Mafaka yanaliwa?
Kuhusu mashine nenda sido utapata taarifa kamili
Sio jukwaa la lugha. Hapa hakuna kuremba mwandiko
Good bness...ukiwa nabei nzuri ntakua mteja wakoHabar wana jamvi kama uzi unavyojieleza kutokana na hali ya maisha kubana sana nataka kuanzisha biashara ya nafaka nataka nianze kununua mashine ya kukoboa na kusaga mahindi alafu nianze kununua mahindi ili niuze unga wa sembe wa jumla mwenye kujua mashine zinapopatikana na yanapopatikana mahindi na maharage kwa wingi na bei nzur anifahamishe ahsante
Boss tunaomba mrejesho tafadhali na sie tujifunzeKwa mimi nakushauri kama huko vizuri ni heri ukajiingiza kwenye kilimo cha maharage,naongea hivyo sababu nina experience nayo japo kidogo,ni bidhaa inayowekeka lakini kwa kiasi kidogo unaweza pata pesa nyingi na haiumizi sana kichwa ukizijua basics,mimi ndio namalizia kupiga (kuchambua) niliyopanda mwezi wa nne ntaleta mrejesho hapa kiasi nilichopata kwa heka,unaweza kujifunza zaidi hapa,thanks.
Good bness...ukiwa nabei nzuri ntakua mteja wako
Sawa kiongozi naomba nikipata nafasi nzuri ntafanya hivyo.Boss tunaomba mrejesho tafadhali na sie tujifunze
Sawa mkuu nakuombea upate nafasi kwasababu itatupa direction nzuri kwa sisi tunaotarajia kuanza hii projectSawa kiongozi naomba nikipata nafasi nzuri ntafanya hivyo.
Humu ndani yaani watu hawako serious kuna utototo mwingi sana, mwenzetu kaka na mada nzuri kuna wengine tunataka kupata maarifa pia lkn mnamkatisha tamaa na mwishowe inakuwa ni "Mizengwe Forum" na si Jamii forum iliyozoeleka ya uchambuzi yakinifu wa mambo.
Ikitolewa mada ya siasa na upuuzi mwingine mada itasapotiwa kweli lakini za kimaisha wapi.Tunaashindwa na vijana wenzetu nchi jirani leo hii Mtanzania wa leo ni wa Porojo Porojo tu.
Tubadilike maisha magumu blah blah hazitatufikisha popote.
Ukifanikiwa nijulishe.Habari wana jamvi kama uzi unavyojieleza kutokana na hali ya maisha kubana sana nataka kuanzisha biashara ya nafaka nataka nianze kununua mashine ya kukoboa na kusaga mahindi alafu nianze kununua mahindi ili niuze unga wa sembe wa jumla mwenye kujua mashine zinapopatikana na yanapopatikana mahindi na maharage kwa wingi na bei nzur anifahamishe ahsante