Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Mkuu uko wapi wewe? Kwa Lamadi ni senta kubwa lakini kwa mtaji wa 2M ni kidogo sana mkuu, sidhani hata ni sahihi kusema ni duka, hicho ni kibanda mkuu samahani si kukatishi tamaa, ila hebu kama kuna uwezekano jitutumue kidogo maana kwa Lamadi huo mtaji wako ni ngumu kuonekana.

Je, unataka kuanzisha biashara gani mkuu?
Karibu sana lamadi mkuu, huu ni mji ulio endelea zaidi kuliko maeneo yote ya halmashauri ya Busega

Karibu sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kama utaidharau 2m basi hata 5m utaidharau...ndo maana wengi wanaanguka..there is no way to multiply money..aanze na hiyo atakua tu!
 
Sio hivyo labda hujanielewa mkuu,katika biashara huwa tubaangalia malighafi na mazingira,hivi unaweza niambia nitoke mpigamiti liwale nikafungue duka la mtaji wa 2m dar kaliakoo?

Mtaji wake ni mkubwa ila mazingira anayotaka kufungua biashara sio rafiki kwa mtaji wake ukilinganisha na umbali anaotoka kuja lamadi,ingekuwa mkaazi wa lamadi tatizo lisingekuwepo
Kama utaidharau 2m basi hata 5m utaidharau...ndo maana wengi wanaanguka..there is no way to multiply money..aanze na hiyo atakua tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio hivyo labda hujanielewa mkuu,katika biashara huwa tubaangalia malighafi na mazingira,hivi unaweza niambia nitoke mpigamiti liwale nikafungue duka la mtaji wa 2m dar kaliakoo? ,mtaji wake ni mkubwa ila mazingira anayotaka kufungua biashara sio rafiki kwa mtaji wake ukilinganisha na umbali anaotoka kuja lamadi,ingekuwa mkaazi wa lamadi tatizo lisingekuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app


Mie naamini hakuna linaloshindikana ukiamua...Everything you've ever wanted is on the other side of fear!
 
Mkuu uko wapi wewe? Kwa Lamadi ni senta kubwa lakini kwa mtaji wa 2M ni kidogo sana mkuu, sidhani hata ni sahihi kusema ni duka, hicho ni kibanda mkuu samahani si kukatishi tamaa, ila hebu kama kuna uwezekano jitutumue kidogo maana kwa Lamadi huo mtaji wako ni ngumu kuonekana.

Je, unataka kuanzisha biashara gani mkuu?
Karibu sana lamadi mkuu, huu ni mji ulio endelea zaidi kuliko maeneo yote ya halmashauri ya Busega

Karibu sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo mkuu unataka kusema hawa watu wote tunao waona leo wenye mitaji ya ml 100 na kuendelea walianza na izo ml 100 na si kama walianzia chini kabisa tena unakuta ata mtaji wa mleta mada una hafadhari yaani watu wa Jf kweli tuna maajabu inafika mahala mtu bila aibu kabisa unasema kwamba ml2 si chochote kwenye kuanzisha biashara kweli mzee?

Ivi unajua kuwa kwa kkoo iyo ambayo umeisema kuna watu walianza biashsra wakiwa na mitaji ya 300,000 mpaka 500,000 na leo wamefanikiwa kuikuza mitaji yao

Inshort ni kwamba kama utaidharau ml 2 basi ata 10ml bado utaidharau mzee.

Kila ela inathamani na inaweza kufanya maajabu ikiwa itakuwa utilized vizuri!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio hivyo labda hujanielewa mkuu,katika biashara huwa tubaangalia malighafi na mazingira,hivi unaweza niambia nitoke mpigamiti liwale nikafungue duka la mtaji wa 2m dar kaliakoo? ,mtaji wake ni mkubwa ila mazingira anayotaka kufungua biashara sio rafiki kwa mtaji wake ukilinganisha na umbali anaotoka kuja lamadi,ingekuwa mkaazi wa lamadi tatizo lisingekuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kariakoo kuna watu wana mitaji ya 100k mzee, na jioni wanapeleka hela nyumbani. Tatizo umeangalia wale wenye mitaji mikubwa ya 50mil na kuendelea, kuna watu pale hata frame hawana and they still make money.
 
