Biashara ya kuanzia mtaji milion 200

Biashara ya kuanzia mtaji milion 200

habari wanajamii wenzangu ,,, nngependa kupata mawazo hasa kwa waliowajasiliamali,, mm nimekuwa mchimbaji mdogo eneo moja hapa nchini nmeanza kuchimba miaka 9 ilopita ,, kwa bahati wiki ilopita nilibahatika nikapata dhahabu ambayo imeniingizia milioni 200 na kitu,,
nilikuwa nataka kuachana na kazi ya uchimbaji maana ni ngumu sana , napenda nifanye biashara ,, na ni biashara ipi naweza anza na nayo?
Kwasababu unayajua madini vizuri kwanini usiwe dealer? Unanunua kwa wachimbaji wadogo halafu unawauzia wengine.
 
ni ngumu hii biashara na kuwa dealer mtaji mdgo na kutapeliwa rahisi sana
 
habari wanajamii wenzangu ,,, nngependa kupata mawazo hasa kwa waliowajasiliamali,, mm nimekuwa mchimbaji mdogo eneo moja hapa nchini nmeanza kuchimba miaka 9 ilopita ,, kwa bahati wiki ilopita nilibahatika nikapata dhahabu ambayo imeniingizia milioni 200 na kitu,,
nilikuwa nataka kuachana na kazi ya uchimbaji maana ni ngumu sana , napenda nifanye biashara ,, na ni biashara ipi naweza anza na nayo?
Nikopee milioni 10 tu mkataba wa mwaka nakurudishia milioni 15.

Nikuonyeshe cha kufanya nina wazo lakini halina mtaji.
 
Biashara isiyokuwa na risk au yenye risk kidogo ni kununua kiwanja na kujenga nyumba yenye thamani ya milioni themanini afu jaribu kuiuza kwa milioni mia moja na kumi au pangisha.Kama unamiliki nyumba na mahali pa kuishi na hauna majukumu makubwa kula bata tu maisha yenyewe mafupi hizo biashara waachie wahindi na waraabu.
 
Back
Top Bottom