jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
Wakuu heshima yenu,
Nimeanza biashara ya kukopesha!! Nimeandaa daftari la kuandikishana ila kuna watu wengi tunashindana kwa sababu kila wakija nawaambia waniachie kitu ndo nimpe pesa wengine wanakataa kwani kwingine hawaletewi masharti ya hivo!!
Nilkua naomba ushauri, tofauti na kuandikishiana nifanye nini kingine ili nisidhulumike?
Ni Vitu gani unaweza ukachukua kama unataka kumkopesha MTU? (10,000-100,000)
Kwa ushauri
Wataalam na wenye uzoefu tafadhari
Nimeanza biashara ya kukopesha!! Nimeandaa daftari la kuandikishana ila kuna watu wengi tunashindana kwa sababu kila wakija nawaambia waniachie kitu ndo nimpe pesa wengine wanakataa kwani kwingine hawaletewi masharti ya hivo!!
Nilkua naomba ushauri, tofauti na kuandikishiana nifanye nini kingine ili nisidhulumike?
Ni Vitu gani unaweza ukachukua kama unataka kumkopesha MTU? (10,000-100,000)
Kwa ushauri
Wataalam na wenye uzoefu tafadhari