Sio hivyo labda hujanielewa mkuu,katika biashara huwa tubaangalia malighafi na mazingira,hivi unaweza niambia nitoke mpigamiti liwale nikafungue duka la mtaji wa 2m dar kaliakoo?

Mtaji wake ni mkubwa ila mazingira anayotaka kufungua biashara sio rafiki kwa mtaji wake ukilinganisha na umbali anaotoka kuja lamadi,ingekuwa mkaazi wa lamadi tatizo lisingekuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Lamadi hapo ndio nimejenga kanyumba kangu. Na siyo kwamba sijui Biashara nikienda. Ninarun hii kitu almost 5 yrs so Mie Naomba mawazo kulingana na Hela yangu. Pia matajiri wote wa Lamadi nawajua. Ugumu Sijawahi fanyia business hapo
 
Kariakoo kuna watu wana mitaji ya 100k mzee, na jioni wanapeleka hela nyumbani. Tatizo umeangalia wale wenye mitaji mikubwa ya 50mil na kuendelea, kuna watu pale hata frame hawana and they still make money.
Twende Tuu tutafika. Hope watu watakuja na positive idea
 
Mie Naamini ukiwa mkweli Tatizo lako laweza tatuliwa. Tunasema na location ili iwe rahisi Wajuzi kusema jambo according to eneo
 
Unapangaje bei ya kuuza bidhaa zako?
Kwa ujumla inaenda vizuri kuna ups and downs ila ni kawaida. Mwazo wateja walikuwa wanaongezeka kila siku baadae wakawa wanapanda na kushuka na kwa sasa ni kama wamestablize. Naipima hii kwenye mauzo ya siku. So far so good na duka linakua kila siku. Au ulikuwa unataka kujua mwelekeo kwa maana nyingine zaidi ya hiyo?
 
Ulipangaje bei ya bidhaa unazouza dukani kwako?
Mimi nimeanza duka mwezi huu wa 3...nitatoa mrejesho vile limeenda baada ya miezi kadhaa... naamini sitashindwa..

Ila nimeamua kuspesholaizi kwenye bidhaa zinazoendana na misosi tu...
Kwa sasa nauza mchele,sembe,dona,ngano,sukari,chumvi,ngano isiyokobolewa,maharage,choroko,karanga,tambi,nazi(azam),mafuta ya kupikia,mayai,etc

Nataka pia kujitanua kuuza vingine pia vinavyolika na kunyweka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Natarajia kuwa na duka kwa mara ya kwanza, duka ni la bidhaa za matumizi nyumbani mfano chumvi, sukari, dawa ya meno n.k.

Kwakweli sijui namna bora ya kujua hesabu ya bidhaa zilizouzwa na zile zilizobaki dukani, ukizingatia nitaweka mfanyakazi.

Naomba wazoefu mnisaidie mambo ya kufanya ili angalau mahesabu ya bidhaa dukani yadhibitiwe vizuri.

Karibuni nyote na ahsanteni!
Mi nimefanya hii kazi sahiz na miaka mitatu,usijaribu kuweka mfanyakazi ndugu yangu, utaishia kuweka vitu tu hela hutaiona utapipa kodi na ghalama zingine simamia wewe km wewe,ukishidwa bora uache,mimi niliamua kunikana sina cha weekend wala nin mzigo nafata mwenyewe nafungua napiga kazi
 
Mkuu Ibravo,

Kwanza kabisa nikukaribishe humu maana unaonekana umejiunga humu this month hivyo you are still junior member, kwa kifupi humu kuna changamoto nyingi na shauri nyingi ambazo hata nyingine zinaweza kukukatisha tamaa kabisa au hata kujuta kuwa hivi nani alikushauri kuingia humu na ku-post threads za hovyo hovyo (wachangiaji wengine wanaweza kuziona hivyo), leo nikupe changamoto moja juu ya hii thread uloleta hapa:

