Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Ww ndo Ndugu sasa,nyny ndo ndugu sasa ujue bhana ktk maisha ni heri yule anayekupa nyavu ukavue samaki mwenyewe kuliko yule anayekupa samaki kila cku.
Ww ndo ndugu wa ukweli umekaa na mdogo wako umeona kahitimu masomo yake ila hana kazi ukaona umpe kimtaji kidogo afanye biashara na aitoshi ukamshauri na aina gani ya biashara yakufanya aisee nimekupongeza sana uko vzr haya ndo maisha sasa.
Na c unakuwa na ndugu yy anamaisha mazuri anakuona ww mdogo wake umemehitimu masomo bac hata kumpa support inakuwa ishu ooh unasikia tu akikwambia komaa dogo kuomba kazi usikate tamaa utapata tuu komaa aisee ila maisha aya.
Mm nakupingeza sana mkuu umechukua uwamuzi mzuri na Mungu atazidi kukubariki sana uwo ndo msaada sasa misaada ya dizaini iyi ndo mizuri ktk maisha na c misaada ya kupigana vizinga.
Ww ndo ndugu wa ukweli umekaa na mdogo wako umeona kahitimu masomo yake ila hana kazi ukaona umpe kimtaji kidogo afanye biashara na aitoshi ukamshauri na aina gani ya biashara yakufanya aisee nimekupongeza sana uko vzr haya ndo maisha sasa.
Na c unakuwa na ndugu yy anamaisha mazuri anakuona ww mdogo wake umemehitimu masomo bac hata kumpa support inakuwa ishu ooh unasikia tu akikwambia komaa dogo kuomba kazi usikate tamaa utapata tuu komaa aisee ila maisha aya.
Mm nakupingeza sana mkuu umechukua uwamuzi mzuri na Mungu atazidi kukubariki sana uwo ndo msaada sasa misaada ya dizaini iyi ndo mizuri ktk maisha na c misaada ya kupigana vizinga.