Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Kithungu cha Rasi Simba hili🤓Ndg hichiki kithungu kipo sawa ? Au mm ndio ckijui vizuri??🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kithungu cha Rasi Simba hili🤓Ndg hichiki kithungu kipo sawa ? Au mm ndio ckijui vizuri??🤗
subiri tu,atachuja na atafukuzwaKwa mujibu wa Ricardo Momo Feisal Salum anapokea Mshahara wa 16M kwa mwezi familia yake nzima ikiwemo mama yake wamepewa kazi kwenye kampuni la Bkharesa Group Of Company na Mshahara si chini ya 2.5M.
Wazazi wake wamejengewa nyumba ikiwa ni sehemu ya kumshawishi ajiunge na Azam.
Dirisha lilopita.
Kwenye mkataba wa Feisal kuna kipengele kua kama atauzwa kwenda club yoyote ya ndani basi young Africans itanufaika kwa kupewa 1B za kitanzania.
Pia Feisal ana Bonus kila goli kumi atakazoifungia Azam Fc kwenye mashindano yote.
Atapewa 25M na Mshahara wake analipwa kama jeshi kati Kati ya mwezi (8M) na mwishi 8M huku akiwa na bonus ya 1M per game na 2M per big game achana na bonus za kufunga na Assit.
Kijana ilikua haki tu kuondoka Young Africans haya ni maisha.
View attachment 2987828
sawa kaka....Tafuta hela wewe acha kukaa kwa dada yako hapo unamjazia nzi tu.
Wabajifurahisha vijana wa sasa. Yeye hana hata mia mbovu mfukoni alafu Azam atoe pesa zake tu hovyo hovyo. Utawasikia akina sinza pazuri eti Dayamond kamnunulia yule dogo anayetembea kwa kupepesuka cheni ya Tsh 150,000,000. Wanadanganyika sana hawa Vijana na kuona pesa inapatikana kirahisi rahisi ndio maana wanashinda kubet wakikosa wanapasuliwa mayai na wajuba.mnavyozitamka hizo fedha kama magazeti tu! ati mil 8 katikati mil 8 mwisho,bil 1 mil 2!! haha! halafu baadae akija kuugua mtu mbakuli mkubwa kweli unapita! sijawahi kuelewa nini dhima yakutajataja hizo pesa!
Kijana alinyanyasika Sana huyu kule dimbwini.....Kwa mujibu wa Ricardo Momo Feisal Salum anapokea Mshahara wa 16M kwa mwezi familia yake nzima ikiwemo mama yake wamepewa kazi kwenye kampuni la Bkharesa Group Of Company na Mshahara si chini ya 2.5M.
Wazazi wake wamejengewa nyumba ikiwa ni sehemu ya kumshawishi ajiunge na Azam.
Dirisha lilopita.
Kwenye mkataba wa Feisal kuna kipengele kua kama atauzwa kwenda club yoyote ya ndani basi young Africans itanufaika kwa kupewa 1B za kitanzania.
Pia Feisal ana Bonus kila goli kumi atakazoifungia Azam Fc kwenye mashindano yote.
Atapewa 25M na Mshahara wake analipwa kama jeshi kati Kati ya mwezi (8M) na mwishi 8M huku akiwa na bonus ya 1M per game na 2M per big game achana na bonus za kufunga na Assit.
Kijana ilikua haki tu kuondoka Young Africans haya ni maisha.
View attachment 2987828
Acheni utani jamani,
Al ahly haina uwanja?
Hawa wana uwanja tangu 1920 hukoo
Kwanza labda nijue ni al ahly ipi? National au kuna nyingine?Uwanja wao uko wapi ? Na wameutumia kuchezea mechi gani kubwa
Kwanza labda nijue ni al ahly ipi? National au kuna nyingine?
Haya sawaAhly ya misri bingwa mtetezi iliyocheza na simba robo fainali ndiyo nataka nijue.. uwanja wake upo wapi na waliutumia kucheza mechi gani kubwa mara ya mwisho.
Maana inavyofahamika al ahly amekodi uwanja unaomilikiwa na serikali ya misri kuchezea mechi zake.
Mpangaji sio mwenye nyumba
Kinyonge sana[emoji1]Haya sawa
Kinyonge sana[emoji1]
Azam ni wehu, kwa malipo hayo wangiweza kupata Mshezaji au wachezaji wenye uwezo zaidi ya Fei na akaileea timu matokeoKwa mujibu wa Ricardo Momo Feisal Salum anapokea Mshahara wa 16M kwa mwezi familia yake nzima ikiwemo mama yake wamepewa kazi kwenye kampuni la Bkharesa Group Of Company na Mshahara si chini ya 2.5M.
Wazazi wake wamejengewa nyumba ikiwa ni sehemu ya kumshawishi ajiunge na Azam.
Dirisha lilopita.
Kwenye mkataba wa Feisal kuna kipengele kua kama atauzwa kwenda club yoyote ya ndani basi young Africans itanufaika kwa kupewa 1B za kitanzania.
Pia Feisal ana Bonus kila goli kumi atakazoifungia Azam Fc kwenye mashindano yote.
Atapewa 25M na Mshahara wake analipwa kama jeshi kati Kati ya mwezi (8M) na mwishi 8M huku akiwa na bonus ya 1M per game na 2M per big game achana na bonus za kufunga na Assit.
Kijana ilikua haki tu kuondoka Young Africans haya ni maisha.
View attachment 2987828
Kipo sawa kabisa Hilo jamaa ni li teacher la tuishieenii ya kidhunguu.Ndg hichiki kithungu kipo sawa ? Au mm ndio ckijui vizuri??🤗
Ni nzuri lakini ujue.Haina ugoro.Chai
Haya sawaKinyonge sana[emoji1]
Haya sawaTatizo walijua hata wakitudanganya hatujui ukweli. Internet haifichi ukweli.
Hawa ndio wale walituaminisha mamelodi ni bonge la timu litamfunga yanga goli kumi.. kumbe mamelodi mwenyewe mjanja mjanja.
Hata leo wameshangaa kugundua hata mamelodi mwenyewe hana uwanja wake bali anakodi uwanja wa rugby kuchezea mechi zake