yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Kuchanganya vyoye ndo bora zaidi.
Naona bora hata duka la vyakula lina maslah kuliko duka la kawaida maana kuna bidhaa inakupa faida ya 8000 sasa kwny duka la kaawaida kuna baadh ya takeaway unanunua sh 417 unakuja kuuza 500 kweli utatoka?