Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Nchi yetu inatukwamisha sana basi tu,

Ona sasa kule juu nilianza kufurahia kwa sababu nina mpango wa kulima mahindi nikajipa soko la uhakika,

kumbe wathailand washasepeshwa na mtakatifu mkuu,

sawa bhana kiongozi wa wanyonge.
 
Hii biashara tamu sana....Allah akipenda nitaifanya mwaka wowote ule......
 
Mrejesho please...
Naona Magu kawakatisha tamaa.To have an idea is one think and to implement an idea is another think. Ndiyo maana watu wanasema, makaburini ni sehemu tajiri zaidi kwa mawazo kuliko mtaani, maana watu waliokufa na mawazo yao vichwani ni wengi kuliko walio mtaani.
Hakuna aliye fungua kiwanda hadi leo?
 
Hii biashara nilishawahi ifanya na mzee wangu ni kazi nzuri ukiwa na capital ya kutosha. changamoto zake kubwa ni upatikanaji wa mahind hasa kuanzia miezi ya kumi na mbili mpaka wa nne. faida yake sio ya kutisha ila inalipa sana. nyingine ni umeme hasa kwa maeneo ya dar ni taab sana hii inakulazimu mara nyingi kazi ifanyike hata usiku, pia site yakk ingependez iwe eneo karibia na transformer ili uwe unapata umeme wa kutosha. kwenye soko pia mwanzo ni mgogoro sana ila ukishakuwa na jina na hasa ukapata wateja kama wacomoro umepeta.

kitu kingine ni wanafanyakazi, hapa ndio tatizo inabidi upate wafanyakazi waminifu sana na mara ya mwisho ilikuwa kukoboa na kusaga kwa tonne moja ilikuwa ni 2500, hapo bila kushusha mzigo toka garini. ukija kwenye upande wa kusagia wateja hapo ni wewe tu ila jua mashine nying unazoziona dar ni za kusagia wateja na hapa kwang mimi ndo naona inalipa san. mwaka juzi tone moja kusaga na kukoboa ilikuwa ni 30000 na ukiwa na kinu kizuri unaweza futa mzigo wa tonne 30 per 24hrs.

Ila kuna watu temeke wanatengeneza mashine complete set the last time ilikuwa 70mil na per day inauwezo wa tonne60. mara ya mwisho nilipopita stereo ilikuwa haijaanza fanya kazi. kwa ujumla ni kazi nzur sana nikijikusanya lazima na mimi niiifanye. ila in the hot cake ni unga wa ngano sijui wanafanyaje kina azam
70mil ni machine ya aina gani mkuu kusaga, kukoboa na packing moja kwa moja au
 
70mil ni machine ya aina gani mkuu kusaga, kukoboa na packing moja kwa moja au
kusaga, kukoboa kukausha pumba Kwa pamoja. hukuwa n'a haja ya kuwa n'a vijana automanual kwenye parking mfumo wa kawaida.
 
Hii biashara tamu sana. Allah akipenda nitaifanya mwaka wowote ule.
Nakubaliana nawe kaka ila faida inapatikanaje kuanzia A to Z katika hizi business. Kifupi cost analysis muhimu ndugu na wengi humu hawatuweki wazi wenzao tunaotaka kuingia katika business!
 
Hiij biashara nilishawahi ifanya na mzee wangu ni kazi nzuri ukiwa na capital ya kutosha. changamoto zake kubwa ni upatikanaji wa mahind hasa kuanzia miezi ya kumi na mbili mpaka wa nne. faida yake sio ya kutisha ila inalipa sana. nyingine ni umeme hasa kwa maeneo ya dar ni taab sana hii inakulazimu mara nyingi kazi ifanyike hata usiku, pia site yakk ingependez iwe eneo karibia na transformer ili uwe unapata umeme wa kutosha. kwenye soko pia mwanzo ni mgogoro sana ila ukishakuwa na jina na hasa ukapata wateja kama wacomoro umepeta.

kitu kingine ni wanafanyakazi, hapa ndio tatizo inabidi upate wafanyakazi waminifu sana na mara ya mwisho ilikuwa kukoboa na kusaga kwa tonne moja ilikuwa ni 2500, hapo bila kushusha mzigo toka garini. ukija kwenye upande wa kusagia wateja hapo ni wewe tu ila jua mashine nying unazoziona dar ni za kusagia wateja na hapa kwang mimi ndo naona inalipa san. mwaka juzi tone moja kusaga na kukoboa ilikuwa ni 30000 na ukiwa na kinu kizuri unaweza futa mzigo wa tonne 30 per 24hrs.

Ila kuna watu temeke wanatengeneza mashine complete set the last time ilikuwa 70mil na per day inauwezo wa tonne60. mara ya mwisho nilipopita stereo ilikuwa haijaanza fanya kazi. kwa ujumla ni kazi nzur sana nikijikusanya lazima na mimi niiifanye. ila in the hot cake ni unga wa ngano sijui wanafanyaje kina azam
Ndg hao watu wa temeke bei ya machine zao hizo ikiwa complete ni bei gani?
 
Miaka 2012 walikuwa wanauza mil 70 mashine yenye uwezo wa tonne 60 sasa hivi sijui itakuwa bei gani ni muda sijatembelea huko maana kipind hawakuwa system ya kupakia. ila kama uwezo wako si haba waone kmec wachina wanamshine za kuanzia tonne 30 ambazo fob ni kama usd 45000 option ya parking ipo.

Walichonivutia ukoboaji wao hautafuni mahind,kwa tonne kumi unapata viroba 300-320 wakat wa temeke 270-280 unga wa high quality. ukiwa vizur zaid nenda za mpka tonne 500 kwa usd 1200000, tonne 300 kwa 800000 hapo itahitaji uzidishe mara tatu ili upate actual cost baada ya ujenzi. hizi nilizependa baada kuziona sumbawanga na nikaja kuziona tena nampula kwa halima group.
 
Aiseee
Ina maana kuna mtu ana 500TPD huko Sumbawanga?
 
Wakuu,

Mimi nahitaji kuwa mfanyabiashara wa kutengeneza na kuuza unga wa dona na sembe, naomba msaada kwa mwenye uzefu na biashara hiyo soko lake likoje wapi na pa kuanzia.

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili neno Mjasiriamali linatumika isivyo.

Mfano. Mama mjasmziti hawezi jiita mzazi kama hajajifungua. ni mpaka ajifungue ndo aanze kuitwa mzazi wa mtoto.

Sasa how come wewe ni mjasiriamali then hujaanza unafikiria kuanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuuimi nahitaji kua mfanyabiashara wa kutengeneza
na kuuza unga wa dona na sembe naombq msada kwa mwenye uzefu na biashara hiyo soko lake likoje wapi na pakuanzia

ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujasiriamali hauhitaji uvivu. Yaani uvivu na Ujasiriamali ni sawa na mbingu na Aridhi.

Unapaswa kufanya utafiti wako mwenyewe nna ukusanye tarifa tena eneo ulipo wewe.

Humu utapewa taarifa za Tarime au Tanga kumbe upo Dar au uko Lindi.

Commitment inaanzai kwenye kukusanya taarifa.

Taarifa zinakusanywa madukani, kwa wazalishaji watumiaji na kadhalika.

Taarifa sahihi utazipata wewe kufanya visit ya maeneo husika na kuonana na Washika Dau husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom