Biashara ya kununua korosho Kanda ya Kusini (Lindi & Mtwara)

Biashara ya kununua korosho Kanda ya Kusini (Lindi & Mtwara)

mkuu inaonekana unaielewa vyema hii biashara...naomba unijuze zaidi mana kuna mtu mmoja wa karibu niliongea nae kuhusu issue kama hii ila yeye aliniambia unaweza kuwatumia watu wanaoitwa makatibu, hao unawapa pesa ya kununulia kilo, kisha unawapa na cha juu kdg i.e tsh. 200 ili wakakununulie na malipo mengine, kisha wanakuuzia hlf pesa yako itatumwa moja kwa moja kwenye akaunti yako...hii mkuu imekaaje usalama wa pesa zangu upo kweli kwa mtindo huu?
Makatibu usiwatumie, watakuliza!
 
Nimesoma mijadala ya watu huko juu. asanteni sana. me nimefanya biashara ya ufuta Mwaka huu.

Kuna swali moja huwa najiuliza kila siku, taarifa za bei minadani unazipata wapi? Hakuna labda kuna special website, au labda sehemu kwamba ukiingia unaona taarifa za bei kwa wakati husika.

Mfano Mwaka huu kwenye ufuta tar 01.06.2021 bei zilitangazwa itakua 2300/- per kg. sasa hizi taarifa unazipatia wapi?
 
Wakuu me naombeni kujua wanaouza Kwa jumla Dar hizi korosho ambazo teyari zimekaangwa, kuna ambao wanasema wanauza 17000 Kwa kilo 1 ila bado naona kama ni bei kubwa, Kwa anaefahamu msaada tafadhari
 
Makatibu usiwatumie, watakuliza!
Naomba experience yako mkuu kabla cjafanya maamuzi magumu ya kutumbukiza pesa zangu uko...huwa wanakwamisha wapi hawa makatibu? Maana nilizungumza na mmoja akaniambia kama simuamini atanikutanisha na familia yake yote, na pia atanikabidhi mpaka hati yake ya nyumba...ikiwa ataniangusha basi nideal na nyumba yake.
 
Wakuu me naombeni kujua wanaouza Kwa jumla Dar hizi korosho ambazo teyari zimekaangwa, kuna ambao wanasema wanauza 17000 Kwa kilo 1 ila bado naona kama ni bei kubwa, Kwa anaefahamu msaada tafadhari
Hiyo bei ni rahisi kwa ambazo ziko tayari kukaangwa
 
Nimesoma mijadala ya watu huko juu. asanteni sana. me nimefanya biashara ya ufuta Mwaka huu.

kuna swali moja huwa najiuliza kila siku, taarifa za bei minadani unazipata wapi? hakuna labda kuna special website, au labda sehemu kwamba ukiingia unaona taarifa za bei kwa wakati husika.

mfano Mwaka huu kwenye ufuta tar 01.06.2021 bei zilitangazwa itakua 2300/- per kg. sasa hizi taarifa unazipatia wapi?
Kwa kawaida mnada hufanyika kila wiki siku ya ijumaa. Vyama vya msingi mbali mbali hueleza kiasi cha mzigo uliopo ghalani kwenye maghala tofauti na maeneo tofauti. Mara nyingi inakuwa kikanda. Mfano mnada utakafanyika Masasi utajumuisha mzigo wrote uliopo kwenye maghala ya Masasi, Nanyumbu, Newala Mtwara na Tandahimba.

Siku ya mnada kunakuwa na wawakilishi kutoka serkalini (Ushirika), Vyama vya msingi, Wanunuzi waliopeleka ofa zao.

Utakuta wanunuzi wana specify ton wanazotaka na ghala au maghala watakayonunua.

Kwa hali hiyo ili ujue bei eidha uwepo siku ya mnada au umpate MTU kutoka ghala ulilouzia mzigo au ogisi ya ushirika kanda husika.
 
Kwa kawaida mnada hufanyika kila wiki siku ya ijumaa. Vyama vya msingi mbali mbali hueleza kiasi cha mzigo uliopo ghalani kwenye maghala tofauti na maeneo tofauti. Mara nyingi inakuwa kikanda. Mfano mnada utakafanyika Masasi utajumuisha mzigo wrote uliopo kwenye maghala ya Masasi, Nanyumbu, Newala Mtwara na Tandahimba.

Siku ya mnada kunakuwa na wawakilishi kutoka serkalini (Ushirika), Vyama vya msingi, Wanunuzi waliopeleka ofa zao.

Utakuta wanunuzi wana specify ton wanazotaka na ghala au maghala watakayonunua.

Kwa hali hiyo ili ujue bei eidha uwepo siku ya mnada au umpate MTU kutoka ghala ulilouzia mzigo au ogisi ya ushirika kanda husika.
Mkuu shukrani, tunaomba uzoefu zaidi kuhusu hii fursa faida na hasara/changamoto zake...
 
Naomba experience yako mkuu kabla cjafanya maamuzi magumu ya kutumbukiza pesa zangu uko...huwa wanakwamisha wapi hawa makatibu? Maana nilizungumza na mmoja akaniambia kama simuamini atanikutanisha na familia yake yote, na pia atanikabidhi mpaka hati yake ya nyumba...ikiwa ataniangusha basi nideal na nyumba yake.
Hizo ndio lugha zao ili akuvutie maji madogo akukamate kirahisi.

1. Makatibu wengi wanatumika na watu wengi hata baadhi ya wakubwa ambao wanashiriki kwa Siri biashara hii pia huwatumia makatibu.

Mara nyingi ukiwapa pesa nao pia wanatoa ajira kwa watu waliochini hapa utaona mnyororo wa wadau unavyoongezeka.

