Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Sawa mkuunapenda zaidi biashara
Nzuri hiiBiashara isiyokuwa na risk au yenye risk kidogo ni kununua kiwanja na kujenga nyumba yenye thamani ya milioni themanini afu jaribu kuiuza kwa milioni mia moja na kumi au pangisha.Kama unamiliki nyumba na mahali pa kuishi na hauna majukumu makubwa kula bata tu maisha yenyewe mafupi hizo biashara waachie wahindi na waraabu.
Mkuu kabla sijakushauri napenda nijue
Unapenda biashara
Unapenda kilimo
Unapenda ufugaji
Baada ya jibu hapa ndio nitakushauri
Hapo najua umeweka biashara kwa maana ya kuuzaKwani mkuu ufugaji na kilimo sio biashara?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nunua mbunge au diwani wa cuf au chadema kisha unawauzia ccm.
Utapiga hela ndefu.
Teh teteh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ujue nimecheka sana mpaka sautiTeh teteh
Ukijenga nyumba ya m80 unaipangisha kwa bei gani kwa mwezi? 500,000? Fikiria mtu anawekeza kibanda cha TigoPesa mtaji haufiki 5m kwa mwezi anapata over 1m kulingana na eneo, wewe ukajenge nyumba m80 upate kodi kwa mwezi 500,000/-!Biashara isiyokuwa na risk au yenye risk kidogo ni kununua kiwanja na kujenga nyumba yenye thamani ya milioni themanini afu jaribu kuiuza kwa milioni mia moja na kumi au pangisha.Kama unamiliki nyumba na mahali pa kuishi na hauna majukumu makubwa kula bata tu maisha yenyewe mafupi hizo biashara waachie wahindi na waraabu.
ni biashara lakn katika muundo tofautiKwani mkuu ufugaji na kilimo sio biashara?
napenda ya kuchukua bidhaa na kuuza ,, sio km za ufugajiHapo najua umeweka biashara kwa maana ya kuuza
Ila msingi ya uanzishajia na uendelezaji tofauti
Hili lilikuwa swali lingne kabisanapenda ya kuchukua bidhaa na kuuza ,, sio km za ufugaji
mfano kununua cement na kuuzaHili lilikuwa swali lingne kabisa
Sawa mkuu ndio maana nilikutajia hardwaremfano kununua cement na kuuza
Biashara ya nyumba ni nzuri ila maeneo ya kupata wapangaji wa kukulipa kodi ya uhakika ndio hubaki tatizoUkijenga nyumba ya m80 unaipangisha kwa bei gani kwa mwezi? 500,000? Fikiria mtu anawekeza kibanda cha TigoPesa mtaji haufiki 5m kwa mwezi anapata over 1m kulingana na eneo, wewe ukajenge nyumba m80 upate kodi kwa mwezi 500,000/-!
asante ushauri mzuriBiashara pekee isio na risk ni ya kununua viwanja sehemu potential kisha unavikata na kuviuza baada ya muda flani. Hakikisha tu unanuna viwanja sehemu halali na viwe na document zote muhimu.
Hii kitu kuna jamaa yangu inampa pesa sana sema inatakiwa uwe na mtaji mkubwa ambao wewe naona unakutosha sana hata ukianza na million 30 ukaikata hukosi faida ya 10 million ndani ya miezi michache. Zunguka hata mikoani si lazima Dar tu. Miji inatanuka kwa kasi we enenda kwenye miji yote potential.
Kwanini nakwambia biashara hii haina hasara, kiwanja hakishuki thamani. Huwa kinaongezeka thamani with time hivyo sehemu uliouziwa laki 6 leo, mwakani yaweza kuwa million 2 mpaka 3 kwa mji unaokuwa haraka sana.