Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Ukiwa na muda, naomba unieleweshe hicho kisa kutaifisha sukari.

Binafsi huwa naona biashara nzuri ni kununua mazao kwa bei ya chini, kipindi cha mavuno na kuyahifadhi ili kusubiri bei ipande ndipo uuze.

Sent using Jamii Forums mobile app
CTM
Hilo tukio lilitokea 2016kama sikosei...ilikua patashika.wahindi walikonda
 
Haya mambo upepo ukiwa wako unapiga hela watu wamepiga hela sana msimu huu tuliotoka..kwa sasa mahindi mapya kwa maeneo wengi yameanza kutumika kabla ya hapo mahindi gunia yalikua laki20 sasa maeneo mengi mahindi ni elf40 hadi elf60 na mikoa mingi mahindi bado yapo shambani.

Kuna uwezekano mahindi yakashuka zaidi ya hapo miezi michache kuanzia sasa lakini pia kuna uwezekano mkubwa mwishoni kwa mwaka huu mahindi yakarudi tulikotoka gunia 120k

Mwaka huu mvua ni nyingi in terms of quantity but not productive... Mazao wengi yanaharibika/ yataharibika kwa wengi wa mvua

NB..Beti kistaarabu
#tukutane kiangazi mjini
 
Umetiki by 100% mkuu!
Yeah gunia la debe 6 limefika hadi 120K kwa mikoa kama Shinyanga!

Shida ya biashara ya mahindi kwa miaka ya nyuma bei ikichangamka serikali inaachia maghala yake ku-neutralize bei.

Ila sasa kwa kuwa mwenyewe kadai hatompangia mkulima bei mambo yatakuwa vizuri.
 
Mwaka huu Mahindi yatakuwa ya shida zaidi kutokana na mvua kuharibu hasa waliolima October na November 2019.

Mwenye mtaji afanye hima bei ikishuka hiyo March/April kwa maeneo watakayopata vizuri!

Ila mpunga hata 36,000 kwa gunia utafika msimu huu.
 
Bro kama hujawahi hustle na vi business vya kitaa huwezi nielewa au unaweza sema siko serious na life.

I’ve done pass all that..as i speak nina biz kubwa tu tena ya wholesale..

Biashara zina mambo mengi sana, Kwa mtu anayetaka kutoboa in a big way mimi kama
mimi binafsi nashauri atafute capital atleast isiyopungua 100+ million (Thats if mtu huyo ana plan kufanya any type of trading biz)

Kwa capital hyo any trading biz lazima utatoboa..ila sijui una 5M au 10 M utapata hela ndio ila ya kubadili mboga tu.

Ila kama nina elimu yangu nzuri average salary nipate between 1 M to 3M au mpaka 5M kwa mwezi nibora niajiriwe kwa atleast 3 years ni make hela then nizame kitaa na capital.

Maana yake kama hela huna possibly likely hata collateral mtu hana. Ya dig ??

Hahaha jamaa angu uandishi wako unaonekana kabisa ni muajiriwa unatamani kuanza biashara lakini mwoga , biashara sio mtaji tu kama unavyosisitiza wewe kuwa uwe na 100+m kutoboa , unaweza ukawa na hiyo hela na usitoboe vile vile na mwenye ten m akawa na strategy nzuri na akatoboa vile vile , mshahara wa m1 ni kitu sasa pango , ule , uvae, ... tusiwe waoga kufanya vitu pale mioyo yetu inapitutuma kuhofia kufail wala tusiwavunje wengine mioyo . Mrekebishe kwa kumwelekeza sio kumvunja moyo watu wanatoka kwa mitaji midogo hiyo hiyo ukisema mpaka usibiri ukipata 100 ndipo ufanye businesses utasubiri mpaka ustafu na hela zako utalia pombe tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atleast kabla haujaamua kufanya uyajue haya


1. Kununua magunia (empty) 1000*100=100,000
2.Gharama ya ukusanyaji
3.Gharama ya malazi (kama si mwenyeji)
4.Gharama ya ushonaji
5.Upakiaji
6.Usafirishaji
7.Ushuru
8.Ushushaji
9.Gharama za utunzaji /Storage fee
10.Ziada/ dharura
5.9 mil,
5.4 mahindi
500,000/ usafiri.
Kupakia na kushusha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya mahindi leo. Singida gunia la kilo 100 linauzwa 54000.

Arusha au manyara gunia hilo hilo linauzwa 100,000.

Nikichukua gunia 100 za mahindi singida nitatoa 5.4M. Usafirishaji kwa gunia moja ni 5000 hadi manyara. Kwa gunia 100 nitalipa 500,000 usafiri. Hapo sasa natakiwa kuwa na 5.9M

Nikienda kuuza gunia 100 manyara kwa bei ya 100,000 kila gunia nitapata jumla ya 10M. Nikitoa gharama za usafirishaji na hela ya mtaji nitabakiwa na jumla ya shilingi 4.1M.


Net profit hapa ni 4.1M.
Kazi hii naweza kuifanya ndani ya wiki moja kuanzia kukusanya magunia singida hadi kuyapeleka kuyauza manyara.
................................................................

Oya mwenye 5.9M ya haraka hapo aingie chimbo akapige hiyo hela. Faida ya milioni 4 ndani ya wiki moja sio hela kidogo. Hii ishu ni uhakika, hata kama hutapata hiyo 4M huwezi kukosa hata 2M.


