Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

AHSANTE KWA FURSA HII. NAHITAJI WADAU WA MAZAO YAFUATAYO

1. KOROSHO ZILIZOBANGULIWA
2. SOYA YA NJANO FUPI
3. SOYA YA ZAMBARAU
4. UFUTA
5. MAHARAGWE MEUPE
 
Bhbm,
Kwa mimi nakushauri kama huko vizuri ni heri ukajiingiza kwenye kilimo cha maharage,naongea hivyo sababu nina experience nayo japo kidogo,ni bidhaa inayowekeka lakini kwa kiasi kidogo unaweza pata pesa nyingi na haiumizi sana kichwa ukizijua basics,mimi ndio namalizia kupiga (kuchambua) niliyopanda mwezi wa nne ntaleta mrejesho hapa kiasi nilichopata kwa heka,unaweza kujifunza zaidi hapa,thanks.
 
Ulifikia wapi mkuu
 
Usisumbuke kwenda mpanda nenda mbeya wilaya mpya ya momba kuna shamba zuri la umwagiliaji utapata shamba kwa 100000-150000 (kukodi) ni umwagiliaji 100% ila hakikisha unapata shamba kwenye umwagiliaji
Lina ukubwa gani momba sehemu gani?
 
Tumia treni mkuu TAZARA
Kama ulishindwa kuyauza mwezi january hadi april umeumia..sasa hivi mahindi dar es salaam ni tsh 780/=
 
Mimi ni mlimaji wa mahindi na pia ninategemea kuwa mzalishaji wa kati wa bidhaa za mahindi. Niko Dodoma na nnazifahamu ABC za biashara ya mahindi hapa.Tuwasiliane
Weka no sasa mkuu
Mkuu biashara ya mpunga ni nzuri ukiifanyia timing!
Mimi nina nunua mpunga napiga stoo!
Halafu mwezi dec - March unaukoboa unauza mchele faida x150%!

kama unaipenda, fanya. hakuna chuo cha uzoefu bali unakuja kutokana na kufanya kazi. kujifunza ni muhimu kwa kila hatua. tafuta taarifa za masoko mara kwa mara/kila siku. kujikwaa na kuanguka kupo but taarifa sahihi zitakuokoa
 
Upo mjini ama Ifakara?
 
Habari zenu wakuu

Mimi nina mahindi kilo 441 nauza. Kilo moja shilingi 1000/=. Nipo Kimara Dar. Mimi nayatoa Songea. Ila sihitaji udalali. Njoo na cash tufanye biashara.
Mkuu nqmaindi Songea nauza kilo 800 kama ukihitaji nalima mwenyewe
 
you killed it big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…