Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Si kila mtu afanye unacho waza ww mwingine biashara yake ni kutoa mahindi kwa wakulima na kuleta mjini na kuwauzia wafanyabiashara wa mazao na wenye mashine.

Mchakato uko hivi, mkulima analima na kuvuna kisha anauza kwa wafanyabiashara wanao fuata mzigo wake shambani. Kisha huyo mfanyabiashara analeta mjini kuuza kwa wafanyabiashara wa nafaka wenye Fram na wenye mashine.

Sasa ukitaka kila mtu apaki kwenye mifuko unahis nn kitatokea? Anzia mkulima mpaka mfanyabiashara mwenye mashine. Kila kitu ni kutegemea sio kama unavyo fikiria ww.
Hii inatufanya watanzania hatuendi mbele kwa haraka.,
Kama unamtaji wa kununua au kulima ukapata gunia 2000, unashindwaje kuongezea dhamani hayo mahindi?
Kiroba cha kilo 25 ya unga uwe dona au sembe ni 22000 kwa Dar, ukisaga kunia moja unaweza kupata vitoba 3 kwa sembe au 4 kwa dona achilia mbali Pumba . Sasa kwann tunauza chakula ghafi!!??. Ni ajabu sana kwa mikoa ya mpakani na Kenya kama Kilimanjaro na Arusha, watanzania wanapeleka mahindi ghafi Kenya wenzetu wanayaongezea dhamani na kurudisha tena Tanzania kuuza kwa bei kubwa.
Ni vyema mkaungana kama mitaji haipo kubadili mambo.
 
Usiwe na haraka endelea kuhold tu kama yapo sehemu nzuri kuanzia mwezi wa tatu hapo bei ndo zinapandaga kwa kasi hata zisipopanda tunza tu utauza hata mwakani. Au pia unaweza kukoboa na uuze unga hapo utaona faida kama utapata tenda za kupeleka unga mashuleni.
Biashara gani sasa hiyo ya mwaka hadi mwaka,wakati watu wanaingiza pesa daily. muda ni kitu muhimu sana katika biashara.

OVA
@darubin said
 
Usiandike kitu usicho kuwa na uelewa wako. Uulize uambiwe sio kukurupuka tu. Njoo nikuonyeshe ni wapi natoa mahindi kwa hiyo bei. Kama huna uelewa na jambo flani ni bora ukae kimya tu.
Masihala[emoji54]
 
shida iko hapo mahindi yalijuwa dili kuliko mahindi serikali ilipoyazuia kutoka nje ndipo bei imepanda bt kingine kilichochangia inadaiwa kuwa ni kuruhusu mahindi ya zambia yaingie .....kumezidi kudondosha bei ya mahindi ya kwetu
 
kilicholeta shida ni kuzuia yasitoke nje lakini mbaya zaidi inadaiwa kuwa siha hakika mahindi ya zambia yanaingia so yanachangia kudondoshwa kwa bei ya mahindi yetu maradufu....na ambayo yakiingia hayaruhusiwi kutoka sasa km mm nataka kuyapitisha transit kwenda kenya au uganda sijui ntazuiliwa....[emoji40] [emoji40]
 
Mbona watu wanatoa mahindi kila siku
kilicholeta shida ni kuzuia yasitoke nje lakini mbaya zaidi inadaiwa kuwa siha hakika mahindi ya zambia yanaingia so yanachangia kudondoshwa kwa bei ya mahindi yetu maradufu....na ambayo yakiingia hayaruhusiwi kutoka sasa km mm nataka kuyapitisha transit kwenda kenya au uganda sijui ntazuiliwa....[emoji40] [emoji40]
 
Back
Top Bottom