Ngoja niendelee kujichanga kamtaji kakue nikapige hiyo hela.

Jioni njema.
Boss apo serikali haijaweka mkono wake wa vibali mara sijui ushuru... vitu kibao kidogo serikali kila gunia wanaweza kumeza 3000 au 4000 bado kupakia na kushusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watz tuna ttzo always mtu hutafuta kikwazo na blah blah kibao mara gharama za mfuko, vibega, sijui ushuru n.k Yaan ukimueleza mtz fursa fulani atakupa sababu elfu za kukutisha usichukue hatua no matter uhalisia ukoje

Ambapo kwa hesabu za kijasi hizo sio gharama za kuogopa ikiwa hata gunia la kg 100 utanunua elfu 60 pigia na elfu 20 ya gharama zote kwa kila gunia lifike kwa mnunuzi kwa elfu 80 then ubakiwe na 20 kwa kila gunia hasara iko wapi? Na kiukweli kwa sasa kupata mahindi tani 10 sio jambo la kuchukua wiki moja

Hapo angalizo la muhimu na ambalo ni changamoto kuu ni kuwa na connection ya mteja basi usilogwe upeleke mzigo bila kuwa na mteja kwanza the rest ni sawa na kumsukuma mlevi
Sio vikwazo mkuu..
Apo tunakanusha kwa hesabu alizopiga sio sahihi... japo faida ipo ni matter ya kua na mtaji tu... lakini kwa mtaji huo na faida hiyo viko tofaut tumepinga apo tu... but mazao yana faida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro kama hujawahi hustle na vi business vya kitaa huwezi nielewa au unaweza sema siko serious na life.

I’ve done pass all that..as i speak nina biz kubwa tu tena ya wholesale..

Biashara zina mambo mengi sana, Kwa mtu anayetaka kutoboa in a big way mimi kama
mimi binafsi nashauri atafute capital atleast isiyopungua 100+ million (Thats if mtu huyo ana plan kufanya any type of trading biz)

Kwa capital hyo any trading biz lazima utatoboa..ila sijui una 5M au 10 M utapata hela ndio ila ya kubadili mboga tu.

Ila kama nina elimu yangu nzuri average salary nipate between 1 M to 3M au mpaka 5M kwa mwezi nibora niajiriwe kwa atleast 3 years ni make hela then nizame kitaa na capital.

Maana yake kama hela huna possibly likely hata collateral mtu hana. Ya dig ??
Bro apa unamzungumzia mtanzania wa namna gan... au unazungumzia wabunge[emoji28][emoji28]
Tuzungumzie mtanzania wa kipato cha kawaida... ata mtumishi wa umma mfano mwalim,askari n.k aliestaaf sizan kama anaweza kuwekeza 100+m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka huu Mahindi yatakuwa ya shida zaidi kutokana na mvua kuharibu hasa waliolima October na November 2019.

Mwenye mtaji afanye hima bei ikishuka hiyo March/April kwa maeneo watakayopata vizuri!

Ila mpunga hata 36,000 kwa gunia utafika msimu huu.
Wapi panatarajiwa kuwa na mavuno mengi ya Mpunga?
 
Wapendwa wangu nataka kufanya biashara ya kununua mahindi toka Morogoro, Iringa au Njombe niyauze hapa Dar es salaam kwa magunia. Nmefanya research fupi yakuuliza kama naweza kuuza sokoni K/koo, lakini competition ni kubwa sana.

Pia sina watu katika hiyo Mikoa wakuniuzia hayo mahindi kwa bei nafuu. Tatizo lingine ni bei za usafirishaji kutoka hizo sehemu.

Naomba msaada wenu. Mungu awabariki sana
 
Habarini wakuu, naombeni msaada kwa mwenye uzoefu, nataka nianze hii biashara ila sina baadhi ya taarifa hope wapo wenye uzoefu watanijuza, kama mlivoelezea juu hapo kuwa miezi ya mwanzo wa mwaka bei ya mahindi huwa inapanda kidogo, Taarifa kubwa ninayotaka kujua ni muda wa mavuno sababu mara nyingi bei ndio huwa inashuka, Naombeni mnijuze misimu ya mavuno au upatikanaji wa mahindi kulingana na mikoa kwa mfano kama sasa nikitaka mahindi nikachukue mkoa gani? maana nimejaribu kufuatilia bei wilaya kama ya sumbawanga naona wao mahindi yapo juu kidogo nadhani waliwahi kuvuna, nisaidieni kwenye hili jamani wenye uzoefu kwenye biashara hii. Yani kwa kifupi nataka nijue kwa kuanzia kama sahivi mkoa gani mahindi yanapatikana kwa wingi na mnijuze kila mkoa na miezi yake ya mavuno. Nitashukuru nikipata majibu ya hayo maswali yangu kwa haraka.

Natanguliza shukrani, Ahsanteni.
Kwa mkoa wa rukwa, hasa ukanda wote kuanzia, nkasi, namanyere, laela, huwa kuna mahindi mengi sana, kuanzia mwezi wa tano, ndio huvuna gunia huanzia 25,000!!! Ni mengi sana, hadi katavi.
 
Back
Top Bottom