Ibravo, sina nia ya kukukatisha tamaa juu ya mpango wako wa kuanzisha biashara ya duka hilo kwa capital hiyo ambayo umebahatika kuipata, ila to be honest nimeshangazwa na kusikitishwa na wazo hili kutoka kwako (msomi/graduate mtarajiwa). Naomba niseme wazi kuwa elimu unayosoma haijakusaidia chochote na nadhani ulikuwa unapoteza muda huko au labda ulikosea fani ulokuwa unasomea, wapo vijana wengi wanaenda vyuoni kusoma kwa mkumbo tu bila kujua anakwenda kusomea nini hasa. Lakini nadhani hapa ni uelewa wako tu ndo maana una wazo la kujiajiri, vinginevyo ningekulaumu kwa namna tofauti.

Nina imani watajitokeza wana JF wengi ambao wakisoma mchango wangu huu hawatanielewa, ila acha tu niseme ulonilazimisha kusema hasa baada ya kusoma uzi wako Ibravo.

Hata kama tunasema UJASIRIAMALI, inawezekanaje MSOMI/GRADUATE mtarajiwa unatoka chuoni unapewa mtaji wa mil 1, then unakurupuka na wazo la kufungua duka la kuuza UNGA, MCHELE n.k (UCHUUZI)? hivi hapa tutasema shule/elimu imekusaidia? Na hapa niseme kuwa kama vijana wengi mnaenda vyuoni mnalipa fees huko miaka 2,3-4 nakuendelea, mnamaliza mnakuja na mawazo ya namna hii huku mitaji ya kiasi hiki mnabahatika kupata then niseme wazi kuwa elimu itakuwa haijawasaidia. Haya ni mawazo MGANDO, mtu unataka kufanya kitu kwa mazoea tu kwa kuwa watu wanafanya, huu si UJASIRIAMALI, ujasiriamali ni uwezo wa kubaini fursa kulingana na mtaji ulionao.

Nafurahia sana na watu wanaokuja humu kuuliza ili wapate mawazo kutoka kwa wachangiaji wanaJF great thinkers, wengine wanaenda mbali zaidi kwa kutamka kiasi (initial capital) alichonacho na anaomba ashauriwe afanye shughuli gani, watu wanatoa ushauri ktk shauri hizo wanasema AKILI YA KUAMBIWA, CHANGANYA NA ZAKO, then unapata shughuli ya kufanya. Ibravo nimesema sina lengo la kukukatisha tamaa ila nakueleza tu ya moyoni, wewe umeleta hapa wazo ambalo tayari unalo kichwani ndo maana watu wameshindwa kukushauri ila nina imani wengi wamekushangaa GRADUATE mtarajiwa unaleta wazo la namna hii hapa. Shughuli unayotaka kufanya hata ambaye hajasoma anafanya tu, ni UCHUUZI huo. Nilitegemea msomo uje na wazo tofauti kabisa kwa mtaji huohuo kwa kuwa kwa mjasiriamali wa kweli mil. 1 ni mtaji tosha tu.

Baada ya kukueleza haya sasa nakupa wazo, unaweza kulichukua au ukaliacha integemea kama umenielewa au utaniona nimeku-dis sana; Kwanza kabisa kwa kuwa umesoma inabidi uwe na mawazo mchemko si mgando, inabidi uwe tayari kutoka mjini kwa kuwa kwa wazo lako ulilo nalo unaonekana unaishi ama unataka kuishi mjini tu, kwa mjasiriamali hili halimfungi kwa namna yoyote.

Pili inabidi uondokane na mawazo ya biashara hizi za UCHUUZI, jaribu kufikiria mawazo ya ki-uzalishaji zaidi, (kilimo, ufugaji, viwanda n.k) na siyo duka, kwa mtazamo wangu miye kuwa na duka la kununua na kuuza (UCHUUZI) ni uvivu wa kufikiri tu, hivi uliona wapi Mzungu anauza duka bwn? Hizi ni kazi za Wahindi, ni wavivu wa kufikiri tu. Sisemi Wazungu ndo bora sana ila walio wengi wana mawazo bora, yeye anafikiria akutengenezee SIMU, uwasiliane na jamaa zako, ukishaona umuhimu wake utamtafuta tu ununue kwake na hapo utaona WAVIVU WA KUFIKIRI aka WACHUUZI wanapanga foreni kiwandani kwa Mzalishaji kuweka order ya handsets za simu, JAMAA ANAPIGA HELA. MZALISHAJI anatengeneza kitu BORA kwa kuwa anajua WAVIVU WA KUFIKIRI/WACHUUZI watamsaidia (bila wao kujua) kuuza bidhaa zake.

