Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Lakini akifanikiwa kutoka ni mara moja! Wacha kumtishia bwana!Yaani mimi sina utaalamu wa hiyo biashara ila jamaa namuonea huruma tu aisee kwa kuchagua hii biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini akifanikiwa kutoka ni mara moja! Wacha kumtishia bwana!Yaani mimi sina utaalamu wa hiyo biashara ila jamaa namuonea huruma tu aisee kwa kuchagua hii biashara
Huyu anakualika mkachimbe duara Kwa alichoandika hapo hajui anachoenda kukifanya faida mnaenda kuipta Kwa kuuza mawe kupitia migao.....Mwenye uzoefu na dhahabu Tafadhali anielewshe hapo Kuna rafiki yangu kanitumia hyo report Kuna eneo walifanya vipimo na ananishawishi tuungane tukafanye kazi, mm sina uzoefu na mining industry, nimescreenshot part ya hyo report.
View attachment 2777804
View attachment 2777804
MKUU nimeshindwa kufungua na siwezi kuweka mawasiliano yangu hapa.Ngoja nijaribu tena
Kama Pesa kweli ipo mkononi na si Ndoto kuwa ukiipata hiyo Hela....ndio ..uta...
Na iwapo ni kweli unataka kuingia kwenye Biashara ya DShahabu;
Usikurupuke, - ELIMU kwanza;
Nyofoa Milioni mbili ziwekeze kwenye Elimu yako wewe mwenyewe kwanza kuijua Dhahabu.
Bila kujali unataka ukae upande gani hasa wa wa hiyo Biashara.
Si ajabu unataka na unayo nia ya kuifanya hiyo Biashara lakini huenda hujawahi hata kuiona kwa macho inafananaje hiyo Dhahabu yenyewe.
Pale AMGC Kunduchi wanayo Kozi ya kama wiki mbili kama sikosei ( Kozi ni ya nguvu lakini)
Ukitoka hapo utakuwa umefunguka pakubwa.
Zaidi ya kufundishwa pia utaiona kwa macho yako.
Faida nyingine zaidi wakati unasoma hapohapo upo uwezekano mkubwa wa wewe ku-connect na watu mbalimbali wanaifanya kwa vitendo shughuli zinazoendana Dhahabu kama wataalam mbalimbali, Wafanya Biashara pamoja na Wachimbaji vilevile upo uwezekano wa kuwaona wawili watatu kama si kujikuta kwasababu hii au ile mkajikuta mnasoma wote.
Utaondoka na vingi kiukweli kabisa.
Lakini ikiwa huna ABC za Bidhaa yenyewe unayotaka kuhangaika nayo inaweza ikakugharimu,
Mwisho, Tshs. 25Million ni Hela ndogo sana lakini ni Hela kubwa mno ukitulia na kujipanga vyema.
Nawasilisha.
Plant ni sehemu unapopeleka ile rudio au mchanga ulotengeneza ( saineti ), elution ndo kiwanda cha kuzalisha hyo dhahabu.Samahani kaka, naomba unipe ufananuzi wa kazi ya plant na Elution au zote ni kitu kimoja?
Njia nzur kuwa na karasha nunua mawe saga mwenyewe.Sio kwamba sina ujuzi 100%, najua ila sio level ya kujisifu najua kuhusu hii biashara,.
Na Swali langu ni njia ipi nzuri kuweka 25M
Ni kwenye karasha kusaga mawe ya watu na kutunza Rudio
Kuingia polini kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo
Au kununua rudio na kupeleka plant
Naomba kujua njia ipi nzuri hapo na kwanini?
We unaijua biashara sema unaiogopa, mpk hapa unaelezea kitu poa.What if!
Nikiwa na shimo langu, mchimbaji akaingia kuchimba tukagawana mifuko.
Na mchimbaji aliechimba akajakusaga kwenye mashine yangu pia!!
Nikatunza lundo langu kwa 5-6months
Nikaingiza plant?
Hapo sipati kitu?