Ni kweli usemavyo ila uwe mpambanaji kweli. mwanzo kulikua na mzunguko mkubwa kutokana na wageni asaivi hakuna hivyo inahitaji mbinu kali kukamata sokoWakati mtaani kumejaa maneno kama yako wengine mauzo yanaongeka mwezi kwa mwezi. Game ime-change only the fittest will survive. Be the best,unique....biashara ya mazoea haina nafasi sasa hivi.
Kwa mwezi? Yaani niweke 80m nisubiri 500,000/- kwa mwezi? Hapana aisee bakini na uwekezaji wenu wa nyumba. Hata Uber inaishinda hio nyumba!Ha haa jamaa huenda anapiga sana hela.
Hata ingekua laki 3 ikiwa garatii nipesa nzuri tu
Supply kitu bora kuliko average products za mtaani, ukimaliza na bei nzuri huyumbi.Ni kweli usemavyo ila uwe mpambanaji kweli. mwanzo kulikua na mzunguko mkubwa kutokana na wageni asaivi hakuna hivyo inahitaji mbinu kali kukamata soko
Ni kweli ila kupata kiduchu chenye uhakika tena cha kudumu si sawa na kubahatishaKwa mwezi? Yaani niweke 80m nisubiri 500,000/- kwa mwezi? Hapana aisee bakini na uwekezaji wenu wa nyumba. Hata Uber inaishinda hio nyumba!
Kauli na mawazo haya hutoboi.Ni kweli ila kupata kiduchu chenye uhakika tena cha kudumu si sawa na kubahatisha
Asante kwa kunistuaKauli na mawazo haya hutoboi.
Mimi nilimuuliza anahitaji bilioni ngapi?Na mimi nimehisi hivyo wenye hamsini wanazunguusha iweje 200 ashindwe kusingizia utapeli na hana ugeni nayo
Yani kwa kipindi hiki kuingia kwenye biashara usio ijua uwe na bahati sana kukutana na watu sahihi ndo utoke.Mimi nilimuuliza anahitaji bilioni ngapi?
Mkuu umewahi Fanya biashara ya madini?Yani kwa kipindi hiki kuingia kwenye biashara usio ijua uwe na bahati sana kukutana na watu sahihi ndo utoke.
Myaka tisa ni palefu sana tena ukiwa mchimbaji kwa maana alikua akipata mawe ya kusukumia siku yani kuanzia laki hadi miloni kadhaa.
Akiwa mchuuzi wa bidhaa hizi pia anawezankulinda fedha yake na akapata ufumbuzi mzuri.
Million 200 dhahabu hizo ni kilo si chini 300..
Acha masihara mkuu..
Wewe ni mwongo.. Million 200 kwenye dhahabu ni pesa nyingi mno..
hahaaa
Hapa umezinguaMember sinse sept 17 , alafu unakuja na mada ya kitoto hii
hahaaaNunua mbunge au diwani wa cuf au chadema kisha unawauzia ccm.
Utapiga hela ndefu.
hahaaana kuonea wivuuuu pm itakavyo jaa leo au watakavyo kuwa wana reply kwa harakaa daaah [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
hili wazo lina Afya mnooo" awamu hii uki invest kwenye kamali ".. unatusuaWazo jengine fungua kampuni ya kubeti, inalipa sana awamu hii ya vyuma. Kwa huo mtaji nadhani unatosha kupewa kibali na serikali. Kama watazingua omba patnership na jamaa waliotangulia kufanya hio biashara uanze kula share yako ya kutosha kila mwezi kama moja ya wakurugenzi.
yaani ml.80 niiwekeze halafu nitarajie kupata faida ya ml.1 kwa mwezi... huo ujinga siwezi kufanya AiseeProndo,mimi siyo mtaalamu wa mambo ya biashara lakini kwa mtaji wa milioni themanini na kuingiza laki tano kwa mwezi siyo mbaya. Ni biashara halali chache sana ambazo unaweza kupata faida ya zaidi nusu milioni kwa mwezi kwa mtaji wa milioni themanini.
kabisaaYaani uwekeze milioni themanini upate laki tano kwa kuwa nyumba sio biashara ni aset sawa ila ukiifanya biashara ni hasara tasilimu