Ibravo nimesema sikukatishi tamaa ila ningekukubali kama ungekuja hapa na wazo kuwa kwa kuwa umeenda shule basi ungeuliza humu kuwa una mtaji wa hela hiyo (1mil) then unataka kulima Mahindi, Mpunga n.k (kwa kuwa unaonekana una interest na vitu hivyo) then upate sasa mawazo ya GREAT THINKERS. Asikwambie mtu, KILIMO ni moja ya UZALISHAJI na si UCHUUZI, wewe lima tu kitaalamu, vuna mazao yako, utaona WACHUUZI wanakuja wenyewe kutaka kuuza bidhaa zako, we unapiga hela tu unakuna kitambi (unajua tena wabongo kwa vitambi) na nikupe siri, Tsh.

1,000,000/= kuwekeza kwenye kilimo ni mtaji mkubwa mno (kama upo tayari kuondokana na mawazo ya kukaa mjini).
Huku kwetu kukodi heka moja ni Tsh. 30,000 hadi 45,000 kwa mwaka na huku kwetu kwa mwaka tunalima mara mbili (mvua za vuli na masika), kwa hela ulonayo utakuwa na heka za kutosha, sema anza na heka 5 ambayo itakugharimu Tsh. 225,000/= kukodi tu mashamba. kulima kwa tractor kila heka moja ni tsh. 40,000 x 5= 200,000/= zinazobaki fanya matumizi mengine kama palizi, mbolea na matumizi mengine kama hayo, hapa bro unazungumzia miezi mitatu tu kama ume time mvua za vuli tayari utakuwa na magunia yako 5x15= 75 ya mahindi, huku kwetu wakati wa msimu wa mavuno gunia la mahindi linauzwa Tsh. 45,000/= x 75= 3,375,000/=, kumbuka hapa umelima mvua za vuli tu, utaingia tena shambani mwezi Feb ili u-tme mvua za masika, na hakuna tena gharama ya kukodi maana ni ileile ulolipa awali, mwezi wa sita tena unavuna mazao yako unasubiria WACHUUZI tu, unapiga hela. Mkuu ukikomaa ki-jasiriamali baada ya miaka michache nina uhakika mashamba hutakodi tena, utakuwa na ya kwako, utaanza ufugaji, maana kuna uzi wa MALAFYALE Jukwaa la Ujasiriamali unasema 'Kilimo na Ufugaji kwa pamoja vinalipa' nenda kasome pale uone GREAT THINKER wanavyokuwa na mawazo ya ki-GT.
Kwa leo mkuu.
Ndugu uko vizuri yaani umemuelesha vzr Sana tena kisomi, asilimia kubwa watanzania tumeelekeza jitihada zetu kuuza bidhaa badala ya kuzalisha bidhaa, hongera sana nmekusoma sana, na ndo mipango yngu nilipanga kufanya ivo utekelezaji ndo upo njiani
 
Mkuu Ibravo,

Kwanza kabisa nikukaribishe humu maana unaonekana umejiunga humu this month hivyo you are still junior member, kwa kifupi humu kuna changamoto nyingi na shauri nyingi ambazo hata nyingine zinaweza kukukatisha tamaa kabisa au hata kujuta kuwa hivi nani alikushauri kuingia humu na ku-post threads za hovyo hovyo (wachangiaji wengine wanaweza kuziona hivyo), leo nikupe changamoto moja juu ya hii thread uloleta hapa:

Ibravo, sina nia ya kukukatisha tamaa juu ya mpango wako wa kuanzisha biashara ya duka hilo kwa capital hiyo ambayo umebahatika kuipata, ila to be honest nimeshangazwa na kusikitishwa na wazo hili kutoka kwako (msomi/graduate mtarajiwa). Naomba niseme wazi kuwa elimu unayosoma haijakusaidia chochote na nadhani ulikuwa unapoteza muda huko au labda ulikosea fani ulokuwa unasomea, wapo vijana wengi wanaenda vyuoni kusoma kwa mkumbo tu bila kujua anakwenda kusomea nini hasa. Lakini nadhani hapa ni uelewa wako tu ndo maana una wazo la kujiajiri, vinginevyo ningekulaumu kwa namna tofauti.

