Insider Boy
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 189
- 309
- Thread starter
-
- #21
Nimekupata vyema mkuu.. ngoja nitafute location nzuriPamoja sana. Usiogope. Hakunaga pesa inayotosha kuanzisha kitu. Hata huo mtaji wako ungekuwa ni 700M badala ya 7M, bado tu usingeweza kuweka kila kitu.
Spea za nini gari, pikipiki?Inategemea maeneo uliyiopo, unaweza kufungua hardware ndogo ukaikuza taratibu, ila uwe na adabu faida irudi dukani mpaka mtaji ukue.
Yupo rafiki yangu alifungua duka la spear na milioni 3 saivi zinakimbilia 15, disciple ndo kila kitu.
Wanaokuambia pesa ni kidogo waambie wakuongezee.
Bajaj
Umemshauri vyema sana namimi nalichukua wazo lako kama lilivyo nifanyie kazi kama nitaweza nitakujulishaKwa hardware hiyo pesa ni chache tafuta frame maeneo yaliyo changamka kama maeneo ya stend au sokoni na uuze simu za batani na smart phone za kuanzia 100k mpaka 280k uweke na vifaa vya simu na vitu vidogo vidogo vya electronic kama Bluetooth speaker na vingine vidogo vidogo pesa ikibaki unaweza ukaweka na huduma ya M-pesa. Note usiweke pesa yote kwenye biashara utafeli
7 millions ni chache kwenye Hadware labda uanze na cement pekee vingine utakua una ongezea kidogo kidogo
Umeshaanza??Habarini wakuu,
Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wap naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa Dsm na kwa mtaji huo ninaweza kuspecialize na vitu gani kwa kuanzia.
Ahsanteni, nasubiri feedback kutoka kwenu wazoefu wa biashara hii.
Habarini wakuu,
Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wap naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa Dsm na kwa mtaji huo ninaweza kuspecialize na vitu gani kwa kuanzia.
Ahsanteni, nasubiri feedback kutoka kwenu wazoefu wa biashara hii.
Mkuu hakuna mtaji mdogo wala mkubwa kwenye biashara yote ile.
Hiyo pesa inatosha kwa kuanzia.
Muhimu tafuta eneo zuri lenye idadi ya watu wengi ambao wanaweza kuwa wanunuzi.
Zingatia sana kuwe na watu wengi lkn watakaoitaji bidhaa utakazokuwa unauza.
Kwa pesa hiyo usianze na vitu vikubwa kama vile nondo, saruji, mbao nk.
Anza na vitu vidogo kama vile Nyundo, misumeno, misumari, tape measure, bidhaa za umeme kama vile nyaya za umeme, balbu nk.
Usihamishe goli kwa kufikiria kufanya kitu tofauti na unachopenda kufanya.
Nakutakia mwanzo mwema na mwaka ujao tarehe kama hizi lete mrejes
Asante mkuu kwa ushauri wako.. bado naendelea kutafuta location mzuriMkuu hakuna mtaji mdogo wala mkubwa kwenye biashara yote ile.
Hiyo pesa inatosha kwa kuanzia.
Muhimu tafuta eneo zuri lenye idadi ya watu wengi ambao wanaweza kuwa wanunuzi.
Zingatia sana kuwe na watu wengi lkn watakaoitaji bidhaa utakazokuwa unauza.
Kwa pesa hiyo usianze na vitu vikubwa kama vile nondo, saruji, mbao nk.
Anza na vitu vidogo kama vile Nyundo, misumeno, misumari, tape measure, bidhaa za umeme kama vile nyaya za umeme, balbu nk.
Usihamishe goli kwa kufikiria kufanya kitu tofauti na unachopenda kufanya.
Nakutakia mwanzo mwema na mwaka ujao tarehe kama hizi lete mrejesho.
Bado mkuu.. naendelea kufanya tafiti na location nzuriUmeshaanza??
DaahKwa hiyo pesa fungua genge la vyakula
Dah watu wanajua kukatishana tamaa😩Kwa hiyo pesa fungua genge la vyakula
Mkuu hapa mwisho nimecheka sana 😀Inategemea maeneo uliyiopo, unaweza kufungua hardware ndogo ukaikuza taratibu, ila uwe na adabu faida irudi dukani mpaka mtaji ukue.
Yupo rafiki yangu alifungua duka la spear na milioni 3 saivi zinakimbilia 15, disciple ndo kila kitu.
Wanaokuambia pesa ni kidogo waambie wakuongezee.
Umesema kweliKwa hardware hiyo pesa ni chache tafuta frame maeneo yaliyo changamka kama maeneo ya stend au sokoni na uuze simu za batani na smart phone za kuanzia 100k mpaka 280k uweke na vifaa vya simu na vitu vidogo vidogo vya electronic kama Bluetooth speaker na vingine vidogo vidogo pesa ikibaki unaweza ukaweka na huduma ya M-pesa. Note usiweke pesa yote kwenye biashara utafeli
Dah watu wanajua kukatishana tamaa[emoji30]
Mimi nimeanza KWA m 5Asante sana mkuu kwa ushauri wako... kweli sijawahi kufanya biashara.. nitaanza na model #1 hapo maana nipo interested sana na hii biashara ya hardware
Kwa kunzia inatosha kabisa kwa hadware ya kawaida ukimix na vifaa vya umeme, vitasa vya milango misumari size zote, makomeo disk za kukatia chima na vungne vingi vodogo vidogo hadi mtaji ukueHabarini wakuu,
Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wap naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa Dsm na kwa mtaji huo ninaweza kuspecialize na vitu gani kwa kuanzia.
Ahsanteni, nasubiri feedback kutoka kwenu wazoefu wa biashara hii.
Huo mtaji ni mkubwa inategemea kafungua mtaa gani7 millions ni chache kwenye Hadware labda uanze na cement pekee vingine utakua una ongezea kidogo kidogo
Huo mtaji mkubwa inatakiwa atafue uchocholo wanakojenga sana mbona atauza tu hasa wajengaji wadogo wadogoKwa hardware hiyo pesa ni chache tafuta frame maeneo yaliyo changamka kama maeneo ya stend au sokoni na uuze simu za batani na smart phone za kuanzia 100k mpaka 280k uweke na vifaa vya simu na vitu vidogo vidogo vya electronic kama Bluetooth speaker na vingine vidogo vidogo pesa ikibaki unaweza ukaweka na huduma ya M-pesa. Note usiweke pesa yote kwenye biashara utafeli
Tatizo baadhi ya wabongo wanadhani lazima uwe na mtaji mkubwa wanashindwa kuelewa kuwa mbuyu ulianza kama mchichaInategemea maeneo uliyiopo, unaweza kufungua hardware ndogo ukaikuza taratibu, ila uwe na adabu faida irudi dukani mpaka mtaji ukue.
Yupo rafiki yangu alifungua duka la spear na milioni 3 saivi zinakimbilia 15, disciple ndo kila kitu.
Wanaokuambia pesa ni kidogo waambie wakuongezee.