Biashara ya Internet mtaani

Biashara ya Internet mtaani

Mkuu

Dah mkuu una madini sana ila namna ulivyowasilisha nimerudia kusoma sijakuelewa kabisa, unaweza ukatulia utushushie nondo vizuri mkuu kutupa maarifa zaidi au kama kuna anaeelewa zaidi kwa msaada wa weng

Asante kwa taarifa nzuri. Naomba pia u share bei ya vifaa vinavyohitajika, kama tplink E110 au E225 ni kiasi gan dukani, wapi vinapatikana kirahisi.
Tplink Eap110 zinarange Sana SA 180,000 router km laki 20000 hivi wire 35000,Mbps50 mtandao mzr wakutumia ni voda then kama utanunua omada hardware Hiyo ni 395000 ila kama huna Hiyo pesa bas tafuta pc download omada software so ni router+wire+pc au omada hardware+access point tplink Eap 110 km kianzio ila km unmtj mzr nunua kubwa yake km unashida na kusajili lain za router nichek inbox nasajilia 10000 Tu afu andaa na location Safi Anza business au km uko karbu na nakaz nayo kaa mm tunawez tukapang pakukutn tujadili wasap namba 0750649411.
 
Mkuu

Dah mkuu una madini sana ila namna ulivyowasilisha nimerudia kusoma sijakuelewa kabisa, unaweza ukatulia utushushie nondo vizuri mkuu kutupa maarifa zaidi au kama kuna anaeelewa zaidi kwa msaada wa wengi
Tplink Eap110 zinarange Sana SA 180,000 router km laki 20000 hivi wire 35000,Mbps50 mtandao mzr wakutumia ni voda then kama utanunua omada hardware Hiyo ni 395000 ila kama huna Hiyo pesa bas tafuta pc download omada software so ni router+wire+pc au omada hardware+access point tplink Eap 110 km kianzio ila km unmtj mzr nunua kubwa yake km unashida na kusajili lain za router nichek inbox nasajilia 10000 Tu afu andaa na location Safi Anza business au km uko karbu na nakaz nayo kaa mm tunawez tukapang pakukutn tujadili wasap namba 0750649411.
 
Tplink Eap110 zinarange Sana SA 180,000 router km laki 20000 hivi wire 35000,Mbps50 mtandao mzr wakutumia ni voda then kama utanunua omada hardware Hiyo ni 395000 ila kama huna Hiyo pesa bas tafuta pc download omada software so ni router+wire+pc au omada hardware+access point tplink Eap 110 km kianzio ila km unmtj mzr nunua kubwa yake km unashida na kusajili lain za router nichek inbox nasajilia 10000 Tu afu andaa na location Safi Anza business au km uko karbu na nakaz nayo kaa mm tunawez tukapang pakukutn tujadili wasap namba 0750649411.
Dar kariakoo unaweza pata au download application unaitwa jiji ingia mle visearch
 
Asante kwa taarifa nzuri. Naomba pia u share bei ya vifaa vinavyohitajika, kama tplink E110 au E225 ni kiasi gan dukani, wapi vinapatikana kirahisi.
Dar kariakoo unaweza pata au download application unaitwa jiji ingia mle visearch
 
Habarini wana JF,

Kama ada ya Watanzania wengi, nina wazo la kuuza internet kwa watu.

Muda mrefu nimekuwa nikifanya utafiti kupitia mitandao ya kijamii nimegundua biashara hii inaweza ikafanywa na vijana walio wengi wa Tz badala ya kukomaa na library, vibanda umiza, pharmacy na biashara zingine ndogo ndogo ambazo zimekuwa kimbilio la vijana wengi.

Hii biashara ni maarufu sana kwa vijana wa nchi kama Ufilipino, Indonesia, India, Pakistan na nchi kadha wa kadha. Hata kwenye utafiti wangu kupitia YouTube vijana wengi kutoka nchi hizo ndio ma-dealer sana wa biashara hizi.

Pia nikaja kugundua hata hapa Tz wapo watu wanafanya biashara hii ila ujuzi ndio changamoto hasa utumiaji wa teknolojia sahihi kwenye hii biashara.

