Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Unataka kusema mama samia aseme ukahaba ruksa then aende msikitini aswali masheikh wasimjadili alichokisema au unahis bunge litapitisha kabisa et kisa dini na siasa zimetofautiana[emoji23]?? Haingii Akilini hata kidogo dini na siasa kwa nchi yetu havipishani ndo maana rais au kiongoz wa serikalin uwa anaapa kwanza kwa dini yake kabla hajaanza kutawala rasmi ko apo unaona dini inamaana gan??
Ni mtazamo tu tumeshajijengea lakini uhalisia ni kwamba nchi yetu haifungamani na dini yoyote
 
Kwa nilivyo muelewa nikwamba kunabaadhi ya viongoz/watumishi Wa serikar ambao wanajiusisha na biashara hiyo
Ukisoma vizuri swali langu utaelewa, hata mimi nilimuelewa kama ulivyoelewa,

Ndio maana nikauliza kama asema wanaojiuza ni watu wenye maisha magumu hapo hapo anasema hata viongozi serikalini wapo wanaojiuza pia,

Kwa hiyo tushike lipi hapo? Au viongozi serikalini na wao wana maisha magumu ndio maana wajiuza???
 
Ukisoma vizuri swali langu utaelewa, hata mimi nilimuelewa kama ulivyoelewa,

Ndio maana nikauliza kama asema wanaojiuza ni watu wenye maisha magumu hapo hapo anasema hata viongozi serikalini wapo wanaojiuza pia,

Kwa hiyo tushike lipi hapo? Au viongozi serikalini na wao wana maisha magumu ndio maana wajiuza???
kama umesoma kile nilichokiandika nimesema asilimia kubwa ya watu wanaojiuza ni kwa sabab ya hali ngum ya maisha kwa utafiti wangu wa watu 20 wanaofanya hii biashara nikasema pia ingawa kuna watu wanaofanya hii biashara sio kwa sabab ya maisha magum bali ni kama burudani na kipaji chao
 
Kwa hiyo kama manabii walikuta watu wanafanya kafara ya kuchinja binadamu tuache iendelee kwa kuwa wameikuta. Tabia chafu zipigwe vita kwa sheria na vitendo kukamata na kuadhibu wahalifu. Ukahaba/prostitution ni uovu kama wizi na uuaji ulikuwepo tangu dunia kuumbwa laZma uendelee kupigwa vita.
Upigwe vita na nani sasa wakati watu wanapenda?
Hujui ngono ndio yafanya tunazidi kuzaliana? Kama tusipofanya ngono si tutaisha na bado tutapata ugonjwa wa kucheka cheka,

Huwezi ikomesha biashara ya ukahaba, watu wanataka utamu, watu wanataka mijihelaaa.
 
Upigwe vita na nani sasa wakati watu wanapenda?
Hujui ngono ndio yafanya tunazidi kuzaliana? Kama tusipofanya ngono si tutaisha na bado tutapata ugonjwa wa kucheka cheka,

Huwezi ikomesha biashara ya ukahaba, watu wanataka utamu, watu wanataka mijihelaaa.
Umeongea kwa uchungu[emoji23][emoji23]
 
Nikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.

Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.

Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.

Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.

Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.

NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.

Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.

Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.

Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
Hakuna sababu yoyote ya kuwazuia madada poa,acheni watafute rizki

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
kama umesoma kile nilichokiandika nimesema asilimia kubwa ya watu wanaojiuza ni kwa sabab ya hali ngum ya maisha kwa utafiti wangu wa watu 20 wanaofanya hii biashara nikasema pia ingawa kuna watu wanaofanya hii biashara sio kwa sabab ya maisha magum bali ni kama burudani na kipaji chao

Huo mstari wa mwisho ndio haswaaaaa,

"Wanafanya kama Burudani" ndio maana halisi ya ngono, 'Burudani'

Mkiwa mnafanya hizo tafiti badala ya kuangalia nani na nani ajiuza na kujiwekea hitimisho mwenyewe ni vema muwafate walengwa na kuzungumza nao kinagaubaga, wao ndio watakupa majibu mazuri.
 
Nikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.

Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.

Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.

Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.

Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.

NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.

Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.

Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.

Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
Noma sana, sasa mavyuoni huko hali ndio mbaya hatari..
 
Serikali ihalalishe tu hiyo biashara naichukue kodi kabisa
Haijafanikiwa 100% kuchuka kodi kwenye biashara halali, huko si itakuwa balaa! Labda wakusanyaji wa hiyo kodi wawe wanawake
 
Kwa nilivyo muelewa nikwamba kunabaadhi ya viongoz/watumishi Wa serikar ambao wanajiusisha na biashara hiyo
Kujihusisha kivipi?
Wanamiliki madanguro au ni wateja?
Malaya ukiwauliza polisi wakiwakamata na kuwapeleka kituoni nini hutokea?
Wanasema wakati mwingine nao polisi wanakula sukari wanawaachia au wanaomba hela wanawaachia ndio maana ni ngumu kuona Dada poa kawekwa ndani
 
Nikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.

Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.

Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.

Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.

Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.

NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.

Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.

Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.

Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
Unataka upambane na biashara za watu ili iweje ?
 
Kujihusisha kivipi?
Wanamiliki madanguro au ni wateja?
Malaya ukiwauliza polisi wakiwakamata na kuwapeleka kituoni nini hutokea?
Wanasema wakati mwingine nao polisi wanakula sukari wanawaachia au wanaomba hela wanawaachia ndio maana ni ngumu kuona Dada poa kawekwa ndani
serikali nayo ni wateja wakubwa wa dada poa
 
Serikali ihalalishe tu hiyo biashara naichukue kodi kabisa
Nikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.

Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.

Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.

Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.

Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.

NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.

Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.

Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.

Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
kwani kuna shida gani watu wakiamua kutumikisha viungo vyao kwa pesa? wewe unaona wivu ama? aidha, kwani hiyo si staili tu ya utendaji? una takwimu za umalaya wa majumbani au kwenye ndoa wewe? kama sisi tunaojidai wangwana majumbani ni wema, magonjwa kama UKIMWI yanashamiri kwenye jamii yetu kwanini? tuache tamaduni za kinafki, Bongo ngono CHAFU (kama ipo) inapigwa kwa staili zote tu. mimi ninaona heri ya anaeweka wazi kuuza kuliko anaeuza indirectly. hizi za kutuma na ya kutolea, ukiitazama vema ni biashara ileile tu, sema ipo indirect. acheni watu waishi maisha yao.
 
frankly speaking hii biashara imeshamiri sana siku hizi...na jambo la kushangaza inafanyika wazi wazi bila kificho...

nadhani ni vyema serikali ikahalalisha ili ifanyike kwa namna inayofaa kuliko inavyofanyika sasa hivi...

wadau wa dini ni jukumu lao kuwajengea misingi bora waamini wao na kuzidisha elimu na kukazia maadili....

serikali haina dini...ila watawala wanadini...kila mtu atumie akili yake
Kumbe wewe huelewi jambo..kadri makanisa nanavyoongezeka na dhambi zinaongezeka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom