Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,244
- 5,500
Mtaji wako mkubwa sana sijui kwanini umefikilia hiyo biashara, Tafuta kwanza wazo lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni biashara ambayo imesaidia kutatua tatizo la kukosekana kwa bidhaa hapa mtaani kwetu na nadhani mtaji wake sio mkubwa kama unavyofikiri. Na ni kitu ambacho nilikuwa natamani kukifanya sana baada ya kufanya biashara za mitaji mikubwa na nikaona changamoto nyingi sana na risk kuwa kubwa. It all about passion anyway and personal life decisions.Mtaji wako mkubwa sana sijui kwanini umefikilia hiyo biashara, Tafuta kwanza wazo lingine
Sikuiona hii, ningekula elf 40 hivi hiviWadau naomba kama kuna mtu anafanya biashara ya duka la rejareja kwenye makazi ya watu anisaidie list ya bidhaa dukani nikahemee. Nataka kufungua duka la rejareja mtaani kwangu nimeshaandaa fremu na mambo mingine kilichobaki ni kuchukua mzigo. Unisaidie bidhaa zinazotoka sana dukani. Najua maeneo yanatofautiana ila kwa makazi yetu watu wa wastani na kawaida nadhani mahitaji yetu yanafanana. Duka nalifungua maeneo ya kibamba. Nimetenga milioni 5 ya mzigo na nitashukuru kama utanisaidie na bei za jumla za kuchukua mzigo ili nijue nichukue kiasi gani na mahali unapochukulia pia. Natambua taarifa ni mali, hivyo nimetenga elfu 40 kwa atakaenisaidia hili. Ni PM. I will pay you seriously. Nahitaji anaefanya biashara hii tafadhali.
NB supplier wa unga na mchele nishampata
Yanapatikana wapi? Ni tofauti na Nido?Wawekee wateja maziwa ya unga ya kupima na prestige ya kupima wakikuzoea utanikumbuka
Aisee pole bwana ilishapita jombaaSikuiona hii, ningekula elf 40 hivi hivi
Daily sales record....Hiyo software ni ipi je unaweza share humu?
Ni bidhaa gani hyo mkuu? Ungetaja hapa maana waweza pata watejaSawa Sawa
Naomba ukianza nikuletee bidhaa yangu Dukani kwako!
Mkuu naomba unitumie pic za bidhaa unazouza...hasa hayo maziwaSawa Sawa
Naomba ukianza nikuletee bidhaa yangu Dukani kwako!
Mimi na wew tupo kwenye same boat....nilianza kama utani....sikuwa na sukari...mafuta...na bidhaa kibao....ila now nna kila kitu na still bado naona haitoshi....!!duka faida ipo...kama ukiwa serious na malengo...!!
Bidhaa yk ni ipi?Sawa Sawa
Naomba ukianza nikuletee bidhaa yangu Dukani kwako!