zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Sali basi nifanikiwe alafu uje pm achia namba yako nitakutafuta.Me nataka uniajili maana nina uzoefu wakutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sali basi nifanikiwe alafu uje pm achia namba yako nitakutafuta.Me nataka uniajili maana nina uzoefu wakutosha
Unga huu wa sembe sio wa kulevyaUnga huu au ule!
MmmUnga huu wa sembe sio wa kulevya
Sawa Mkuu.nitakucheki pmMzee Kama ukifanikiwa kumpata mie nina keli zinaweza kusaidia katika usafiri tugawane umaskini
Vipi mbona unaguna arifu
Aaah sawa Mkuu. Nitakutafuta tutayajenga. Mahindi yako toka mkoa gani?Mkuu kiwanda kikianza kazi mm nipo kwa ajili ya malighafi ya bidhaa unayo zalisha. Nikimaanisha ya kwamba kwenye suala la Mahindi nitakuwa nakuletea mzigo utakao, Karibu sana mkuu.
Karibu sana mkuu, mkuu mahindi nachukua sehemu tofauti tofauti. Ni ww sasa kunipa mm kazi na kuniagiza nikuletee mahindi ya wapi. Mahindi nachukua Tanga, Njombe, Morogoro, Dodoma, Songea n.k Karibu sana.Aaah sawa Mkuu.nitakutafuta tutayajenga .Mahindi yako toka mkoa gani?
Mashine zile unasaga unga reja reja .lakini kama unatumia machine kubwa na unaweka kwenye packages zenye jina lako icho ni kiwanda tayariZamani tulikuwa tunaita mashine siku hiz viwanda.
Songea nimefanya research nasikia ndo yanapedwa zaidi unga unataka mweupe na mzuri.Karibu sana mkuu, mkuu mahindi nachukua sehemu tofauti tofauti. Ni ww sasa kunipa mm kazi na kuniagiza nikuletee mahindi ya wapi. Mahindi nachukua Tanga, Njombe, Morogoro, Dodoma, Songea n.k Karibu sana.
Sawa mkuuMkuu ukifanikiwa na mm usinisahau hata kazi ya kufagia Nina uzoefu nayo!!
Hiyo nenda kinondoni uwasake watakupa tu hiyo deal.Nilifrai nikajua poda ile ynye pesaa mingi
Hiyo nenda kinondoni uwasake watakupa tu hiyo deal.
UnyamaniMaeneo gan ninja
Ndio ni kweli kabisa mahindi ya Songea na Tanga ni mazuri kwa unga wa Sembe kwa Dona Mahindi ya Njombe yako poa sana.Songea nimefanya research nasikia ndo yanapedwa zaidi unga unataka mweupe na mzuri
Sawa Mkuu.nitakutafuta.naomba uniachie namba yako pm.nikiwa tayari nikutafuteNdio ni kweli kabisa mahindi ya Songea na Tanga ni mazuri kwa unga wa Sembe kwa Dona Mahindi ya Njombe yako poa sana.
Fanya Kunitumia zako, hiz za Kwangu bado sijazishika vizuri.Sawa Mkuu.nitakutafuta.naomba uniachie namba yako pm.nikiwa tayari nikutafute