Asante Big Boss, Tunasonga mbele mazuri yapo mengi yanakujaSio kwamba wengine hawana michango au mawazo ya kuwajenga vijana wenzeo kiuchumi Bali wewe ni zaidi Yao kwa mtazamo wangu.
Kwahiyo unajinasibu hadharani kuwa unamiliki ID zaidi ya mojaMkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana
haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu
halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine😂
Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
Hiyo kazi inavunja sheria za hatimilikiUnaweza sema uharamu wake uko wapi?
Acha kukurupuka bwashee,usilolijua uwe unakaa kimyaa...
Nakuuliza kwa mara ya mwisho usipojibu kitu ya kueleweka nakuacha,Hiyo kazi inavunja sheria za hatimiliki
Nimestuka sana mkuu😆😆😆 nikajua ni mzee wa🍎Mkuu mbona sinaga ubishi wala ligi,ukifatilia hii ID imekaa ki official sana
haibishani,haitukani,haiongei pumba hovyo ila ukinikuta kwenye ID yangu
halisi ya rikiboy ndio utajua kuwa Controla n mwingine na Rikiboy ni mwingine😂
Hapo kwa rikiboy nimetolea tu mfano,hiyo si ID yangu,Controla ni Dingi flani asie na mikwara mzee..
Haha hua tunachangamsha ubongo kidogoHapana mkuu,siwezi kabisa😂 yale mambo yana wenyewe.
Unajua Mkuu kuna kitu inaitwa MUDA,Usipoweza thamini muda wakoHaha hua tunachangamsha ubongo kidogo
Nimeuchukua ushauri AsanteUnajua Mkuu kuna kitu inaitwa MUDA,Usipoweza thamini muda wako
kuna vitu hutoweza vifikia kwa haraka,kwenyee maisha pia kuna muda tunatakiwa
ku refresh na kuupa mwili pumziko kdg,lakini umechagua nn kurefresh ubongo wako?
kuna thread humu si zakuziendea kbsa maana si rafiki kwa afya ya ubongo,unaziacha kwa matumizi ya wengine.
😂😂😂😂Tatizo unajifungia ndani sana, toka twende hebu
Woooiiiii🤸🤸🤸🤸🤸Kama kweli sasa Muda ndio kesho,
Nyama choma palee tukayape Meno mazoezi kidogo😀
😂😂😂😂😂😂Yaniiii tena muda ndio muda ufanye tu kuchangamka
maana na wewe umepooza kama maji ya kuogeshea mgonjwa😂
nakusubiri mimi😊