Nina imani watajitokeza wana JF wengi ambao wakisoma mchango wangu huu hawatanielewa, ila acha tu niseme ulonilazimisha kusema hasa baada ya kusoma uzi wako Ibravo.

Hata kama tunasema UJASIRIAMALI, inawezekanaje MSOMI/GRADUATE mtarajiwa unatoka chuoni unapewa mtaji wa mil 1, then unakurupuka na wazo la kufungua duka la kuuza UNGA, MCHELE n.k (UCHUUZI)? hivi hapa tutasema shule/elimu imekusaidia? Na hapa niseme kuwa kama vijana wengi mnaenda vyuoni mnalipa fees huko miaka 2,3-4 nakuendelea, mnamaliza mnakuja na mawazo ya namna hii huku mitaji ya kiasi hiki mnabahatika kupata then niseme wazi kuwa elimu itakuwa haijawasaidia. Haya ni mawazo MGANDO, mtu unataka kufanya kitu kwa mazoea tu kwa kuwa watu wanafanya, huu si UJASIRIAMALI, ujasiriamali ni uwezo wa kubaini fursa kulingana na mtaji ulionao.

Nafurahia sana na watu wanaokuja humu kuuliza ili wapate mawazo kutoka kwa wachangiaji wanaJF great thinkers, wengine wanaenda mbali zaidi kwa kutamka kiasi (initial capital) alichonacho na anaomba ashauriwe afanye shughuli gani, watu wanatoa ushauri ktk shauri hizo wanasema AKILI YA KUAMBIWA, CHANGANYA NA ZAKO, then unapata shughuli ya kufanya. Ibravo nimesema sina lengo la kukukatisha tamaa ila nakueleza tu ya moyoni, wewe umeleta hapa wazo ambalo tayari unalo kichwani ndo maana watu wameshindwa kukushauri ila nina imani wengi wamekushangaa GRADUATE mtarajiwa unaleta wazo la namna hii hapa. Shughuli unayotaka kufanya hata ambaye hajasoma anafanya tu, ni UCHUUZI huo. Nilitegemea msomo uje na wazo tofauti kabisa kwa mtaji huohuo kwa kuwa kwa mjasiriamali wa kweli mil. 1 ni mtaji tosha tu.

Baada ya kukueleza haya sasa nakupa wazo, unaweza kulichukua au ukaliacha integemea kama umenielewa au utaniona nimeku-dis sana; Kwanza kabisa kwa kuwa umesoma inabidi uwe na mawazo mchemko si mgando, inabidi uwe tayari kutoka mjini kwa kuwa kwa wazo lako ulilo nalo unaonekana unaishi ama unataka kuishi mjini tu, kwa mjasiriamali hili halimfungi kwa namna yoyote.

Pili inabidi uondokane na mawazo ya biashara hizi za UCHUUZI, jaribu kufikiria mawazo ya ki-uzalishaji zaidi, (kilimo, ufugaji, viwanda n.k) na siyo duka, kwa mtazamo wangu miye kuwa na duka la kununua na kuuza (UCHUUZI) ni uvivu wa kufikiri tu, hivi uliona wapi Mzungu anauza duka bwn? Hizi ni kazi za Wahindi, ni wavivu wa kufikiri tu. Sisemi Wazungu ndo bora sana ila walio wengi wana mawazo bora, yeye anafikiria akutengenezee SIMU, uwasiliane na jamaa zako, ukishaona umuhimu wake utamtafuta tu ununue kwake na hapo utaona WAVIVU WA KUFIKIRI aka WACHUUZI wanapanga foreni kiwandani kwa Mzalishaji kuweka order ya handsets za simu, JAMAA ANAPIGA HELA. MZALISHAJI anatengeneza kitu BORA kwa kuwa anajua WAVIVU WA KUFIKIRI/WACHUUZI watamsaidia (bila wao kujua) kuuza bidhaa zake.