Nikakutana na internet ya kijamii kutoka UDOM kupitia masafa ya UHF(WHITE SPACE TV). Hivyo nikaonelea inaweza kuwa msaada mzuri kwenye kufanya biashara ya internet. Ila changamoto kupitia program hii utaalam ni changamoto hivyo watahitajika wataalam na mtaji mkubwa kiasi kufanikisha biashara hii. Ila bado pana ombwe kwani bado sijajua gharama halisi kuweza kunufaika na internet hii.

Nikarahisisha wazo kwamba si lazima sana kutumia masafa ya white space tv, bali vijana wanaweza kukodi internet kutoka makampuni pendwa kama Supakasi ya Vodacom, au fiber za TTCL, ZUKU, GO FIBER, SIMBANET na kampuni za VSAT kupitia vifurushi vyao vya unlimited/uncapped data.

Kama kampuni husika itaruhusu kugawa internet, basi kijana unaweza kutumia fursa hiyo kwa kukodi unlimited internet na kununua baadhi ya vifaa ila kuweza kusambaza kwa waya ama wireless access point.

Vifaa muhimu ni kama komputa, router, cloud key software na vifaa vya kurushia wifi kama camfast au tplink

Mpango wa wateja ni kuuza vocha ambazo utaziprint kupitia software za mtandaoni ama kuuza kwa wifi ya password.

Lengo ni kuuza kwa wateja wengi iwezekanavyo na kufwata mlolongo mzuri wa kibiashara ikiwemo kufanya saving, cash flow au liquidity analysis na mambo kadha wa kadha ya kibiashara ikiwepo utafiti wa soko, mchanganuo wa biashara nk

Vipi mdau wa Jamii forum? Una uzoefu wa hii biashara? Nini mtazamo wako? Una teknolojia gani kuboresha? Una project kama hii ambayo ina exisist? Tuambiwe kwenye komenti hapa kiungani.

View attachment 2437983
Think ilike a capitalist and commoditize the idea. Weka mpango kazi, tafuta mtaji kisha ingia field kuifanya iwe uhalisia. Simple
 
Hicho apo ni omada cloud controller 👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-011138.png
    Screenshot_20240817-011138.png
    856 KB · Views: 29
Hicho ni tplink Eap110 outdoor vipo vya indoor pia hicho pia kitatumika 👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-010941.png
    Screenshot_20240817-010941.png
    1.2 MB · Views: 30
Kiongoz naomba namba yako
Bro hizo router za Vodacom Airtel tigo zmetengenezwa Kwa matumiz ya nyumbani ofisin n.k make ndo maan zikaitwa homebroad band Yan hazina security kwenye ishu ya biashara Kwa mfano unafanya biashara ya WiFi ukitaka kumconnect mtu umpe password kumbuka akishaweka password Tu bas na grcode ya router anapata so kirahis kuhotspot mwingine Aya tusome umeweka limit Sawa my be watu 10 Tu kumbuka ukiweka limit Hiyo nayo hua inapunguza nguvu ya router Sana then itakulazim uwe unabadili password kila MDA ambayo so nzr utasumbu wateja afu pia itakua ngumu kwenye kumonitor wateja njoo nkufunze namna yakufanya WiFi business usifanye ili Tu kufurahisha watu Amna Fanya business kweli kweli hight security monitoring nzr hapo ndo utawez
 
Hiyo hapo router ya 4g ila ukipata 5g ndo nzr zaid 👇hakikidha ina access point mode
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-011039.png
    Screenshot_20240817-011039.png
    615.1 KB · Views: 24
Tplink Eap110 zinarange Sana SA 180,000 router km laki 20000 hivi wire 35000,Mbps50 mtandao mzr wakutumia ni voda then kama utanunua omada hardware Hiyo ni 395000 ila kama huna Hiyo pesa bas tafuta pc download omada software so ni router+wire+pc au omada hardware+access point tplink Eap 110 km kianzio ila km unmtj mzr nunua kubwa yake km unashida na kusajili lain za router nichek inbox nasajilia 10000 Tu afu andaa na location Safi Anza business au km uko karbu na nakaz nayo kaa mm tunawez tukapang pakukutn tujadili wasap namba 0750649411.
Hapo kwenye router+wire+pc, inamaanisha utakuwa na router mbili; yaani ya vodacom kama ISP na ya tp-link kwaajili ya ku control trafic? Ufafanuzi tafadhali.
Asante.
 
