Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hiyo nyingine ina usiri mkubwa Mkuu nisingeweza anika hiviUMENISTUAAA..nikataka nianze kuandaa hela mapema.....kumbe unga wa sembe na dona!!!! aaarrrggg
TundumaAsante Mkuu.unafanyia wapi?
Duh tumefika uko Mkuu?ila binafsi na siasa tupo mbali kabisa .sina chamaKila laheri ila ujipendekeze Kwa chama la wana maana ukiwa mpinzani wao watakudai hadi kodi zingine zisizokuwa na jina
UleUnga huu au ule!
Hongera Mkuu. Mungu akusaidie ufike mbaliTunduma
Hongera Mkuu.Mungu akusaidie ufike mbaliTunduma
Hahaha sawa Mkuu.Tanzania ya viwandaUsisahau kumwambia mkulu aje azindue mkuu.
Sijui kitakua kiwanda cha ngapi hicho,wenye takwimu.
Umemaanisha nini kutuma hiyo picha apa..reasonable man hawezi fanya hivyo
Habari wakuu,
Natafuta mtu wakufanya nae biashara ya unga wa sembe na dona.njoo na milioni 25 tufanye Kazi hiyo pamoja .Eneo nimeshanunua kibaha.jengo nimeshajenga .bado kuweka mashine na umeme wa 3 face .kiwanda ni kukubwa na kina store pia.nilipanga nimalize December mwaka huu kiwanda kianze Kazi lakini mipango haijakaa sawa.au Kwa anayejua taasisi inayowezesha viwanda kama hivyo Kwa mkopo.Kwa muitaji tuwasiliane pm
Nitumie mchanganuo inbox tuyajenge mzee
Sawa Mkuu nitaku pm, tutayajenga pamojaMie nahitaj pumba mkuu nipo mlandiz plz PM if u can
10m bado itakua haijafikia malengo Mkuu lakini tunaweza fikia mahala flani pazuri ntaku pm Mkuu tuangalie mchangunuo alafu tuone namnaNaweka 10m by February ili tupige kazi.
Sio maili moja Mkuu kibaha near Mlandizi.karibu ata kesho Mkuu tuyajenge ujionee uhalisia. Kuna viwanda vya wachina pemben kama vitatu.Kibaha sehemu gani mkuu maana kama mailimoja eneo LA viwanda ni tamko nikija nije nione mkuu nami nipate utajir wa akili
Aah huko ni zegereni mkuu, si unaingilia madafu pale?Sio maili moja Mkuu kibaha near Mlandizi. Karibu ata kesho Mkuu tuyajenge ujionee uhalisia. Kuna viwanda vya wachina pembeni kama vitatu
Aaaah mbele kidogo mkuuAah huko ni zegereni mkuu, si unaingilia madafu pale?