pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
Kwa masikitiko makubwa naangalia jinsi wasafirishaji wa Madawa ya kulevya wameona kuwa huu ni muda muafaka kuanza biashara yao haramu.
Baada ya lile tukio la kukamatwa kwa kiwango kikubwa zaidi ya tano moja kule lindi ambapo ukisoma muendelezo wake kwenye magazeti utaona hati ya mashtaka imebadilishwa na kuandika kiwango kidogo cha Madawa kuliko kile cha awali.
Watanzania wengine wamekamatwa nchini India 🇮🇳 wakiwa na kilo mbili za cocaine kama chanzo kinavyoonyesha kwenye picha, hii inaenda sambamba na idadi kubwa ya watumiaji ambao wameanza kuonekana katika mitaa yetu. Swali langu ni kwa nini wanadhani sasa ni muda sahihi?
=====
Baada ya lile tukio la kukamatwa kwa kiwango kikubwa zaidi ya tano moja kule lindi ambapo ukisoma muendelezo wake kwenye magazeti utaona hati ya mashtaka imebadilishwa na kuandika kiwango kidogo cha Madawa kuliko kile cha awali.
Watanzania wengine wamekamatwa nchini India 🇮🇳 wakiwa na kilo mbili za cocaine kama chanzo kinavyoonyesha kwenye picha, hii inaenda sambamba na idadi kubwa ya watumiaji ambao wameanza kuonekana katika mitaa yetu. Swali langu ni kwa nini wanadhani sasa ni muda sahihi?
=====