Ibravo nimesema sikukatishi tamaa ila ningekukubali kama ungekuja hapa na wazo kuwa kwa kuwa umeenda shule basi ungeuliza humu kuwa una mtaji wa hela hiyo (1mil) then unataka kulima Mahindi, Mpunga n.k (kwa kuwa unaonekana una interest na vitu hivyo) then upate sasa mawazo ya GREAT THINKERS. Asikwambie mtu, KILIMO ni moja ya UZALISHAJI na si UCHUUZI, wewe lima tu kitaalamu, vuna mazao yako, utaona WACHUUZI wanakuja wenyewe kutaka kuuza bidhaa zako, we unapiga hela tu unakuna kitambi (unajua tena wabongo kwa vitambi) na nikupe siri, Tsh.

1,000,000/= kuwekeza kwenye kilimo ni mtaji mkubwa mno (kama upo tayari kuondokana na mawazo ya kukaa mjini).
Huku kwetu kukodi heka moja ni Tsh. 30,000 hadi 45,000 kwa mwaka na huku kwetu kwa mwaka tunalima mara mbili (mvua za vuli na masika), kwa hela ulonayo utakuwa na heka za kutosha, sema anza na heka 5 ambayo itakugharimu Tsh. 225,000/= kukodi tu mashamba. kulima kwa tractor kila heka moja ni tsh. 40,000 x 5= 200,000/= zinazobaki fanya matumizi mengine kama palizi, mbolea na matumizi mengine kama hayo, hapa bro unazungumzia miezi mitatu tu kama ume time mvua za vuli tayari utakuwa na magunia yako 5x15= 75 ya mahindi, huku kwetu wakati wa msimu wa mavuno gunia la mahindi linauzwa Tsh. 45,000/= x 75= 3,375,000/=, kumbuka hapa umelima mvua za vuli tu, utaingia tena shambani mwezi Feb ili u-tme mvua za masika, na hakuna tena gharama ya kukodi maana ni ileile ulolipa awali, mwezi wa sita tena unavuna mazao yako unasubiria WACHUUZI tu, unapiga hela. Mkuu ukikomaa ki-jasiriamali baada ya miaka michache nina uhakika mashamba hutakodi tena, utakuwa na ya kwako, utaanza ufugaji, maana kuna uzi wa MALAFYALE Jukwaa la Ujasiriamali unasema 'Kilimo na Ufugaji kwa pamoja vinalipa' nenda kasome pale uone GREAT THINKER wanavyokuwa na mawazo ya ki-GT.
Kwa leo mkuu.

Niliwahi kuandika uzi wangu wa Jamhuri ya Wachuuzi wakaupiga pini. But reality vijana wengi mjini ni wachuuzi.
 
Niliwahi kuandika uzi wangu wa Jamhuri ya Wachuuzi wakaupiga pini. But reality vijana wengi mjini ni wachuuzi.
Nakumbuka ule uzi. Uliandika ukweli mtupu. JF imeweka ma moderator wenye akili mgando sana now days yaani wanataka post ziwafurahishe wao na nafsi zao kwanza na sio kuwa hapa ni platform ya uhuru wa mawazo na mtu atasema kile anachosikia kuwa ni sahihi kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ule uzi. Uliandika ukweli mtupu. JF imeweka ma moderator wenye akili mgando sana now days yaani wanataka post ziwafurahishe wao na nafsi zao kwanza na sio kuwa hapa ni platform ya uhuru wa mawazo na mtu atasema kile anachosikia kuwa ni sahihi kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu, nimeupitia nikaishia kujiona mjinga tu maana kila siku najiita nna ideas kibao ila kumbe ni za kichuuzi.. ule uzi ni sahihi, na wangeupin juu jukwaani.
 
Mirejesho jamani ili tuzidi kujifunza
 
Back
Top Bottom