Biashara ya kufanya mtaji 30 milioni

Huu ujinga umewahi kunikuta mimi aisee mleta mada awe makini Sana aiseee
Kweli, wanaume tunalalamika ndoa zina matatizo ila hakuna mwanaume utakua na akili alaf mwanamke ambaye wewe ndio umemtafuta mwenyewe aje kukusumbua akili,
Mama zetu sio kwamba walikua na adabu sana kudumu kwenye ndoa, ni akili za mwanaume kwenye kuchagua mwenza atakayeendana nae, ndio maana zamani mtu alikua anachaguliwa mwenza na wanadumu, wazee wanakujua mtoto wao na wameona mengi hivyo akikuchagulia mtu lazima mtadumu milele
 
Anataafutwa mke hapo, hujaelewa nini? Hiyo habari ya biashara ni ulimbo tu wa kunasia. Akili mtu wangu.
Shida yenu vijana wa Tanganyika ndo hio mkiona mtu kaongea kitu akaeka na habari ya ndoa mnafananisha akili zenu na mihemko yenu ilio wafanya mkimbilie ndoa kwa kubugi jambo ambalo linawafanya mnajuta mbaka leo .Nikufahamishe tu kijana mwenzangu kwamba Tanzania hii hii kunavijana wenye focus kubwa sana kwenye haya maisha na wanapambania ndoto zao usiku na mchana naswala la ndoa au familia ni ishu ya extra sana na hakili hio haijaja baada na kubugi na kukimbilia majukumu bali ni ndoto za mtu nakuji control kwenye mambo ya mihemko.Najua kabisa wewe hapo ulipo ushajichanganya na Ushabugi ndo mana unawaza negativity nakuamini vitu haviwezekani.
 
🙏
 
Anzisha danguro, inalipa kichizi.
 
Thanks 🙏
 

ushauri wangu jipe mda kwanza.. sababu ulizoweka hapo juu kwa nini unataka kufanya biashara na jinsi ulivyoplan kuiendesha hiyo biashara tayar tunasema hiyo biashara ni "dead on arrival"

unatakiwa kujua mchawi wa kufanikiwakwenye biashara ni vitu viwili aina ya biashara unayoitaka kwa maana ya kuifanyai reserach na pili ni time managment.. watu wengi wanafeli sababu hawalipi uzito swala time management.. kumbuka wazo na mipango ya biahsraa unayo wewe kichwani... haijalishi msimamizi ni nani kama hamshei common goals hiyo baishara its doomed to fail. na mbaya zaid msimamizi akiwa mna vinasaba vya mahusiano awe mke au ndugu

ushauri wangu sababu una ajira .. tulia.. iweke hiyo pesa sehem (sio saving account) iwe fixed au wekeze sehemu walau hata izalishe faida kdogo kwa maana ya kuilinda thaman yake .. ili uweze kujipa mda wa kutafakari kwa kina hasa kwenye swala la time managment.. kwangu mie sasa hivi hauko tayari 30m ni nyingi ikiwa bank au mfukoni ukishaiweka kwenye biashara ndio utajua ni pesa ndogo sana. take your time hauko tayar kwa biashara inaeleka unauhitaji wa kutengeneza mrija wa pili wa income ila bado hujajipanga.

fanya research. dunia kijiji sasa hivi.. tafuta elimu ya fedha na uwekezaji na jinsi ya kumanage mda .. utaona kwa position yako uwekeze vipi pesa yako. usitake kufungua biashara ambayo mafanikio yake itahitaji 100% of your time huku ukiwa na ajira.. lazima kimoja kifeli aidha biashara au kazi yako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…