tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Toka lini ccm wakawa sio wezi,mwendazake alikua mwizi wa kiwango cha jet za nasaBado madini, kisha twiga wataanza kupanda ndege!
Hujui kitu kaa kimya,mfumo imara ni KATIBA,mfumo ukiwa imara kiongozi akiwa dhaifu mfumo utamnyoosha ila kiongozi akiwa mzuri mfumo mbaya lzm huyo kiongozi aharibu tuuHivi mfumo imara ni nini na unajengwaje na unafanyaje kazi pasi na kuwa na wasimamizi imara ? Maana huwa naona huu wimbo unaimbwa sana.
Ngoja tufanye mpango uolewe na MboweMbowe achie ngazi umelalamikiwa na wengi,.
ipo siku hao nyumbu unaowalipa kukutetea watachoka.
China ukikamatwa na unga adhabu yake ni kunyongwa lakini bado watu wanaingiza unga kama hawana akili leo hii useme jiwe alikomesha hio biashara ni maajabuWewe ndio uache unafiki,vita dhidi ya madawa ya kulevya aliweza kuipunguza kama sio kuimaliza kwa kiasi kikubwa,mkazi yoyote wa jiji la Dar anajua ni kwa jinsi gani vijiwe vingi vya uuzwaji wa madawa ya kulevya vilipungua.
Hata mateja barabarani na vituoni mwa mabasi walipungua sana.Wacheni unafiki, biashara ya madawa ya kulevya tuseme tu kwa sasa inaanza kurudi.
Alikuw kiongoz mzuri huenda,ila point chache zlimpga chini lakini pia alosimama ni rais.Aloondoka hakuwa Mungu.'Mtanikumbuka'.......by mwendazake!
Acha kutukana watu weweYaani utafute fedha kwa kuua watu?
Mhhhh! Nyie ndio wale watoto ambao mama zenu walifanya mauzo ya papuchi kando ya barabara!
Mmezoea utamu wa fedha haramu!
Sasa si ndiyo nimeuliza kijana ?Hujui kitu kaa kimya,mfumo imara ni KATIBA,mfumo ukiwa imara kiongozi akiwa dhaifu mfumo utamnyoosha ila kiongozi akiwa mzuri mfumo mbaya lzm huyo kiongozi aharibu tuu
Sijasema kuwa alikomesha biashara hiyo,lkn ni ukweli kuwa alipunguza kwa kiasi kikubwa uingizwaji wa madawa hayo,hata watumiaji au mateja mitaani walipungua sana.China ukikamatwa na unga adhabu yake ni kunyongwa lakini bado watu wanaingiza unga kama hawana akili leo hii useme jiwe alikomesha hio biashara ni maajabu
Hii biashara haiwezi kuisha mpaka mwisho wake dunia, au kutokee matumizi yake mengine. Ni biashara ambayo Ina risk kubwa sana, pia inafaida kubwa sana Mara millions kuliko biashara zote duniani, Kama hao watanzania walikuwa na kilo mbili values yake 13.35crores ni sawa $2,000,000 ina maana hizo tone moja or kilo 860ni sawa $860,000,000.00 sawa na pesa ya kitanzania trillions 2. Kwa nini wasifungue vituo vya mafuta kila mtaa wa nchi, au wanunue mabasi mapya 100 kwa mpigo. Mwache JPM alale amelala na mengi .Kwa lipi? Kwamba madawa yaliingizwa baada ya kufa? Tuache unafiki, hizi mambo hazijawahi kuisha, sema tu hawa jamaa wamechukua kilo kadhaa maana haisomeki tani moja tena bali 860kgs
Ila wengine waumie etiAcha watafute fedha. Wengine wametafuna mabilioni ya umma lakini no action taken.
Acha wajihangaikie na riziki zao.
Tatizo sijui mnatembea na vibuyu kichwan au sijui mnafikiria kwa kutumia ni nin?mnashindwa kbs kuelewa uhuru wa habar ndio ulisababisha tusipate hizo taarifa.....Sijasema kuwa alikomesha biashara hiyo,lkn ni ukweli kuwa alipunguza kwa kiasi kikubwa uingizwaji wa madawa hayo,hata watumiaji au mateja mitaani walipungua sana.
Hapo awali biashara ilishamili sana kuanzia kwenye vijiwe,kumbi za starehe mpaka kwa mama ntilie,hali ilikuwa mbaya.
Awamu ya 5 ilijitahidi kuongeza nguvu kwenye vita dhidi ya biashara hiyo.
Kwa hiyo unatuambia hizo ni Mali ya serikali?Acha yaje kwani MTU analazimoshwa kununua??? Mradi ajira ziwepo na mshahara uongezeke
Dah! 😅,wewe unaishi shimoni kiasi kwamba ushindwe kuona kinachoendelea ndani ya jamii mpaka usubili vyombo vya habari😅.NonsenseTatizo sijui mnatembea na vibuyu kichwan au sijui mnafikiria kwa kutumia ni nin?mnashindwa kbs kuelewa uhuru wa habar ndio ulisababisha tusipate hizo taarifa.....
hamna tatizo muda ni mwalimu mzuri.
nimekupa mfano wa ujangiri na ujambazi,kwa makusudi unauruka ili dhana yako isiingie doa.
kazi za mtu huwa zinaongea,kuziita makelele na maonyesho ni maamuzi ya mtizamaji.
Usibariki matumizi na usambazaji wa madawa ya kulevya
labda useme ugomvi wako ni kuona jamaa akisifiwa.View attachment 1772422
That's just first page of the search result...
Btw, unaweza kutaja hapa Serikali ya JPM ilifanya mikakati ipi kupambana na majangili?! Sie tunaofuatilia ukweli tunafahamu Operesheni Tokomeza Majangili ilifanywa na JWTZ wakati wa JPM akiwa waziri!
Ilikuwa ni operesheni kubwa ambayo ilizua sokomoko hadi bungeni! Haya nijuze, Shujaa mnayehangaika sana kutaka kuaminisha watu kwamba alikuwa ndo kila kitu, alianzisha vita ipi dhidi ya majangili? Au walipoona kaingia madarakani tu, majangili wakaufyata?
Sisi yetu ni kusema mtanikumbukaKwa masikitiko makubwa naangalia jinsi wasafirishaji wa Madawa ya kulevya wameona kuwa huu ni muda muafaka kuanza biashara yao haramu...
Dada waache......Ni muda sahihi madhambi yote kurudi.
Juzi nimesikia mpuuzi mmoja akisema "mama amesema kazi iendelee, kwahiyo wanafunzi tutawatia mimba na kesi zitaishia police...
Hiyo mifumo inaongozwa na panya !!?Ndio ujinga wa kumjenga mtu badala ya kujenga mifumo na institutions imara. Ujinga huu umeletwa na CCM ukasifiwa na Wana CCM, unakosolewa na wana CCm, unalindwa na kufurahiwa na wana CCm, unalalamikiwa na wana CCm . mwisho unaishia kusonya na kuwaona vichaaa Kama chichidodo