mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Kaka Newala vijijini hakuna sehemu inayoitwa Tawala, Ila Newala Mjini Tawala ipo.Saivi jhapa newala vijijini kazi imeamnza eneo moja linaitwa tawala ndio nipo huku muda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Newala vijijini hakuna sehemu inayoitwa Tawala, Ila Newala Mjini Tawala ipo.Saivi jhapa newala vijijini kazi imeamnza eneo moja linaitwa tawala ndio nipo huku muda huu
mkuu tupe ripoti za huko...mishe zinakwendaje? Mzigo unapatikana wa kutosha..?Mimi nipo hapa newala vijijini sehemu moja wanapaita tawala na hii ndio kazi yangu kubwa na korosho za huku ni nene sana
Mkuu vipi uliwahi kuondoka? Na upepo unasemaje huko? Mzigo ushaanza kununuliwa? Upatikanaji wake ukoje na bei zake vpMm Nina shamba na pia Nina Senti nataka kuitia kwenye kangomba Niko Dar naondoka 15/9 Kama Kuna anatamani aingie huko nicheki inbox tupange Kama unataka kuja mwenyewe utafikia home
Hii ni kwa kijiji gani mkuu?Sasa Hv bei ya korosho imeshafika 2000/=mtaani na jinsi inavyoonekana mwaka huu zitakuwa na bei mzuri sana huko mnadani
Daah kilichotokea sasa kwenye bei ya mnadani, nadhani ni biashara ya kubeti tu aisee, Bei ya korosho ya juu Sana minadani kwa mwaka huu ni 2400, nasikia Kuna Senti kadhaa inachukuliwa katika kila kilo moja,Sasa Hv bei ya korosho imeshafika 2000/=mtaani na jinsi inavyoonekana mwaka huu zitakuwa na bei mzuri sana huko mnadani
Wanakata ushuru Tshs. 261.69Daah kilichotokea sasa kwenye bei ya mnadani, nadhani ni biashara ya kubeti tu aisee, Bei ya korosho ya juu Sana minadani kwa mwaka huu ni 2400, nasikia Kuna Senti kadhaa inachukuliwa katika kila kilo moja,
aise, unaweza kujikuta unatengeneza faida ya shilingi mia hamsini kwa kila kilo moja badala ya buku uliyokuwa umeiplan...si mchezo😅 hapa ndo nnapoamini hakuna pesa rahisi rahisi hapa dunianiNimeamua huku kusini mwaka huu, nimejaribu hii biashara, Kangomba watu walinunua elfu mbili, na mimi nikanunua kwa Bei hiyo, mnadani zimenunuliwa kwa Bei ya 2400, wakikata hapo huo ushuru, hakuna biashara isiyo na changamoto aisee, ndio kujifunza, mwakani nikijaliwa uzima naacha kwanza mpaka nijue Bei,
Ni biashara kama ya kubet tuu...kua makini! Kama una milion kumi. Tumia milion nne tu kununulia.
Sasa Hv bei ya korosho imeshafika 2000/=mtaani na jinsi inavyoonekana mwaka huu zitakuwa na bei mzuri sana huko mnadani
Mara hii kangomba wamepigwa bao haswaa.Sasa Hv bei ya korosho imeshafika 2000/=mtaani na jinsi inavyoonekana mwaka huu zitakuwa na bei mzuri sana huko mnadani