STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Mkuu, utapata faida ndio. Lakini sio virahisi hivyo kama unavyoweza kufikiria. It is easier said than done.
Mkuu, utapata faida ndio. Lakini sio virahisi hivyo kama unavyoweza kufikiria. It is easier said than done.
Lakini pia najiuliza inakuaje singida mahindi yawe bei rahisi kuliko manyara ikiwa manyara ndo hulima zaidi mahindi?
Hayo mahindi yana gharama lukuki katika ukusanyaji kama haujui. Usidhani unaenda tuu unayachukua mara moja. Hiyo bei unayosema ni ya kununua kwa mkulima wala sio sokoni.
Hapo hata kama utafanya aje faida haizidi 2mil.
Pia kuna kitu wanaita "moisture" kwenye uuzaji....ukishaufikisha madalali wanapanga bei kulingana na mzigo wenyewe, ukishusha pesa, kuhifadhi pesa, uhifadhi mbovu siku Hadi siku yanaharibika....ni biashara nzuri inahitaji kuwa na soko kabla haujafuta mzigoMsisahau gharama za tozo njiani kwa tani zaidi ya 2 pia. Je kuna anayejua huwa wanachaji kiasi gani kwa kila gunia?
Hakuna kitu kama hicho ,kwa sasa huwezi kupata mahindi songea kwa 400 kilo 1,mm nipo songea na pia ni mkulima.Ukienda songea wala huhitaj kukusanya, unayapakia tu, gunia moka 40,000 hata ukitaka gunia 1000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hesabu za kwenye makaratasi...Zilimponza jiwe akavamia KoroshoSijawahi kuzielewa hesabu za wajasiliamali.
SanaBiashara ya kwenye makaratasi ni rahisi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shauri yako, kesho ujiandae uende "waiti hausi" kuapologize[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hesabu za kwenye makaratasi...Zilimponza jiwe akavamia Korosho
Sijawahi kuzielewa hesabu za wajasiliamali.
wilaya gani hyo mkuuUkienda songea wala huhitaj kukusanya, unayapakia tu, gunia moka 40,000 hata ukitaka gunia 1000
Kuna mambo zaidi.Mkuu, utapata faida ndio. Lakini sio virahisi hivyo kama unavyoweza kufikiria. It is easier said than done.