2. Baadhi ya makatibu pia ni wezi, kwa ambae biashara ya kangomba huijui wanakupiga ktk ujazo, hapa wanaiba hivi, Kama bei ya kangomba ni buku atakukabidhi gunia lililojaa vzr tu kwa hoja kuwa hizo ni kilo 100, ambazo sawa na kangomba 100. Ukweli ni kuwa kangomba 100 zinatoa kilo 120, hapo akili kichwani mwako.

3. Makatibu wengi huwa wanaushirikiano na wezi, hapa Kuna sinema za kuvamiwa, na sinema za kuvunja nyumba ili mradi mzigo uibwe!

Kwa uchache tafakuri hizo, nikitulia nitaahuka zaidi, Ila nakusisitizia ndg yangu naamini ni mtanzania mwenzangu ambae unapambana kwa ajili ya familia, makatibu achana nao.
 
Wakuu me naombeni kujua wanaouza Kwa jumla Dar hizi korosho ambazo teyari zimekaangwa, kuna ambao wanasema wanauza 17000 Kwa kilo 1 ila bado naona kama ni bei kubwa, Kwa anaefahamu msaada tafadhari

Mbona Bei rahisi
Mara ya mwisho kisutu nilichukua kwa 20,000
 
Kijiji gani mkuu, na vp zipo za kutosha? Kiasi kwmb nikitaka tani 10 naweza kuzipata?
Kijiji cha Nachunyu ndani ya Mkoa wa Lindi. Na wilaya ya lindi....hazijachanganya saana, kuna mdau nimemwachia pesa ananunua, Mimi nimetoka pande hizo..ila hadi kufika mwenz wa 9 zitapatikana kwa wingi!
 
Hizo ndio lugha zao ili akuvutie maji madogo akukamate kirahisi.

1. Makatibu wengi wanatumika na watu wengi hata baadhi ya wakubwa ambao wanashiriki kwa Siri biashara hii pia huwatumia makatibu.

Mara nyingi ukiwapa pesa nao pia wanatoa ajira kwa watu waliochini hapa utaona mnyororo wa wadau unavyoongezeka.

2. Baadhi ya makatibu pia ni wezi, kwa ambae biashara ya kangomba huijui wanakupiga ktk ujazo, hapa wanaiba hivi, Kama bei ya kangomba ni buku atakukabidhi gunia lililojaa vzr tu kwa hoja kuwa hizo ni kilo 100, ambazo sawa na kangomba 100. Ukweli ni kuwa kangomba 100 zinatoa kilo 120, hapo akili kichwani mwako.

3. Makatibu wengi huwa wanaushirikiano na wezi, hapa Kuna sinema za kuvamiwa, na sinema za kuvunja nyumba ili mradi mzigo uibwe!

Kwa uchache tafakuri hizo, nikitulia nitaahuka zaidi, Ila nakusisitizia ndg yangu naamini ni mtanzania mwenzangu ambae unapambana kwa ajili ya familia, makatibu achana nao.
Shukrani bro kwa uzoefu wako...ngoja niendelee kuchanganua zaidi, unajua napata tabu sana iwapo nikiamua kuingia mwenyewe mzigoni, nahofia kudakwa na wadhibiti wa hayo mambo hlf mzigo ukataifishwa ndo maana nlitaka nitumie vyama vya ushirika kupitia hao makatibu wao...ila tahadhari uliyonipa inanifanya nieke umakini zaidi kwa hili nnalotaka kulifanya.
 
Kijiji cha Nachunyu ndani ya Mkoa wa Lindi. Na wilaya ya lindi....hazijachanganya saana, kuna mdau nimemwachia pesa ananunua, Mimi nimetoka pande hizo..ila hadi kufika mwenz wa 9 zitapatikana kwa wingi!
Asante sana kaka kwa taarifa, ngoja tuone hali inakwendaje aise ili tujue tunajichanganya vijiji gani.
 
Kijiji cha Nachunyu ndani ya Mkoa wa Lindi. Na wilaya ya lindi....hazijachanganya saana, kuna mdau nimemwachia pesa ananunua, Mimi nimetoka pande hizo..ila hadi kufika mwenz wa 9 zitapatikana kwa wingi!
Asante sana kaka kwa taarifa, ngoja tuone hali inakwendaje aise ili tujue tunajichanganya vijiji gani.
 
Wakuu me naombeni kujua wanaouza Kwa jumla Dar hizi korosho ambazo teyari zimekaangwa, kuna ambao wanasema wanauza 17000 Kwa kilo 1 ila bado naona kama ni bei kubwa, Kwa anaefahamu msaada tafadhari
Kama unahitaji nicheki kwa namba 0625330170 ila tu ukipata kwa 17k ni bei rahsi sana angalia ubora lkn
 
Mimi nipo hapa newala vijijini sehemu moja wanapaita tawala na hii ndio kazi yangu kubwa na korosho za huku ni nene sana
 
Kijiji cha Nachunyu ndani ya Mkoa wa Lindi. Na wilaya ya lindi....hazijachanganya saana, kuna mdau nimemwachia pesa ananunua, Mimi nimetoka pande hizo..ila hadi kufika mwenz wa 9 zitapatikana kwa wingi!
Saivi jhapa newala vijijini kazi imeamnza eneo moja linaitwa tawala ndio nipo huku muda huu
 
Mm Nina shamba na pia Nina Senti nataka kuitia kwenye kangomba Niko Dar naondoka 15/9 Kama Kuna anatamani aingie huko nicheki inbox tupange Kama unataka kuja mwenyewe utafikia home
 
Back
Top Bottom