Amna u
Hapo kwenye router+wire+pc, inamaanisha utakuwa na router mbili; yaani ya vodacom kama ISP na ya tp-link kwaajili ya ku control trafic? Ufafanuzi tafadhali.
Asante.
Takuwa na router moja Tu ya tplink hapo utakua unaangalia kwenye status na kunavitu utakua unavifany kukabiliana na traffic km Ku upgrade kufaa kukirestart kianze afresh n.k
 
Amna u
Hapo kwenye router+wire+pc, inamaanisha utakuwa na router mbili; yaani ya vodacom kama ISP na ya tp-link kwaajili ya ku control trafic? Ufafanuzi tafadhali.
Asante.
Takuwa na router moja Tu ya tplink hapo utakua unaangalia kwenye status na kunavitu utakua un
Ili wazo nilitoa mwezi wa 9/10 kwenye group langu la whatsapp namna ya kupiga pesa kwa kutumia modem ya voda ya 5G. Modem ya voda inafika 200m kutokana na maelezo yao, unaweza ukatafuta sehem yenye mkusanyko wa watu ukafungua hii biashara ambayo mtu anaweza ku access internet ndani ya 200m.

Dada mmoja kwenye group aliipenda sana hii idea na kuchukua hatua na sasa anafanya kwenye mkoa alipo. Modem ya voda inatoa vifurushi tofauti kwa yule dada kaanza na speed ya 30mbs ambacho kwa mwezi ni 150k.

Voda wanatoa modem bure ila unaingia mkataba wa miezi miwil , modem inauwezo wa host device 64.
Kuzuia watu wasishare password, unaweza kufanya configuration kwenye router kwa kuwapa access wale tu ambao umewaunga na kuwapa access na ku assign mac address ya simu au device ili kuzuia new device isiweze ku access internet bila kulipia au kupewa access.
Hapana hii njia unayotumia wewe sio nzr nakataa kbs make hata mm nmeuza WiFi sana
 
Wateja wanalipiaje?
Ni kabla ya kutumia au mwisho wa mwezi..je akitumia na asilipe mwisho wa mwezi itakuwaje?
Ndo maana kukawepo na kitu kinaitwa WiFi management system hicho ni kitu kizr Sana kukijua before Kuanzia hii bizness na pia inahasara zake usipokua na umakini na ujuzi
 
Hahahahaha hebu nipe unachojua khs hii biashara ya WiFi, mtaani
Ukisema uchukue router Kwa mfano ya voda au Airtel au hata tigo hiz router hazina security kubwa Sana Kwa mfano Una router unabeba watu 64 unakonect mmoja kuna kitu kinaitwa qr code kwenye router mtu anawez kuscan Kwa mtu uliemkonect bila ww kuruhusu
 
Ukisema uchukue router Kwa mfano ya voda au Airtel au hata tigo hiz router hazina security kubwa Sana Kwa mfano Una router unabeba watu 64 unakonect mmoja kuna kitu kinaitwa qr code kwenye router mtu anawez kuscan Kwa mtu uliemkonect bila ww kuruhusu
Na hakuna options za kuzuia mtu ku connect mpk wewe uruhusu ? Na kama ana connect hkn options ya kumzuia
 
Na hakuna options za kuzuia mtu ku connect mpk wewe uruhusu ? Na kama ana connect hkn options ya kukweny
Kwenye router kuna kitu kinaitwa blacklist na whitelist. blacklist inamana kwamba unblock Mac adress ambazo zmeingia kwenye router kimakosa na whitelist unaadd Zile macadress badala yakuziblock
 
Back
Top Bottom