Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

hii ni kazi haramu sema wahusika wameamua kufumba majicho
 
Mkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana

haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu

halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine😂

Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
Kwahiyo unajinasibu hadharani kuwa unamiliki ID zaidi ya moja
 
Mkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana

haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu

halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine😂

Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
Nimestuka sana mkuu😆😆😆 nikajua ni mzee wa🍎
 
Haha hua tunachangamsha ubongo kidogo
Unajua Mkuu kuna kitu inaitwa MUDA,Usipoweza thamini muda wako

kuna vitu hutoweza vifikia kwa haraka,kwenyee maisha pia kuna muda tunatakiwa

ku refresh na kuupa mwili pumziko kdg,lakini umechagua nn kurefresh ubongo wako?

kuna thread humu si zakuziendea kbsa maana si rafiki kwa afya ya ubongo,unaziacha kwa matumizi ya wengine.
 
Unajua Mkuu kuna kitu inaitwa MUDA,Usipoweza thamini muda wako

kuna vitu hutoweza vifikia kwa haraka,kwenyee maisha pia kuna muda tunatakiwa

ku refresh na kuupa mwili pumziko kdg,lakini umechagua nn kurefresh ubongo wako?

kuna thread humu si zakuziendea kbsa maana si rafiki kwa afya ya ubongo,unaziacha kwa matumizi ya wengine.
Nimeuchukua ushauri Asante
 
Katika ubora wako..embu fanya weekend hii tukazurure kule kwenye nyama choma
 
Woooiiiii🤸🤸🤸🤸🤸
Kesho ndiyo kesho🤗🤗
Yaniiii tena muda ndio muda ufanye tu kuchangamka

maana na wewe umepooza kama maji ya kuogeshea mgonjwa😂

nakusubiri mimi😊
 
Yaniiii tena muda ndio muda ufanye tu kuchangamka

maana na wewe umepooza kama maji ya kuogeshea mgonjwa😂

nakusubiri mimi😊
😂😂😂😂😂😂
Atiiii!!...mbona uonevu Sasa huo..😔
Sawa bwana kesho ndiyo utajua hujui🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂
Atiiii!!...mbona uonevu Sasa huo..😔
Sawa bwana kesho ndiyo utajua hujui🤣🤣
sasa nichomeshe mahindi kama kawaida yako,uniache nahesabu watu
 
Back
Top Bottom