Kivuyo A J
Member
- Feb 23, 2018
- 17
- 15
Mmmh[emoji49] [emoji49] [emoji49] [emoji49]Masihala[emoji54]
Ila tumkumbushe pia Mahindi yanaelekea kukutana na Mahindi mapya.na hapo inakuwa shida sana..ushauri kwa sasa nunua uza nunua uza mda huo huo. fanya ivo mara kwa mara na sio kuhifadhi sana.Usiwe na haraka endelea kuhold tu kama yapo sehemu nzuri kuanzia mwezi wa tatu hapo bei ndo zinapandaga kwa kasi hata zisipopanda tunza tu utauza hata mwakani. Au pia unaweza kukoboa na uuze unga hapo utaona faida kama utapata tenda za kupeleka unga mashuleni.
Upo serious mahindi bei yake ndiyo hiyo kwa sasa?
Mkuu hali ni mbaya sokoni. Lakini kuna kitu kama nakiona. Sijui wilaya nyingine zina hali gani, wila ya kilolo naona mwaka huu uzalishaji utashuka sababu kuna kipindi kirefu kimepita bila mvua. Infact kuna maeneo tayari mazao yamekauka.Binafsi Nina Gunia Za Mahind Zaid Ya Elf 2 Nasubir Mwez Wa 3 May B Bei Inaweza Badilika Kuna Madalali Waliniambia Sije Peleka Sokon Nitakula Hasara
Ebu Jaribu Kusubir Kama Umeyahifadhi Sehem Nzur
Mmmh unasemaje wewe??Hii measure inatitwa food security, ku maintain food security lazima uthibiti bei na uuzwaji kiholela nje ya nchi husaidia wenye kipato kidogo kuendelea kuwa na chakula na wafanya biashara wa mahindi kuendelea kuwa na bei isiyo terereka
sio ajabu ila asilimia kubwa ya wakulima ni wakipato cha chini ha wanasubili miezi 6 ili wavune sa iyo miezi wanayosubili ndo wanaishi kwa mikopo na kuuza mahindi na wanunuzi ni wajanja wanakukopesha ukivuna unawalipa huna jinsi mnaitaji mboga na mahitaji madogomadogo usipouza ayo maindi utayapeleka wapi ili upate ela za kujikimuHii inatufanya watanzania hatuendi mbele kwa haraka.,
Kama unamtaji wa kununua au kulima ukapata gunia 2000, unashindwaje kuongezea dhamani hayo mahindi?
Kiroba cha kilo 25 ya unga uwe dona au sembe ni 22000 kwa Dar, ukisaga kunia moja unaweza kupata vitoba 3 kwa sembe au 4 kwa dona achilia mbali Pumba . Sasa kwann tunauza chakula ghafi!!??. Ni ajabu sana kwa mikoa ya mpakani na Kenya kama Kilimanjaro na Arusha, watanzania wanapeleka mahindi ghafi Kenya wenzetu wanayaongezea dhamani na kurudisha tena Tanzania kuuza kwa bei kubwa.
Ni vyema mkaungana kama mitaji haipo kubadili mambo.
Ebu Nipe Kwanza Infro Kidogo Kuhusu Hilo Swala Ndugu YanguNipatie namba yako pm.niwaunganishe ili kama itawezekana upate nafasi hiyo
Bila shaka unafurahia kwa majanga hayo. Ama kweli kufa kufaana.Mkuu hali ni mbaya sokoni. Lakini kuna kitu kama nakiona. Sijui wilaya nyingine zina hali gani, wila ya kilolo naona mwaka huu uzalishaji utashuka sababu kuna kipindi kirefu kimepita bila mvua. Infact kuna maeneo tayari mazao yamekauka.
Pia kuna mdudu wa hatari anakula mahindi.
Nadhan tusubiri
Hajakosea Ni Sahihi Kabisa Binafsi Nilitembelea Soko La Tandale Kufanya ResearchUpo serious mahindi bei yake ndiyo hiyo kwa sasa?
Kwanza inabidi utambue katika ubora wa mchele kwa kigezo cha radha na harufu nzuri n mchele kutoka mbeya,ila kwa kigezo cha mwonekano n mchele kutoka kanda ya ziwa..na kwa upande wa soko mchele wa mbeya uko juu sanaVipi kiongozi kuhusu utofauti wa ubora wa mchele kutoka kanda ya ziwa mikoa ya shinyanga,geita kulinganisha na mikoa ya Mbeya,Rukwa na katavi kwa kuzingatia soko la Dar
Mpunga bora huangaliwa kwa kuchukua sampuli ya mpungo huo na kuupekecha katika viganja vyako matokeo ndio majibu yako,endapo mchele uliopekechwa utakua umekatika katika basi mpunga huo hauko sawa na endapo mchele mwingi unatua umenyoooka basi ujue mpunga huo ni shwari na utapata matokeo mazuri ukipeleka mashineniEbana hata mm nataka niulize jinsi ya kuchagua mpunga bora ili nipate mchele mzuri. Sijui jinsi ya kufanya...naomba msaada!
Sitaki kubishana na wewe kila MTU ana mtazamo wake ila siwez kulima mahindi nikauza mahindi.Si kila mtu afanye unacho waza ww mwingine biashara yake ni kutoa mahindi kwa wakulima na kuleta mjini na kuwauzia wafanyabiashara wa mazao na wenye mashine.
Mchakato uko hivi, mkulima analima na kuvuna kisha anauza kwa wafanyabiashara wanao fuata mzigo wake shambani. Kisha huyo mfanyabiashara analeta mjini kuuza kwa wafanyabiashara wa nafaka wenye Fram na wenye mashine.
Sasa ukitaka kila mtu apaki kwenye mifuko unahis nn kitatokea? Anzia mkulima mpaka mfanyabiashara mwenye mashine. Kila kitu ni kutegemea sio kama unavyo fikiria ww.
Na mwaka huu mvua zitanyesha sana watu watavuta zaidi, utashangaa yatakavyo shuka bei zaidi na zaidi,
Anza kugaanga kokoro taratibu taratiibu usije pata hasara