Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Kweli, wanaume tunalalamika ndoa zina matatizo ila hakuna mwanaume utakua na akili alaf mwanamke ambaye wewe ndio umemtafuta mwenyewe aje kukusumbua akili,Huu ujinga umewahi kunikuta mimi aisee mleta mada awe makini Sana aiseee
Mama zetu sio kwamba walikua na adabu sana kudumu kwenye ndoa, ni akili za mwanaume kwenye kuchagua mwenza atakayeendana nae, ndio maana zamani mtu alikua anachaguliwa mwenza na wanadumu, wazee wanakujua mtoto wao na wameona mengi hivyo akikuchagulia mtu lazima mtadumu milele