumbe tuko wote Mwanza! uko Mwalo upi?
 
Naomba nikuulize hapo ulipo dagaa zipo? if yes, basi nakuhakikishia kuwa hiyo biashara ina lipa sana cha muhimu uwe makini kwenye packing

Vp Mkuu na biashara ya samaki Sato na sangara kuwaletA dar? Usafirishaji na mtaji km sh ngap hivi unatosha? Naomba mchanganuo kidogo nataka nijaribu na mm.
 
Hii normal waweza elezea vizur kaka.....yaan wanao fwata bidhaa polini,..wananunua bei gan kwa wavuvi mpk kuleta kwa wafanya biashara wakubwa na soko lao huwa vip??
 
Hizi ndizo fursa za kushirikishana hongera mleta mada naona umetumia mtandao vizuri
Ngoja tujipange tuchangamkie fursa
 
safi sana mkuu kuna kiwanda kingine cha chakula cha kuku kipo tegeta kama siyo basihaya au nyaishozi..ni cha kutengeneza chakula cha kuku wananunua sana hata mahindi..mashudu
 
Nashukuru kwa kutupa somo I real appriciete this thing
 
Hii normal waweza elezea vizur kaka.....yaan wanao fwata bidhaa polini,..wananunua bei gan kwa wavuvi mpk kuleta kwa wafanya biashara wakubwa na soko lao huwa vip??
Ntafte kwenye namba zangu hapo juu ntakuelekeza kwa ufasaha zaidi.

Karibu.
 
Hii fursa ninzur ila vp kuhusu mtaji wakuanza nao?
 
Ubarikiwe bro..haya ndo mawazo vijana tunapaswa kuwaza
 
Wakati naletwa musoma kikazi sikuwahi kuona fursa yeyote kwani maisha ni magumu kimtindo halafu ni expensive. Mzunguko wa pesa ni mdogo , kila kitu bei juu. Hapo mwigobero sikuwahi kujua kwamba kuna madini kihivyo. Ambaye anahitaji msaada wa kukusanya mzigo naweza kumsaidia ila itabidi anilipe lol!
 
Ndugu yangu Acha kuniletea Hasira zako za Mwendo Kasi hapa Ni wap nimesema uongo, onesha hicho Kipande hapa please kama huna Busara nenda kapande Gari za Mwendo Kasi ukale mbele .
Huyu ni mfanya biashara hiyo tayari, hapa anatafuta namna ya kuvuruga mada wengine wasifuguke macho
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…