Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

sasa nichomeshe mahindi kama kawaida yako,uniache nahesabu watu
😂😂😂😂Au nikochomeshe!!!🤔
Hehehehe nilivyo na hamu na nyama choma kesho mapema tu utanikuta eneo la tukio
 
nikochomeshe
wewe fanya theory huko practical ya kunichomesha mahindi uje uifanyie kwangu?

nakwambia nimepata mganga mmoja huyo,nikimtajia herufi yako ya jina ya kwanza tu "kazi kwisha"😂
 
wewe fanya theory huko practical ya kunichomesha mahindi uje uifanyie kwangu?

nakwambia nimepata mganga mmoja huyo,nikimtajia herufi yako ya jina ya kwanza tu "kazi kwisha"😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Si tutaona sasa

Ushindwe...lini umeanza hayo mambo??!!!alafu hata upendezei na huo uhandsome Basi tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Si tutaona sasa

Ushindwe...lini umeanza hayo mambo??!!!alafu hata upendezei na huo uhandsome Basi tu
we furahia tu, halafu unichomeshe kweli popcorn

ntaftie tusi lingine bana hlo la uhandsome nishalipangua😅
 
Mkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana

haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu

halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine[emoji23]

Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
Tuliwahi kutoana povu mahala, anyway yaliishia kule. Threads zako ziko na madini sana, kudos!
 
Fujo za kwenye notification yako umeziona nadhani Yna2 nikiongea ntaharibu sasa
 
Kumbe mzee hua unachat ukichatishwa naomba kujoin the chain huko kwenye mbuzi
 
Kumbe mzee hua unachat ukichatishwa naomba kujoin the chain huko kwenye mbuzi
Tatizo mnanichukulia mimi kauzu sana, japo kweli n kauzu ila kuna wakati najiachia tu mkuu

Karibu next weekend tukale mbuzi tuchangamshe meno,leo ushanichelewa Meno huitaji mazoezi kidogo😀
 
Mkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana

haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu

halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine😂

Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
I thought you're the other side of Rikiboy. Apart from Tund thread, I know nothing about that charming boy rikiboy
 
mkuu hii biashara ongea tu kwa kua huijui kwa zamani ata ungeanza na terabyte 1 unatoboa ila sasa mkuu bila kua na kuanzia terabyte 20 unafukuza upepo mtaji wake sio chini ya million 1 kma unataka uone pesa
Wewe naona wataka ofisi ikae ki-executive sanaaaa ndio maana. Ila ukianza tararibu ukawa na nidhamu ya pesa na malengo utafika unapopatarajia aisee. Kuna watu wako nje ya fremu hapa Buguruni ukijumlisha kila kitu ana around laki 3½ ila kila siku yupo na anasomesha. Nataka nikaanze hii bizney maeneo ya taasisi fulani ya elimu nijipe na time frame ya kutake off
 
Back
Top Bottom