Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Habari za majukumu wakuu!
Nadhani humu kuna watu wanaojihusisha na hii biashara ya kununua korosho(Almaarufu "Kangomba") kule mikoa ya Lindi & Mtwara.
Naomba kwa wale wazoefu basi watoe uzoefu wao kuhusu hii business.
•Wakati sahihi wa kuanza kununua mzigo.
•Maeneo(vijiji) haswa yanayopatikana korosho kwa wingi na bei nafuu.
•Bei ya kuanzia kununulia(?Tsh@1Kg) ambayo ina-tagert faida nzuri baada ya kuuza ghalani.
Nina kahela kangu kadogo hapa nataka niwekeze kwenye hii business.
Nadhani humu kuna watu wanaojihusisha na hii biashara ya kununua korosho(Almaarufu "Kangomba") kule mikoa ya Lindi & Mtwara.
Naomba kwa wale wazoefu basi watoe uzoefu wao kuhusu hii business.
•Wakati sahihi wa kuanza kununua mzigo.
•Maeneo(vijiji) haswa yanayopatikana korosho kwa wingi na bei nafuu.
•Bei ya kuanzia kununulia(?Tsh@1Kg) ambayo ina-tagert faida nzuri baada ya kuuza ghalani.
Nina kahela kangu kadogo hapa nataka niwekeze kwenye hii business.