MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,254
- 2,715
Wakuu habari za mihangaiko ya kujipatia mkate? Wakuu ninakuja kwenu kuomba ushauri juu ya ufunguaji na uendeshaji wa duka la nafaka Dar es salaam. Nina mpango wa kufungua duka la kuuza nafaka maeneo ya tandika, Mtaji wangu ni shilingi Milioni 5. Ninaomba mwenye ufahamu wa biashara hii ya duka la nafaka anisaidie kunijuza walau mambo kadhaa juu ya biashara hii.
1) Katika kufungua biashara ya aina hii vibali vinavyotakiwa ni vipi?Kwa maana napaswa kuwa na lesseni ya TRA?inachukua mchakato upi kuipata?Vipi napaswa kuwa na kibali cha TFDA?
2) Vipi kuhusu habari ya upatikani wa bidhaa?Ninawezaje kupata suppliers wa kuwa wananiletea mzigo kutoka katika mikoa nafaka husika zinakopatikana?mfano mchele,maharagwe nk?
3) Mambo mengine muhimu ya kuzingatia juu ya biashara hii ni yapi?
1) Katika kufungua biashara ya aina hii vibali vinavyotakiwa ni vipi?Kwa maana napaswa kuwa na lesseni ya TRA?inachukua mchakato upi kuipata?Vipi napaswa kuwa na kibali cha TFDA?
2) Vipi kuhusu habari ya upatikani wa bidhaa?Ninawezaje kupata suppliers wa kuwa wananiletea mzigo kutoka katika mikoa nafaka husika zinakopatikana?mfano mchele,maharagwe nk?
3) Mambo mengine muhimu ya kuzingatia juu ya biashara hii ni yapi?