Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Kweli, wanaume tunalalamika ndoa zina matatizo ila hakuna mwanaume utakua na akili alaf mwanamke ambaye wewe ndio umemtafuta mwenyewe aje kukusumbua akili,Huu ujinga umewahi kunikuta mimi aisee mleta mada awe makini Sana aiseee
Fanya biashara yoyote utakayo ona inakulipa kulingana na mazingira ulipo.Unanishauri nifanye ipi kati ya hizo pesa sio ya mkopo.
Shida yenu vijana wa Tanganyika ndo hio mkiona mtu kaongea kitu akaeka na habari ya ndoa mnafananisha akili zenu na mihemko yenu ilio wafanya mkimbilie ndoa kwa kubugi jambo ambalo linawafanya mnajuta mbaka leo .Nikufahamishe tu kijana mwenzangu kwamba Tanzania hii hii kunavijana wenye focus kubwa sana kwenye haya maisha na wanapambania ndoto zao usiku na mchana naswala la ndoa au familia ni ishu ya extra sana na hakili hio haijaja baada na kubugi na kukimbilia majukumu bali ni ndoto za mtu nakuji control kwenye mambo ya mihemko.Najua kabisa wewe hapo ulipo ushajichanganya na Ushabugi ndo mana unawaza negativity nakuamini vitu haviwezekani.Anataafutwa mke hapo, hujaelewa nini? Hiyo habari ya biashara ni ulimbo tu wa kunasia. Akili mtu wangu.
🙏Kwa upande wangu, kabla hujaaza kufafa chochote lazima kwanza ujue changamoto zake, hasara na faida, iwe biashara, kilomo au ufungaji na uvuvi. ukisha jua changamoto hasara na faida, chagua unachoona utakimudu. Miti ya mbao ni mizuri ila na yenyewe inahitaji matuzo, kumbuka adui wa miti ya mbao ni moto hivyo inahitaji sana uangalizi.
Anzisha danguro, inalipa kichizi.Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.
Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.
Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,
Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.
Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.
Ushauri wenu wadau wangu!!.
Thanks 🙏Kwa mtaji wako kiongozi kama sio mkopo basi una uwanja mpana wakutumia pesa zako ,Mimi Niko na mawazo 2 ,ambayo ni Financial services pamoja na ardhi (kilimo).
Financial services,hii inaitaji tu mfanyakaz mwaminifu pamoja na location ya mzunguko ndipo kutakua na faida kubwa hii asara zake labda tu mfanyakazi akosee kufanya muamala tofauti na hapo ni maokoto tu .
Ardhi (kilimo)
Ardhi unaeza kununua na kua na hati miliki ukawa umetunza ela zako bila kuhitaji msimamizi na ardhi Kila siku thamani inapanda juu mfano kwa huku kwetu mbeya kwa baadhi ya maeneo aridhi yake inagharama sana na inapanda Kila siku
Either ununue ardhi Kisha ufanye kilimo Cha muda au Cha muda mrefu kama kupanda miti .nb shambani Kuna ela sana kwa huku kwetu kwa kilimo Cha kiazi na mahindi.
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.
Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.
Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,
Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.
Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.
Ushauri wenu wadau wangu!!.