Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Hahahahaaaa...!!that's good....nakumbuka mwanzon nlkuw nachukua mzgo wa elfu 15...mpk watu wa duka la jumla walkuw wnacheka....

But now n full respect...!!nktaka kchukua mzgo ni laki 4 mpk 6

Uzuri mda mwng sikutumia faida nliiweka dukan....nljinyima vtu vng ili nifikie lengo

Naamini nitafika
Yeah utafika mkuu.
 
Mkomamazu, Mkuu nakushukuru sana kwa huu msaada wako mkubwa kwangu.

Kama itawezekana naomba unisaidie kuipata hii software mkuu.
 
Ndugu Habari za wakati huu.

Awali yote napenda kuwajulia hali zenu mahali popote mlipo Tanzania na duniani kwa ujumla. Mara baada ya salamu hii napenda kuwajulisha lengo la uzi huu.

Mimi ni muajiriwa serikalini kama mnavyojua hali ilivyo mishahara imegota no increment no ongezeko. Kama mtumishi mwenye weledi napenda kujiongeza kwa namna nyingine kuongeza kipato changu kwa kufanya biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani n.k. Nimekopa mahala million 2 kwa ajili hiyo.

Hivyo kama mzoefu wewe unayesoma uzi huu naomba ushauri, je pesa hiyo itatosha kwa hili? Je vitu gani vya msingi kuzingatia ili kujikwamua na biashara hii. Nipo Makambako Njombe. Pia kama kuna ushauri mwingine Tafadhali naomba mnishauri nitatokaje?

Asanteni wote na pia nawatikia wakati mwema.
 
Weka pembeni 1m. Chukua 1m tafuta bidhaa unayoweza kuchukua eneo A na kupeleka eneo B, zingatia mahitaji ya wilaya ama vijiji vinavokuzunguka! Kwa kuwa ni mtumishi, unaweza ukafanya haya weekend! Kwa Kuanzia usilenge faida kubwa!
 
Mkuu unaweza anza kama umeshalipa kodi ya pango,leseni lazma uwe nayo kuna service levy unachangia na fire nao naona wameanza

Kwa mtaji wa 2m kama umeshalipa vyote unaweza anza kabisa nwnda pale manzese tiptop wanauza vitu vya jumla weka vitu kulingana na maeneo unayoishi weka vitu vinavyotoka mfano maji,juisi hasa mo juidi znapendwa sana kwa sasa unga wa embe, ngano, sukari ya kupima kama lipo uswazi mchele, maharage ya kupima, sabuni pia za mche, unga mafuta ya kula viberiti na vingine vidogovidogo.usijaze duka kwa mali ambazo haziuziki.
 
Mkuu unaweza anza kama umeshalipa kodi ya pango,leseni lazma uwe nayo kuna service levy unachangia na fire nao naona wameanza.

kwa mtaji wa 2m kama umeshalipa vyote unaweza anza kabisa nwnda pale manzese tiptop wanauza vitu vya jumla weka vitu kulingana na maeneo unayoishi weka vitu vinavyotoka mfano maji,juisi hasa mo juidi znapendwa sana kwa sasa unga wa embe,ngano,sukari ya kupima kama lipo uswazi mchele, maharage ya kupima, sabuni pia za mche, unga mafuta ya kula viberiti na vingine vidogovidogo.usijaze duka kwa mali ambazo haziuziki.
Wazo zuri sana. Shukrani Sana
 
yello masai, Mimi ushirikina ulinifanya nifunge duka,nilizungukwa na maduka ya washirikina cha moto nilikiona,Najipanga nitafute sehemu nyingine nifungue tena,Vina faida sana hivi vidude ukipata site nzuri!
 
Mimi na wew tupo kwenye same boat....nilianza kama utani....sikuwa na sukari...mafuta...na bidhaa kibao....ila now nna kila kitu na still bado naona haitoshi....!!duka faida ipo...kama ukiwa serious na malengo...!!
Ulifatilia na leseni ya biashara? Au unapigana chenga na TRA?[emoji4] [emoji4]
 
Unga wa Sembe
Unga wa Ngano
Mchele
Maharage
Sukari
Chumvi
Mafuta ya Kula
Mafuta ya Taa
Dawa za Meno
Miswaki
Pempers
Pads
Daftari
Blueband
Majani ya Chai
Soda
Maji
Juices
Big G
Kalamu
Viberiti
Mishumaa
Sabuni za Miche
Sabuni za Unga
 
Mimi na wew tupo kwenye same boat....nilianza kama utani....sikuwa na sukari...mafuta...na bidhaa kibao....ila now nna kila kitu na still bado naona haitoshi....!!duka faida ipo...kama ukiwa serious na malengo...!!
Naungana na ninyi mimi,nakumbuka nilianza na Kuuza Mchele tu na Mafuta ya alizeti tu,siku ya kwanza nakumbuka nirudi nyumbani na 15k..iliniuma sana ila nikapiga moyo konde,sema nilianza fanya connection na watu,kuwa makini na mabadiliko ya bei na kuwajenga wateja ,uaminifu.. nashukuru kwa sasa siuzi chini ya 60k..na faida naiona kwa kila week...tuache kukatishana wadau,unachofanya wewe huenda sio passion yangu na nnachofanya mimi huenda wewe sio passion yako
 
Mkuu ajira vip hapo naweza kupata. maana nimeona nikukumbushe ila kikumbwa ni uaminifu tu.
 
Ndugu hlo lilikuw la kwanza..nlpewa TIN no. Then ikafuata lesen....sema sasa jamaa wakapanglia kodi kubwa...!!nkawa nawalipa lkn kiukweli niliona kabsa kuw wanakula faida yngu plus mtaji kidogo....nmewaandikia barua ya ombi la punguzo la kodi....!!ila wengi hpa nfanyapo biashara wamefunga na kuacha kwakuwa hela yte ilkuw inaenda serikalini
Ulifatilia na leseni ya biashara? Au unapigana chenga na TRA?[emoji4] [emoji4]
 
Ndugu hlo lilikuw la kwanza..nlpewa TIN no. Then ikafuata lesen....sema sasa jamaa wakapanglia kodi kubwa...!!nkawa nawalipa lkn kiukweli niliona kabsa kuw wanakula faida yngu plus mtaji kidogo....nmewaandikia barua ya ombi la punguzo la kodi....!!ila wengi hpa nfanyapo biashara wamefunga na kuacha kwakuwa hela yte ilkuw inaenda serikalini
Duh kumbe ndo mana uchumi wa nchi unakua kwa kasi[emoji4] [emoji4] , ushanikata maini kuifatilia
 
Back
Top Bottom