Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Naandika kwa uzoefu wa chooni.Ulishawahi iufanya hiyo biashara? Au unaandika kwa uzoefu wa kijiweni!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naandika kwa uzoefu wa chooni.Ulishawahi iufanya hiyo biashara? Au unaandika kwa uzoefu wa kijiweni!?
Hiyo ya kuchimba ndo unafilisika huku unaona, wale wachimbaji huwa wanajali uwalishe tu we wanakupa moyo kuwa wameuona mkanda wa dhahabu hauko mbali kumbe wanakudanganya utawalisha na kuingia hasara saa hiyo kila baada ya mita kadhaa inabidi ufunge zile box za timba mti mmoja unauzwa hadi 20k kufunga box 1 tu unatumia hadi 300k+What if!
Nikiwa na shimo langu, mchimbaji akaingia kuchimba tukagawana mifuko.
Na mchimbaji aliechimba akajakusaga kwenye mashine yangu pia!!
Nikatunza lundo langu kwa 5-6months
Nikaingiza plant?
Hapo sipati kitu?
Hiyo ya kuchimba ndo unafilisika huku unaona, wale wachimbaji huwa wanajali uwalishe tu we wanakupa moyo kuwa wameuona mkanda wa dhahabu hauko mbali kumbe wanakudanganya utawalisha na kuingia hasara saa hiyo kila baada ya mita kadhaa inabidi ufunge zile box za timba mti mmoja unauzwa hadi 20k kufunga box 1 tu unatumia hadi 300k+
Alafu inatakiwa usimamie masaa 24 kama una familia inabidi wakusahau ukiwapa nafasi tu wanakuibia
Biashara ya madini ni ngum sana wale wa karasha maeneo mengine hawalipwi wanasaga bure wanachonufaika ni kubaki na ile vumbi ya marudio ambayo nayo kuiozesha na kupata dhahabu inabidi uipeleke plant, kukodisha plant kwa mwezi siyo chini ya million 2 sehem nyingine 3m alafu walinzi inabidi uwaweke we mwenyewe na uwalipe nje na gharama ya kukodisha plantKwahivyo njia ipi nzuri kupata mawe mazuri kwenye karasha lako?
Biashara ya dhahabu naifananisha na forex. Kutajirika na kupotea ni kugusa tu.... Kama ni kuhusu kukusanya marudio m25 haitoshi na utaingia kwenye madeni yasiyo ya lazima.....
Kuna mdau katoa ushauri WA kutoa huduma nadhani tengeneza kibanda movable tembelea kwenye milipuko ya MADINI (rush) kuwa updated Sanaa kutajua maeneo maji tu yanaweza kukupa faida kubwa sanaa
Sawa hata hiyo inatosha ila risk ni kubwa mno... Dhahabu ni mchakato WA muda mrefu (hasa WA marudio)...... Kwa mtaji wako itakulazimu kuchukua PPM ndogo na kumbuka wajanja ni wengi mno Kwa hii business kuegeshewa mzigo ni kugusa so kusema shngapi hasa ni itategemea ila to me at least 150 inakupa uhakika WA kurekebisha makosa kiasi ila 25 kosa dogo umeenda na maji.Kwa kuwekeza kwenye biashara husika (dhahabu) kwa kununua marudio shingapi inatosha kuanzia?
Hii biashara mkuu acha kabisa. Tuliingia huko hukp chinya na jamaa yangu. Mwanzo ilitulipa tukaona tulikuwa wapi mbona tulichelewa. Ila kibao kilipogeuka, yan tulichoma mtaji tukabaki na mils 8 tu kaamua tuigawane kila mtu aende akajipange upya.Kabla ya kujingiza kwenye hiyo biashar.kwanza Uijue.zunguka kwenye machimbo ya dhahab uifaham na ujenge uzoefu pia.yan hiyo m 25.kuichoma ni ,madakika.so mkuu fanya utafit wa kinadharia kwanza pasipo kitumia kias kikubwa cha hela..angalizo faida ni kidgo sana sio kama inavyoaminishwa.na ili upate faida kubwa itakulazm uwe mafia
Umeshaur vzur sana.Sawa hata hiyo inatosha ila risk ni kubwa mno... Dhahabu ni mchakato WA muda mrefu (hasa WA marudio)...... Kwa mtaji wako itakulazimu kuchukua PPM ndogo na kumbuka wajanja ni wengi mno Kwa hii business kuegeshewa mzigo ni kugusa so kusema shngapi hasa ni itategemea ila to me at least 150 inakupa uhakika WA kurekebisha makosa kiasi ila 25 kosa dogo umeenda na maji.
Na usilogwe ukaanzisha duara au kuingiza ubia (share) kichwa kichwa.
Au laa chukua ushauri WA udalali japo unapingwa na serikali.
Katika udalali unaweza ukatenga nusu ya hiyo fedha ukatafuta dealers WA kufanya nao KAZI katika masoko then nenda kashawish wateja katika elations au mialo.... Hapa mteja utampa bei ndogo kiasi then boss wako (dealer) akupe bei nzuri.
Mfano. Umepata mteja mwenye gram 150 wewe ukampa bei ya 147,550/g then dealer ukakubaliana nae 148,300/g kinachopatikana ndo chako.
Note madalali wengi hawana mitaji wao ni mtu kati tu.
Udalali ni risk pia unaweza tengenezewa zengwe la utoroshaji kuchomoka humo utaomba poo ila vijana ndo wanaishi humo, na kuendesha familia zao.
Wajuvi watasahihisha nilipokosea.
Kama una mda wa kutosha tafuta sehemu ya kuchimba weka crusher saga mawe ukuuze rudio, kuuza rudio hata kwa mwaka mzima usiwe na haraka ya kuchenjua
Naomba tuwasiliane kaka, nimekutumia number PMMwanangu me nipo chunya… ila hii kazi inaonesha hauna uzoefu nayo kabisa.. sikushauri kabisa
Naomba tuwasiliane kaka, nimekutumia number PM
Pm haifunguki kaka nimejaribu Sanaa kama Kuna njia mbadala nichekiNaomba tuwasiliane kaka, nimekutumia number PM
Ngoja nijaribu tenaPm haifunguki kaka nimejaribu Sanaa kama Kuna njia mbadala nicheki